Recent posts
18 February 2023, 1:18 pm
Wanufaika wa Tasaf walia kuondolewa kwa ruzuku-Ifakara
Na Elias Maganga Wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya Jamii Tasaf awamu ya tatu Kata ya Mbasa katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekuwa na hali ya sintofahamu juu ya ruzuku ya msingi na utekelezaji wa mradi wa barabara huku …
11 February 2023, 4:14 pm
Mikakati ya kuondokana na uchafu wa mazingira yaanza kutekelezwa-Ifakara
Na Elias Maganga Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameshauriwa kuunga mkono kampeni ya usafi wa mazingira inayojulikana Usafi wangu mita tano na mita tano usafi wangu,kwa kufanya hivyo watakuwa wanajikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ya maambukizi.…
10 February 2023, 4:24 pm
Zoezi la uondoaji Mifugo limeanza katika Bonde la Mto Kilombero
Na Kuruthum Mkata Operesheni ya kuondoa Mifugo ndani ya Bonde la Mto Kilombero, limeanza kutokana na maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Dominick Kyobya imeanza katika Kijiji cha Merera,Kata ya Chita ,Tarafa ya Mngeta, Halmashauri ya Wilaya…
10 February 2023, 3:07 pm
Wazazi wamekubaliana kuchangia lishe shuleni
Na Katalina Liombechi Wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya msingi Ifakara katika Kata ya Viwanjasitini Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekubaliana kuchangia lishe kwa watoto pindi wanapokuwa Shuleni ikiwa ni njia ya kukuza Ufaulu Shuleni hapo. Katika Makubaliano hayo…
8 February 2023, 2:37 pm
Ufugaji wa Nyuki huzuia uharibifu wa rasilimali Misitu na Mazingira
Na Katalina Liombechi Ufugaji Nyuki Wilayani Kilmbero imetajwa kuwa shughuli Mojawapo rafiki kwa uhifadhi endelevu wa Rasilimali za Misitu na Mazingira kwa Ujumla. Afisa Nyuki Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero bwana John Mlulu ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa…
7 February 2023, 2:49 pm
Kituo cha Polisi Ifakara ni chakavu-Dc Kyobya
Na Kuruthum Mkata Uchakavu wa Jengo na miundo mbinu mibovu ya umeme katika Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Kilombero kilichopo Ifakara ,imepelekea Mkuu wa Wilaya ya Kilombero wakili Dunstan Kyobya kuagiza kufanya marekebisho ikiwa ni pamoja na kupaka rangi…
31 January 2023, 12:07 pm
Rc Mwasa azuia utolewaji wa vibali vya uchomaji wa mkaa
“Kutokana na mabadiliko ya tabianchi ambayo inaikumba nchi yetu na Dunia kwa ujamla Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Bi Fatma Mwasa amepiga marufuku uchomaji wa mkaa na kuwataka wanaofanya shughuli hizo ,watafute shughuli zingine za kufanya” By Elias Maganga/Isdory Mtunda…
31 January 2023, 8:33 am
Wazazi wasiowapeleka watoto shule kukiona
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bwana Dunstan Kyobya amewaagiza maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni. Bwana kyobya ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa umma,viongozi wa dini pamoja na…
24 August 2021, 8:29 am
Tahadhari Ya Moto
Na Katalina Liombechi Wakulima katika Wilaya ya Kilombero wametakiwa kuchukua Tahadhari ya kudhibiti Moto hasa kipindi hiki cha Maandalizi ya Mashamba ili Kuzuia kuchoma Rasilimali Za Misitu. Idd Hassan Liwiga ni Mhifadhi wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu…
1 July 2021, 6:20 am
Zahanati Lumemo Kukamilika,Mwenyekiti aeleza
Na: Vitalisi Magalitele Serikali ya Kijiji cha Lumemo kata ya Lumemo Wilayani Kilombero imeingiziwa fedha kiasi cha shilingi Milioni 15 kutoka Serikali ya Halmashauri ya mji wa Ifakara kwa ajiri ya kusaidia ujenzi wa Zahanati Kijijini humo Akizungumza na pambazuko…