Pambazuko FM Radio

Recent posts

12 March 2026, 19:24

Wagonjwa wa figo 40 huonwa kwa wiki Ifakara

Ndani ya siku mbili za wiki Hospitali ya St.Francis huona wagonjwa 30-40 kwa wiki huku wengi wao wakiwa na changamoto ya kifedha kushindwa kugharamia matibabu ya ugonjwa huo Na Kuruthumu Mkata Takribani wagonjwa 15 hadi 20 wa figo hupatiwa matibabu…

11 March 2026, 22:53

Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio

Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…

11 March 2026, 20:21

Watendaji 61 wapatiwa mafunzo kupinga ukeketaji kinywani

Mafunzo hayo yanatolewa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Ifakara lengo ni kuwafikia viongozi wa mitaa/vijiji na kata 817 Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya watendaji 61 kutoka kata za Lumemo na Michenga katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara…

11 March 2026, 20:08

Mil. 44 kujenga madarasa mawili sekondari Mabukula

Fedha hizo zimetolewa ili kupunguza changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa inayoikabili shule hiyo. Na Katalina Liombechi Kata ya Kibaoni imepokea kiasi cha shilingi milioni 44 kutoka katika fedha za ndani za Halmashauri ya mji wa Ifakara kwa ajili…

10 March 2026, 19:59

Kilombero waaswa kuacha ukeketaji kinywani kwa watoto

”Ajenda ya dhana potofu ya meno ya plastiki, ukeketaji wa viungo kinywani ijadiliwe kwenye mikutano ,mashuleni na vikao mbalimbali” Na Katalina Liombechi Jamii Wilayani Kilombero imetakiwa kupinga vikali dhana potofu kuhusu uwepo wa meno ya plastiki pamoja na vitendo vya…

9 March 2026, 19:51

RC Malima awaonya wanaofumbia macho unyanyasaji dhidi ya wanawake

Picha ya Wanawake Morogoro wakiwa wameshika bango kusherehekea siki yao(Picha na Kuruthumu Mkata) “Kuna watu watendaji wanaona mwanamke ananyang’anywa ardhi anabariki nikimsikia mtu anaangalia unyanyasaji wa namna hii ahame mkoa wangu” Na Amina Mrisho Watendaji wote wa serikali kuanzia ngazi…

7 March 2026, 11:59

Mila potofu,ukatili vikwazo kwa wasichana Ifakara

Maadhimisho ya siku ya wanawake yanafanyika kwa ajili ya kutafakari mchango wa mwanamke katika jamii na kuhakikisha anajikomboa zaidi Na Amina Mrisho Mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na mila potofu kwa watoto wa kike vimetajwa…

7 March 2026, 11:09

Kilombero warejesha mto uliotoweka

Mto Ikwambi ulikuwa hatarini kutoweka kutokana na uharibifu wa mazingira uliosababishwa na shughuli za kibinadamu Na Katalina Liombechi Shirika la Kilombero Organization for Community Development (KOCD) limefanikiwa kurejesha uhai wa Mto Ikwambi uliopo katika Kijiji cha Sululu, Kata ya Signali,…

7 March 2026, 10:11

Jamii Ifakara yahimizwa kupima afya mara kwa mara

Watu wengi hugundulika na magonjwa katika hatua za mwisho kutokana na kutojenga tabia ya kupima afya mapema Na Katalina Liombechi Jamii yahimizwa kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kujikinga na magonjwa na kuboresha afya zao kwa…

6 March 2026, 15:52

Hakuna mkazi Mdindo asiyelipwa fidia

Viongozi wa kijiji cha Mdindo wilayani Ulanga wanasema wakazi wote waliathiriwa na maandalizi ya mradi wa uchimbaji madini wamelipwa fidia, huku wananchi wakisisitiza umuhimu wa uelewa wa mikataba na msaada wa kisheria kwa jamii. Na; Isidory Mtunda Mwenyekiti wa Kijiji…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.