Pambazuko FM Radio

Recent posts

18 May 2021, 05:36

Uhalifu Wapungua 75%,Wananchi waondolewa Hofu

Baadhi  ya  wananchi  wa  Mtaa wa Mangwale  Kata  ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameeleza  wasiwasi  wao  juu ya vitendo vya kiuhalifu vinavyotokea   kwenye mtaa huo. Wakizungumza na pambazukofm baadhi ya wakazi hao akiwemo Joyce …

18 May 2021, 05:21

Pembejeo,Hamasa mpya kilimo cha Pamba Malinyi

Wakulima 25 katika Kijiji cha  Kipenyo kata ya Mtimbira Wilayani Malinyi wamelima Jumla ya hekari 41 za zao la Pamba. Afisa Kilimo wa Kijiji hicho Bwana Miraji Ngaillah amesema wakulima wameanza kuhamasika kulima zao hilo ambapo hapo awali kulikuwa na…

16 December 2020, 08:30

Siku 16 za kupinga ukatili Ifakara

Kamati ya MTAKUWA kijiji cha Sagamaganga, kata ya Signali, kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kuibua ndoa na mimba za utotoni pamoja na matukio ya ubakaji. Hayo yameelezwa na mjumbe wa kamati ya MTAKUWA wa kijiji hicho bi, MACRINA MHALAFU,…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.