Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
16 August 2026, 12:57
Jeshi la Polisi wilayani Kilombero kupitia Mkuu wa Usalama Barabarani (DTO) limewataka wafanyabiashara wa eneo la barabara ya Kilosa mjini Ifakara kuachana na tabia ya kuegesha magari ya mizigo ovyo (double parking) ili kuzuia ajali na msongamano. Na: Isidory Mtunda…
14 August 2026, 14:41
Kuelekea wiki ya nenda kwa usalama, Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Kilombero limefanya ukaguzi wa magari ya Hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mtakatifu Fransisko pamoja na magari ya watumishi, kwa lengo la kubaini kasoro na…
14 August 2026, 08:43
Madereva wa bodaboda na bajaji Tarafa ya Mang’ula wameeleza changamoto zinazowakabili, zikiwemo taratibu za mauziano ya vyombo vya moto, TIN, vyeti vya udereva na gharama za mafunzo. Wataalamu kutoka TRA, MODS na Jeshi la Polisi wametoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo…
13 August 2026, 13:18
Picha ya wanachama wa CCM Ifakara Wakiwa kwenye Mkitano wa Hadhara katika ofisi za CCM Kilombero. Picha Kuruthum Mkata “Vijana mnapaswa kuwajibika na msikwepe majukumu ya kulea watoto kwa kuwaachia wanawake mzigo wote wa kulea watoto“ Na Kuruthum Mkata Katibu…
12 August 2026, 08:28
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kilombero, ASP Blandina Kasongwa, amefafanua mamlaka ya Polisi katika kudhibiti usalama barabarani, huku akiwataka madereva kutii maelekezo halali ya askari bila kujali aina ya sare anayovaa. Mazungumzo hayo pia yamejadili ukiukwaji wa…
11 August 2026, 08:52
Halmashauri ya Mlimba imepanga kupeleka wataalamu wake Zanzibar kwa mafunzo ya kilimo cha mazao ya viungo, kufuatia ushauri wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete. Hatua hiyo inalenga kuongeza ujuzi wa wataalamu na kuboresha uzalishaji wa mazao ya viungo, huku halmashauri…
10 August 2026, 12:45
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka madereva wa bodaboda, bajaji na guta kuzingatia sheria za usalama barabarani, ikiwemo kutobeba abiria zaidi ya mmoja kwa bodaboda na bajaji, huku guta likisisitizwa kuwa chombo cha kubeba mizigo. Na; Kuruthum Mkata Mkuu…
10 August 2026, 11:32
Kampuni ya Agricom Tawi la Ifakara imepeleka zana za kilimo katika Kata ya Mlenge, Tarafa ya Pawaga mkoani Iringa, kuwawezesha wakulima kupata zana za kisasa na kuwaunganisha na taasisi za kifedha kwa ajili ya ununuzi wa mitambo hiyo. Na: Isidory…
3 August 2026, 23:12
Polisi wilayani Kilombero wamewataka madereva wa bodaboda na bajaji kuzingatia sheria za usalama barabarani, huku madereva wakiiomba Serikali kuwasogezea mafunzo ya leseni na kuboresha utambuzi wa vyombo vyao. Na; Isidory Mtunda Baadhi ya madereva wa vyombo vya moto wametajwa kuendelea…
2 August 2026, 18:46
Pampu hizi zitasaidia kuongeza uzalishaji na kuwawezesha wanakikundi kuimarisha shughuli zao za kilimo pamoja na kurejesha mkopo kwa ufanisi – Husna Sekiboko Na Henry Mwakifuna Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Husna Sekiboko,…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.