Pambazuko FM Radio

Recent posts

20 March 2026, 20:03

Urithishaji maarifa ya asili kusaidia uhifadhi

Afisa maendeleo ya jamii amesisitiza umuhimu wa kuendeleza urithishaji wa maarifa hayo kwa vijana ili yasipotee kutokana na mabadiliko ya maisha ya kisasa Na Katalina Liombechi Katika juhudi za kuimarisha uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, wataalamu na wanajamii wameendelea kusisitiza…

19 March 2026, 19:00

Wito watolewa na TFS Kilombero kulinda misitu

TFS imekuwa ikichukua jitihada kadhaa kuendelea kutoa elimu,kuhamasisha upandaji wa miti kwa kugawa bure miche ya miti ya mbao na matunda kama mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikitarajia kuadhimisha Siku ya…

16 March 2026, 18:51

Ifakara yawatahadharisha wanaokaidi suala la usafi

Licha ya uwepo wa kampeni mbalimbali za kuhamasisha usafi, uongozi wa kata hiyo pia unasimamia utekelezaji wa sheria ndogo walizojiwekea ili kuhakikisha wale wanaokaidi kanuni za usafi wanachukuliwa hatua stahiki. Na Katalina Liombechi/David Ngogolo Uongozi wa Kata ya Ifakara umesema…

15 March 2026, 16:39

Jamii Kilombero yakumbushwa kujali makundi yenye uhitaji

Tumekutana na wenzetu ambao mara nyingi hawakumbukwi na hawapewi ushirikiano, tukumbushane kama jamii kuwaombea na kushirikiana nao wanapohitaji msaada. Na Nicolatha Mpaka Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, wakili Dustan Kyobya, amewaalika na kushiriki futari na makundi maalum yenye uhitaji katika…

14 March 2026, 09:12

DC Kyobya apongeza maboresho St. Francis Hospital

Kwasasa tunaona mabadiliko ya huduma bora katika hospitali hii kwa wateja,vifaa,majengo na mahusiano Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amepongeza juhudi zinazoendelea kufanyika katika kuleta mabadiliko chanya katika Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisko Ifakara…

14 March 2026, 08:33

Jamii yakumbushwa misingi ya ufugaji nyuki

Wanaotaka kufuga nyuki ndani ya misitu inayosimamiwa na TFS wanapaswa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa ili kulinda misitu na kuhakikisha shughuli hiyo inafanyika kwa usalama. Na Katalina Liombechi Ufugaji wa nyuki imetajwa kuwa miongoni mwa shughuli muhimu zinazochangia uhifadhi…

13 March 2026, 19:47

Polisi wanawake Moro wachangia matibabu mtoto mwenye ulemavu

Polisi wanawake mkoa wa Morogoro wamefanya harambee ya kupata kiasi cha fedha Tsh.630,000 kusaidia matibabu  baada ya kuona uhitaji kwa mtoto Zuhaira mara baada ya kumtembelea Machi 6, 2026 wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Na Katalina Liombechi Mtandao wa Polisi…

12 March 2026, 19:24

Wagonjwa wa figo 40 huonwa kwa wiki Ifakara

Ndani ya siku mbili za wiki Hospitali ya St.Francis huona wagonjwa 30-40 kwa wiki huku wengi wao wakiwa na changamoto ya kifedha kushindwa kugharamia matibabu ya ugonjwa huo Na Kuruthumu Mkata Takribani wagonjwa 15 hadi 20 wa figo hupatiwa matibabu…

11 March 2026, 22:53

Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio

Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…

11 March 2026, 20:21

Watendaji 61 wapatiwa mafunzo kupinga ukeketaji kinywani

Mafunzo hayo yanatolewa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Ifakara lengo ni kuwafikia viongozi wa mitaa/vijiji na kata 817 Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya watendaji 61 kutoka kata za Lumemo na Michenga katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.