Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
3 March 2026, 19:15
Miradi hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu, miundombinu jumuishi na rafiki kwa makundi yote. Na Katalina Liombechi Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Mheshimiwa Abubakar Asenga, leo ametembelea Kata ya Lumemo katika Halmashauri…
2 March 2026, 13:52
Kuna umuhimu wa kuongeza kasi ya usajili wa vikundi mbalimbali ili kuwezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika uchumi shindani na jumuishi Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha Dira ya taifa 2050 inatekelezwa kwa ufanisi, Mkoa wa Morogoro kupitia Idara ya Maendeleo ya…
20 February 2026, 19:37
Uandikishaji wa darasa la awali umefikia asilimia 106, huku darasa la kwanza likifikia asilimia 136 ya lengo Na Katalina Liombechi Kata ya Viwanjasitini, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, imevuka malengo ya uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali na la…
18 February 2026, 19:23
Tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho Na David Ngogolo/Nicolatha Mpaka Mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 15, mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Moonlight iliyopo kijiji cha madibila, kata ya Lupiro,…
13 February 2026, 20:18
Polisi Kupitia maadhimisho ya siku ya familia ya polisi,Jeshi hilo hujipima na kuhakikisha linatimiza wajibu wake wa kulinda raia na mali zao. Na Katalina Liombechi Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi yamefanyika leo katika viwanja vya Kiungani, vilivyopo Halmashauri…
13 February 2026, 15:06
Ifakara Health Institute (IHI) imeadhimisha miaka 70 tangu kuanzishwa kwake, ikiendelea kujijenga kama taasisi kinara katika utafiti wa afya barani Afrika. Katika kipindi hicho, taasisi imeimarisha miundombinu ya maabara, kuongoza tafiti za malaria na chanjo, pamoja na kuzalisha wataalamu wa…
12 February 2026, 21:01
“Wakulima wengi wameamua kutoa zao la muwa na kupanda mpunga kutokana na kupungua kwa bei ambapo kipindi cha nyuma walikuwa wakiuza gari moja la miwa Tsh Mil.3 lakini kwa sasa gari hilo linauzwa hadi chini ya Laki 8” Na Katalina…
12 February 2026, 20:21
Pamoja na mambo mengine Jeshi la Polisi limeendelea kuikumbusha jamii kutotelekeza familia zao kwani hali hiyo inaathiri malezi ya watoto Na Katalina Liombechi Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi “Police Family Day” yanayofanyika Februari 13, kila mwaka,…
11 February 2026, 20:29
Mkandarasi alipata changamoto ya vifaa kuharibika. Na Amina Mrisho Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) wilaya ya Kilombero umeeleza sababu za kuchelewa kusambaza vifusi katika barabara za halmashauri ya mji wa Ifakara. Akizungumza na Pambazuko FM, Februari 9,2026…
11 February 2026, 20:12
Kupitia juhudi hizi, GECA na washirika wake wanaendelea kuweka msingi imara wa kizazi kipya cha wanawake wanasayansi watakaobadilisha dunia. Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Wasichana na Wanawake katika sayansi leo Februari 11,2026 Chini ya shirika la UNESCO,Shirika…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.