Afya
15 December 2023, 5:15 pm
Jamii mkoani Manyara yatakiwa kuzingatia lishe bora
Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuzingatia lishe bora ili kuimarisha kinga za mwili na kuondokana na tatizo la utapia mlo. Na George Agustino Mkurugenzi msaidizi wa huduma ya lishe kutoka Wizara ya Afya Neema Joshua ameyasema hayo leo katika kipindi cha…
14 December 2023, 6:04 pm
Ukosefu wa eneo maalum la kuchomea taka baadhi ya vituo vya afya kuathiri wana…
Vituo vya afya viingi kisiwani Pemba havina maeneo maalumu ya kuchomea taka ambazp zinatokana baada ya m,abaki wanayotumia baada ya kutoa huduma kwa wagonjwa na wananchi kuwa na ghofu kupata maradhi wanaishi karibu na vituo hivyo. Na Khadija Ali SERA…
12 December 2023, 4:59 pm
Mahundi achangia tani mbili za saruji zahanati ya Tiringati
Mhe Naibu waziri wa maji Maryprisca Mahundi amechangia tani mbili za saruji katika zahanati ya Kijiji Cha Tiring’ati. Na Adelinus Banenwa Mhe Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi amechangia tani mbili za saruji katika zahanati ya kijiji cha Tiring’ati ikiwa…
9 December 2023, 5:07 pm
Wanawake wilayani wakomesha ukatili
kufuatia na kuwepo kwa vitendo vya ukatili kwenye jamii wanawake wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuripoti kwenye vyombo vya sheria. RUNGWE-MBEYA Na Lethicia Shimbi Ikiwa bado ni Mwendelezo wa kampeni za kupinga ukatili wa kinjinsia Duniani Wanawake Wilayani Rungwe Mkoani…
8 December 2023, 4:40 pm
Jamii wahimizwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO-19
Jamii wametakiwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO19 ili kukabiliana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona. Na Baraka David Ole Maika Wito huo umetolewa na Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Simanjiro Bw Hassan Bakari Keya alipofanya mahojiano na Orkonerei…
8 December 2023, 11:42 am
Makala: Kwanini hospitali ya jiji la Arusha haijakamilika?
Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG jengo hilo lilitengewa shilingi Bilioni 3.9 Na Joel Headman Msikilizaji ukisoma muundo wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa wa…
8 December 2023, 10:45 am
Hospitali ya jiji Arusha yakwama kukamilika licha ya kutengewa fedha
Shilingi bilioni 3.9 tayari zilitolewa na Serikali Kuu na kuifikia halmashauri ya jiji la Arusha miaka mitatu iliyopita lakini hadi mwaka 2023 bado jengo la wagonjwa wa nje kwenye hospitali ya jiji hilo haijakamilika. Na Joel Headman Wakazi wa jiji…
8 December 2023, 8:39 am
Makala: Umuhimu wa Bima ya afya kwa wananchi wote
Wakati wananchi nchi wakilalamikia kutopata huduma nzuri za matibabu na kukosekana kwa dawa wanapokwenda kupata huduma za afya katika hospitali mbali mbali serekali imewataka kuwa na bima za afya.. Na Mzidalifa Zaid Serikaili imehimiza wananchi wote nchini kutumia bima za…
7 December 2023, 5:36 pm
Uhaba wa miundombinu, vifaa tiba kituo cha afya Mererani
Kituo cha afya Mererani. Picha na Mwandishi wetu Joyce Elius Kituo cha afya Merereni kilichopo kata ya Endiamutu mji mdogo wa Mererani wilayani Simanjiro kinakabiliwa na uhaba wa miundombinu na vifaa tiba hali inayosababisha wananchi wa eneo hilo kulazimika kupatia…
7 December 2023, 2:04 pm
Kichanga chawekwa mochwari saa 3 kikiwa hai Ngorongoro
Mtoto mchanga akaa mochwari akiwa hai kwa saa 3 baada ya kudaiwa na wauguzi kuwa amefariki. Na Zacharia James Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe. Mwalim Raymond Mwangwala ameagiza kuchukuliwa kwa hatua za kinidhamu kwa baadhi ya wauguzi wa hospitali…