Radio Tadio

Afya

20 December 2023, 4:06 pm

Wananchi Katavi waaswa kukata bima  ya afya

Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi wametakiwa kukata bima  ya afya. Na Deus Daud – KATAVI Kufuatia uwepo wa sheria ya bima ya afya kwa wote wananchi wa mkoa wa Katavi…

19 December 2023, 7:42 pm

JKCI wasogeza matibabu ya kibingwa Kilimanjaro

Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete ( JKCI ) yaanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa katika mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Wananchi mkoa wa Kilimanjaro na mikoa jirani wameanza kupatiwa huduma na  matibabu ya kibingwa ya ugonjwa wa moyo…

18 December 2023, 9:43 pm

Magonjwa yasiyoambukiza huchangia asilimia 33 ya vifo nchini-WHO

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi huathirika zaidi na magonjwa yasiyoambukiza. Na Fred Cheti. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia takribani asilimia 33 ya vifo vyote nchini huku takwimu hizo…

16 December 2023, 12:15 am

Wananchi watoa maoni mseto kwa wavaa miwani bila kupima

Wananchi mkoani Katavi watoa maoni juu ya madhara ya kuvaa miwani bila kuzingatia ushauri wa  madktari wa macho. Na Lilian Vincent – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni juu ya madhara yanayoweza kumpata mtu anaevaa miwani bila…