Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
10 August 2026, 12:45
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka madereva wa bodaboda, bajaji na guta kuzingatia sheria za usalama barabarani, ikiwemo kutobeba abiria zaidi ya mmoja kwa bodaboda na bajaji, huku guta likisisitizwa kuwa chombo cha kubeba mizigo. Na; Kuruthum Mkata Mkuu…
10 August 2026, 11:32
Kampuni ya Agricom Tawi la Ifakara imepeleka zana za kilimo katika Kata ya Mlenge, Tarafa ya Pawaga mkoani Iringa, kuwawezesha wakulima kupata zana za kisasa na kuwaunganisha na taasisi za kifedha kwa ajili ya ununuzi wa mitambo hiyo. Na: Isidory…
3 August 2026, 23:12
Polisi wilayani Kilombero wamewataka madereva wa bodaboda na bajaji kuzingatia sheria za usalama barabarani, huku madereva wakiiomba Serikali kuwasogezea mafunzo ya leseni na kuboresha utambuzi wa vyombo vyao. Na; Isidory Mtunda Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto wametajwa kuendelea…
2 August 2026, 18:46
Pampu hizi zitasaidia kuongeza uzalishaji na kuwawezesha wanakikundi kuimarisha shughuli zao za kilimo pamoja na kurejesha mkopo kwa ufanisi – Husna Sekiboko Na Henry Mwakifuna Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Husna Sekiboko,…
2 August 2026, 18:20
Picha ya mabinti waliokatisha masomo au kukata tamaa kutokana na changamoto za ujauzito kutoka Taasisi ya Enlight Development Organization (EDO) (Pcha na Henry Mwakifuna.) Mheshimiwa Sekiboko ameipongeza EDO kwa mchango wake katika kuwawezesha mabinti na wanawake waliopitia changamoto mbalimbali kurejea…
1 August 2026, 13:10
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka madereva wa matrekta na Power Tiller kuzingatia sheria za usalama barabarani, huku likieleza kuwa Power Tiller hairuhusiwi kubeba abiria kwa mujibu wa sheria. Na: Isidory Mtunda Madereva wa matrekta na Power Tiller katika…
31 July 2026, 15:17
Polisi wa Usalama Barabarani wamewapa elimu wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller katika Kata ya Chita, huku wakisisitiza marekebisho ya vyombo hivyo na ufuataji wa taratibu za usajili na leseni ili kupunguza ajali. Na: Isidory Mtunda Wamiliki na…
30 July 2026, 09:47
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro limefanya mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba. Mafunzo hayo yamelenga kupunguza ajali, vifo, na majeraha, huku wataalamu wakifafanua taratibu za…
29 July 2026, 07:43
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kupitia kitengo cha usalama barabarani limeendeleza kampeni ya kutoa elimu kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller wilayani Mlimba ili kumaliza kabisa tatizo la ajali za barabarani. Na: Isidory Mtunda Jeshi la…
25 July 2026, 13:58
Wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero wamepongeza jeshi la polisi kwa mafunzo ya usalama barabarani, huku wakipokea maelekezo ya kujiorodhesha ili kurahisisha utoaji wa mafunzo na leseni katika eneo lao. Na: Isidory Mtunda…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.