Pambazuko FM Radio

Recent posts

18 June 2026, 19:56

 ULS yasaidia Mil 8.95 huduma za Afya Kanyenja

Fedha hizo ni kusaidia ujenzi wa jengo la mama na mtotokatika zahanati ya Kijiji Kanyenja ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa ULS wenye lengo la kujenga uhusiano mzuri kati ya wananchi wanaopakana na hifadhi zilizopo katika Ushoroba wa…

16 June 2026, 14:48

Wanafunzi walalamikia vikwazo vya tahasusi

Baadhi ya wanafunzi katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamesema walimu, wazazi na walezi huathiri uchaguzi wao wa tahasusi na masomo, na hivyo wito kutolewa kwa wadau wa elimu kuunda mazingira yatakayowasaidia wanafunzi kufikia ndoto zao za kitaaluma. Na: Henry…

13 June 2026, 13:52

Kilombero yakumbushwa kutopuuza fursa za elimu

 “Elimu ya ufundi stadi ni ujuzi muhimu unaotolewa chuoni, na ujuzi huo unamwezesha kijana kujitegemea na kuepuka utegemezi.” Mwalimu Peter Magoda, mtaalamu wa matumizi ya kompyuta. Na Henry Mwakifuna Maisha ya sasa bila elimu si kitu. Hayo yamesemwa na Mwalimu…

10 June 2026, 14:04

Plan yaacha alama Kilombero

Shirika la Plan International limehitimisha shughuli zake za ufadhili wa watoto katika Wilaya ya Kilombero baada ya zaidi ya miaka 30, likiacha mafanikio makubwa katika elimu, afya, ustawi wa watoto na uwezeshaji wa jamii. Na: Isidory Mtunda Baada ya zaidi…

8 June 2026, 13:06

St.Francis Hospital yatoa matibabu ya kibingwa bure Ifakara

Uwepo wa madaktari hao ni fursa muhimu kwa wananchi kupata huduma za kibingwa karibu na maeneo yao, huku pia ikichangia kubadilishana uzoefu na ujuzi wa kitabibu Na Katalina Liombechi Wananchi wa Ifakara na maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro wamehimizwa…

8 June 2026, 11:48

Viongozi Mbingu wapatiwa mafunzo ya uhifadhi

Viongozi katika kijiji cha Mbingu pamoja na kamati ya mazingira wamejengewa uwezo wa kulinda msitu asili wa Kilombero kupitia mafunzo ya uhifadhi na udhibiti wa moto. Na: Isidory Mtunda Viongozi wa Serikali ya Kijiji cha Mbingu halmashauri ya wilaya ya…

6 June 2026, 09:20

Lasting Forest yatoa mafunzo hewa ukaa Kilombero

Biashara ya hewa ukaa itasaidia kupunguza hewa chafu inayoweza kuathiri afya za wananchi pamoja na kuchangia ongezeko la mapato kwa jamii Na Kuruthumu Mkata Kampuni ya Lasting Forest Solutions imetoa mafunzo ya elimu kuhusu hewa ukaa na ushoroba kwa wajumbe wa Kamati Tendaji…

5 June 2026, 21:30

DC Kilombero aonya waharibifu vyanzo vya maji

Mkuu huyo wa Wilaya amesisitiza umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mto Lumemo ambao ni moja ya vyanzo muhimu vya maji vinavyochangia mtiririko wa Mto Kilombero Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili, amesema hatamvumilia mtu yeyote anayejihusisha na…

5 June 2026, 14:07

Jamii yaimarishwa kulinda msitu KNFR

TFS kupitia KNFR kwa kushirikiana na mradi wa FOLUR imetoa mafunzo ya usimamizi shirikishi wa misitu na udhibiti wa moto kwa kamati za maliasili na wajumbe wa serikali kutoka vijiji 11 vya Wilaya ya Mlimba, kwa lengo la kuimarisha uhifadhi…

4 June 2026, 20:15

Six Rivers Africa yaelimisha uhifadhi plastiki Ulanga, Kilombero

shirika hilo limeahidi kupeleka mapipa mawili katika kambi hizo mbili ili kusaidia ukusanyaji na uhifadhi wa taka za plastiki kabla ya kupelekwa viwandani kwa ajili ya kurejelewa na kutumika tena Na Katalina Liombechi Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.