Pambazuko FM Radio

Recent posts

23 June 2026, 19:35

Wajane  Ifakara wapinga mila kandamizi

Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…

23 June 2026, 19:13

Mazingira rafiki yachochea uwekezaji Ifakara

Mazingira rafiki na wezeshi yanaongeza fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya uchumi wa eneo la Ifakara na Wilaya ya Kilombero kwa ujumla. Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amesema Serikali chini ya uongozi wa…

23 June 2026, 07:09

Vijana 50 wapatiwa mafunzo mbasa

Vijana 50 wa Kata ya Mbasa, Halmashauri ya Mji Ifakara, wamepatiwa mafunzo ya ujasiriamali, afya ya uzazi na stadi za maisha na Shirika la WISE, yakilenga kuwawezesha kujiajiri na kuboresha maisha yao kiuchumi. Na: Isidory Mtunda Vijana wapatao 50 kutoka…

22 June 2026, 20:23

CRDB yazindua kampeni ya bonge la Wakala Kilombero

Lengo ni kuhakikisha huduma za kifedha zinawafikia wananchi kwa urahisi zaidi kupitia mawakala wetu waliopo karibu na maeneo Na Katalina Liombechi Benki ya CRDB imezindua kampeni ya miezi sita ya “Bonge la Wakala” kupitia huduma ya Simbanking kimpango wako inayolenga…

18 June 2026, 20:36

Walimu wanufaika na mafunzo ikolojia, ufugaji nyuki

Shirika la Six Rivers Africa limetoa mafunzo hayo likiamini kuwa elimu ya ikolojia inayowafikia wanafunzi kupitia walimu wao itachangia kujenga kizazi chenye uelewa wa kina kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira Na Katalina Liombechi Shirika la Six Rivers Africa limetoa mafunzo…

18 June 2026, 19:56

 ULS yasaidia Mil 8.95 huduma za Afya Kanyenja

Fedha hizo ni kusaidia ujenzi wa jengo la mama na mtotokatika zahanati ya Kijiji Kanyenja ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa ULS wenye lengo la kujenga uhusiano mzuri kati ya wananchi wanaopakana na hifadhi zilizopo katika Ushoroba wa…

16 June 2026, 14:48

Wanafunzi walalamikia vikwazo vya tahasusi

Baadhi ya wanafunzi katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamesema walimu, wazazi na walezi huathiri uchaguzi wao wa tahasusi na masomo, na hivyo wito kutolewa kwa wadau wa elimu kuunda mazingira yatakayowasaidia wanafunzi kufikia ndoto zao za kitaaluma. Na: Henry…

13 June 2026, 13:52

Kilombero yakumbushwa kutopuuza fursa za elimu

 “Elimu ya ufundi stadi ni ujuzi muhimu unaotolewa chuoni, na ujuzi huo unamwezesha kijana kujitegemea na kuepuka utegemezi.” Mwalimu Peter Magoda, mtaalamu wa matumizi ya kompyuta. Na Henry Mwakifuna Maisha ya sasa bila elimu si kitu. Hayo yamesemwa na Mwalimu…

10 June 2026, 14:04

Plan yaacha alama Kilombero

Shirika la Plan International limehitimisha shughuli zake za ufadhili wa watoto katika Wilaya ya Kilombero baada ya zaidi ya miaka 30, likiacha mafanikio makubwa katika elimu, afya, ustawi wa watoto na uwezeshaji wa jamii. Na: Isidory Mtunda Baada ya zaidi…

8 June 2026, 13:06

St.Francis Hospital yatoa matibabu ya kibingwa bure Ifakara

Uwepo wa madaktari hao ni fursa muhimu kwa wananchi kupata huduma za kibingwa karibu na maeneo yao, huku pia ikichangia kubadilishana uzoefu na ujuzi wa kitabibu Na Katalina Liombechi Wananchi wa Ifakara na maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro wamehimizwa…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.