Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
4 June 2026, 20:15
shirika hilo limeahidi kupeleka mapipa mawili katika kambi hizo mbili ili kusaidia ukusanyaji na uhifadhi wa taka za plastiki kabla ya kupelekwa viwandani kwa ajili ya kurejelewa na kutumika tena Na Katalina Liombechi Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku…
29 May 2026, 10:44
STEP kupitia ufadhili wa Polish aid wanalenga kuendeleza ufugaji bora wa kuku wa kienyeji kama njia muhimu ya kuongeza kipato cha familia na jamii Na Katalina Liombechi Shirika linalojihusisha na uhifadhi wa tembo kusini mwa Tanzania,Southern Tanzania Elephant Program (STEP)…
25 May 2026, 10:02
UKICU imepata wajumbe watano wapya wa bodi kutoka Ulanga, Malinyi na Mlimba katika uchaguzi uliofanyika Mei 23, 2026, huku Ifakara Mji ikikosa mwakilishi baada ya waombaji wake kutokidhi vigezo. Na: Isidory Mtunda Chama Kikuu cha Ushirika cha Ulanga na Kilombero…
22 May 2026, 20:24
vijana wanaowezeshwa na shirika la Swisscontact ni wenye umri kati ya miaka 15-24 na kwamba asilimia 80 ya walionufaika kwa awamu hii ni wasichana Na Katalina Liombechi Shirika la Swisscontact limefanikiwa kuwawezesha vijana 1,345 wa kike na kiume katika Wilaya ya…
17 May 2026, 11:24
TFS kupitia Hifadhi ya Msitu wa KNFR imepanda miche ya miti takribani 10,000 katika vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia mradi wa FOLUR, huku wananchi wakieleza manufaa ya msitu katika uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa kilimo. Na: Isidory Mtunda Wakala…
16 May 2026, 09:59
AWF inajivunia mafanikio yaliyopatikana katika kuhamasisha wananchi kujikita kwenye kilimo cha kakao ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa SUSTAIN-ECO Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mfuko wa Uhifadhi wa Wanyamapori Afrika (AWF) umetunukiwa cheti cha kutambuliwa kama mmoja wa wadau…
14 May 2026, 20:53
Mradi wa FOLUR unaendelea kuleta matokeo chanya kwa kuunganisha uhifadhi wa mazingira na uzalishaji endelevu Na Katalina Liombechi Hifadhi ya Mazingira Asili Uzungwa Scarp imepanda zaidi ya miti elfu nane ya Mikangazi na Mikenge katika safu ya Chita, ikiwa ni…
14 May 2026, 19:15
Matukio ya ukatili wa kijinsia sio mara ya kwanza kutokea katika kitongoji cha milola Na katalina Liombechi Wananchi wa kitongoji cha Milola, Kijiji cha Kibaoni Halmashauri ya mji wa Ifakara wameeleza kutoridhishwa na matukio ya ukatili dhidi ya wanawake yanayoendelea…
14 May 2026, 12:50
Chama Kikuu cha Ushirika Ulanga Kilombero (UKICU) kimepokea mizani 70 za kidigitali kutoka kampuni ya ROTAI kwa lengo la kuboresha usahihi wa vipimo vya mazao na kuongeza uwazi kwa wakulima kupitia mfumo wa kidigitali unaotuma taarifa moja kwa moja kwenye…
14 May 2026, 11:28
Na: Isidory Mtunda Maafisa wa mazingira na mifugo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro wamewataka wananchi wanaojihusisha na ufugaji mijini kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za ufugaji salama ili kuepusha athari kwa mazingira na jamii. Akizungumza na Pambazuko…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.