Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
25 March 2026, 11:20
Kupitia Mradi wa Sustain-Eco, unaotekelezwa kwa ushirikiano wa AWF na IUCN chini ya ufadhili wa serikali ya Sweden, ulitoa zaidi ya shilingi milioni 25 mwezi Oktoba 2025 kusaidia juhudi hizo. Na Hospice Lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya…
24 March 2026, 18:41
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…
21 March 2026, 11:43
Doria ya pamoja ya maafisa wa mazingira na kamati ya kijiji imebaini uharibifu wa msitu wa hifadhi wa Kilombero (KNFR), huku mamlaka zikitoa onyo kali dhidi ya vitendo vya ukataji miti na uchomaji mkaa. Na Isidory Mtunda Maafisa kutoka Kitengo…
20 March 2026, 20:03
Afisa maendeleo ya jamii amesisitiza umuhimu wa kuendeleza urithishaji wa maarifa hayo kwa vijana ili yasipotee kutokana na mabadiliko ya maisha ya kisasa Na Katalina Liombechi Katika juhudi za kuimarisha uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, wataalamu na wanajamii wameendelea kusisitiza…
19 March 2026, 19:00
TFS imekuwa ikichukua jitihada kadhaa kuendelea kutoa elimu,kuhamasisha upandaji wa miti kwa kugawa bure miche ya miti ya mbao na matunda kama mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikitarajia kuadhimisha Siku ya…
16 March 2026, 18:51
Licha ya uwepo wa kampeni mbalimbali za kuhamasisha usafi, uongozi wa kata hiyo pia unasimamia utekelezaji wa sheria ndogo walizojiwekea ili kuhakikisha wale wanaokaidi kanuni za usafi wanachukuliwa hatua stahiki. Na Katalina Liombechi/David Ngogolo Uongozi wa Kata ya Ifakara umesema…
15 March 2026, 16:39
Tumekutana na wenzetu ambao mara nyingi hawakumbukwi na hawapewi ushirikiano, tukumbushane kama jamii kuwaombea na kushirikiana nao wanapohitaji msaada. Na Nicolatha Mpaka Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, wakili Dustan Kyobya, amewaalika na kushiriki futari na makundi maalum yenye uhitaji katika…
14 March 2026, 09:12
Kwasasa tunaona mabadiliko ya huduma bora katika hospitali hii kwa wateja,vifaa,majengo na mahusiano Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amepongeza juhudi zinazoendelea kufanyika katika kuleta mabadiliko chanya katika Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisko Ifakara…
14 March 2026, 08:33
Wanaotaka kufuga nyuki ndani ya misitu inayosimamiwa na TFS wanapaswa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa ili kulinda misitu na kuhakikisha shughuli hiyo inafanyika kwa usalama. Na Katalina Liombechi Ufugaji wa nyuki imetajwa kuwa miongoni mwa shughuli muhimu zinazochangia uhifadhi…
13 March 2026, 19:47
Polisi wanawake mkoa wa Morogoro wamefanya harambee ya kupata kiasi cha fedha Tsh.630,000 kusaidia matibabu baada ya kuona uhitaji kwa mtoto Zuhaira mara baada ya kumtembelea Machi 6, 2026 wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Na Katalina Liombechi Mtandao wa Polisi…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.