Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
10 February 2026, 20:38
“Baadhi ya wagonjwa wanaofika hospitalini wanadai wapo wengine mitaani lakini hawajapata ujasiri wa kujitokeza kutokana na mitazamo potofu” Na Katalina Liombechi Mratibu wa Kudhibiti Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, Hamis Ngayungwa, ameitaka jamii kuacha imani…
9 February 2026, 20:09
“Tunawakaribisha wawekezaji kuja kulima mazao ya kimkakati katika wilaya ya Kilombero” Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amewataka wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza katika Wilaya ya Kilombero kutokana na uwepo wa…
9 February 2026, 17:36
Wakazi wa kijiji cha Ijia, kata ya Mchombe halmashauri ya wilayani ya Mlimba, wamelalamikia uvamizi wa mashamba yao na mifugo ya wafugaji, wakidai hali hiyo imesababisha vurugu, majeruhi na kuongezeka kwa migogoro ya kijamii, huku wakimuomba mkuu wa Wilaya kuingilia…
7 February 2026, 17:20
Na; Isidory Mtunda Kampuni ya Moto Max Energies inayozalisha mkaa mbadala katika kijiji cha Mahutanga, Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro, imekabidhiwa mashine ya kisasa ya kuzalisha kuni mbadala yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 130, kupitia mradi…
7 February 2026, 09:26
“Tumeamua kutoa elimu ya ufugaji nyuki wasiouma baada ya kuona asali ya nyuki hawa ina gharama kubwa kuliko nyuki wa kawaida“ Na Katalina Liombechi Katika jitihada za kupunguza utegemezi wa rasilimali za asili na kuongeza kipato cha jamii, Shirika la…
6 February 2026, 20:02
“Suala la lishe tumekubalina kwenye vikao na mikutano hivyo tunaendelea kukumbushana na kuhimizana” Na Katalina Liombechi Viongozi na Wananchi kata ya Lumemo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameendelea kuhamasishana kuchangia lishe mashuleni ili kuwasaidia watoto kujifunza bila vikwazo. Hayo…
6 February 2026, 11:07
“Tunachotakiwa ni kulinda vyanzo vya maji ili vizazi vijavyo viweze kunufaika na huduma ya maji” Na Kuruthumu Mkata Meneja Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Morogoro, Mhandisi Sospeter Lutonja, amewataka wananchi kuhakikisha wanatunza na kulinda…
30 January 2026, 20:14
Kabla ya Mradi kufanya maboresho Hospitali ilikuwa inarekodi wastani wa vifo vya watoto wachanga hadi 175 kwa mwaka hali iliyochangiwa na upungufu wa huduma maalum na miundombinu stahiki Na Katalina Liombechi Vifo vya watoto wachanga katika Hospitali ya Rufaa ya…
29 January 2026, 19:23
Ziara hiyo imelenga kuwezesha wakulima kujifunza moja kwa moja kutoka kwa wakulima bora waliopiga hatua, kwa kubadilishana uzoefu, kuuliza maswali na kuona kwa vitendo mbinu zinazotumika shambani. Na Katalina Liombechi Katika kuendeleza utekelezaji wa shughuli za mradi wa Sustain Eco…
28 January 2026, 13:59
Jumla ya shilingi milioni 600 zimetolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye mahitaji maalum ndani ya Halmashauri ya Mji wa Ifakara kupitia mikopo ya asilimia kumi, ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali za kuwawezesha wananchi kiuchumi. Akizungumza…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.