Pambazuko FM Radio

Recent posts

13 May 2026, 20:18

Wananchi Kibaoni walalamikia ubovu wa barabara

Wananchi wameiomba serikali kukarabati barabara hiyo haraka ili kuboresha mawasiliano na shughuli za kiuchumi. Na Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Kibaoni katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameiomba serikali kutatua haraka ubovu wa barabara ya kuvuka reli kuelekea Uwanja…

13 May 2026, 19:53

Jamii Ifakara yataka ulinzi vyanzo vya maji

Bodi ya Maji ya Bonde la Rufiji Kidakio cha Kilombero,imekiri kuwepo kwa shughuli zinazotishia mazingira ya vyanzo vya maji Na Katalina Liombechi Baadhi ya Vijana na wanawake Kata ya Lumemo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameelezea wasiwasi wao kuhusu hatma ya…

9 May 2026, 07:56

Madiwani waongeza mapambano dhidi ya UKIMWI

Baraza la madiwani Mlimba limeweka utaratibu maalum wa madiwani na viongozi kushiriki katika uchangiaji damu pamoja na upimaji wa afya kila wanapokutana kwenye vikao rasmi ikiwa ni pamoja na maambukzi ya VVU/UKIMWI Na Kuruthumu Mkata Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba…

8 May 2026, 12:33

Ushirikishwaji unahitajika zaidi utunzaji mazingira Ifakara

Wananchi wa Ifakara wameeleza kuwa licha ya kampeni za serikali na asasi mbalimbali kuhamasisha utunzaji mazingira kupitia upandaji miti, bado mwitikio wa baadhi ya jamii ni mdogo wakitaka kuongeza elimu na ushirikishwaji wa wananchi ili kuunga mkono jitihada za mazingira…

8 May 2026, 12:18

Kaya 59 waathirika mafuriko wapatiwa msaada Mlimba

Msaada uliotolewa ni pamoja na vyandarua 59, ndoo 39, mikeka 42, blanketi 88 pamoja na mahindi zaidi ya tani sita Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya kaya 59 kutoka Kata ya Mngeta Halmashauri ya Mlimba zimeathirika na mafuriko yaliyotokea katika eneo…

8 May 2026, 11:42

Madiwani Mlimba watakiwa kuhamasisha bima ya afya kwa wote

Bima ya afya kwa wote inapaswa kuwa ajenda kwenye mikutano ya maendeleo ya kata ili wananchi waweze kuelewa umuhimu wa kujiunga na mpango huo kujihakikishia huduma ya matibabu wanapougua Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, wakili Dumstan Kyobya,…

1 May 2026, 20:09

Wafugaji 120 wapatiwa mafunzo ufugaji salama

Mafunzo hayo yanalenga kupunguza matumizi holela ya dawa za mifugo na kuboresha uzalishaji wa kuku katika Tarafa ya Kidatu. Na; Isidory Mtunda Zaidi ya wafugaji na wakulima 120 kutoka Tarafa ya Kidatu, Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro, wamepatiwa…

30 April 2026, 18:53

Biashara hewa ukaa kukabiliana na tabianchi bonde la Kilombero

Mradi huo utasaidia kurejesha maeneo yaliyoharibika, kulinda mazingira na kuinua kipato cha wananchi, huku ukitarajiwa pia kutoa manufaa ya kijamii Na Kuruthumu Mkata Kampuni ya Lasting Forest Solutions imesaini hati ya makubaliano ya biashara ya hewa ukaa na Jumuiya ya Uhifadhi…

27 April 2026, 19:29

DC Kyobya ataka ufugaji kuku wenye tija

Akizindua mafunzo ya ufugaji wa kuku bora Mkuu wa Wilaya amewagiza wataalamu kuhakikisha wanawatembelea wafugaji mara kwa mara ili kuwapa ushauri wa kitaalamu pamoja na kuwawezesha kupata mikopo Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, leo…

26 April 2026, 14:45

Kilombero yapanda miti 2000 kuadhimisha Muungano

Katika kumbukizi ya Muungano iliyoambatana na zoezi la upandaji miti Mkuu wa Wilaya amesisitiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi Na Katalina Liombechi Wilya ya Kilombero imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha miaka 62 ya Muungano wa…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.