Radio Tadio

Afya

7 December 2023, 11:21 am

Wananchi wa kata ya Sarame walazimika kunywa maji machafu

Wananchi wa kata ya Sarame mkoani Manyara wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya maji iliyodumu kwa muda mrefu. Na Muzidalifa Zaid. Wananchi wa kata ya Sarame  wilayani Babati mkoani Manyara, wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo  limedumu kwa muda mrefu…

2 December 2023, 08:33

Serikali kuboresha miundombinu ya huduma za afya

Na Kelvin Lameck Serikali imesema itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za afya sambamaba na kutoa elimu kwa Wananchi ikiwa ni hatua ya kukabiliana na kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Mbarali…

2 December 2023, 07:17

Pimeni afya zenu ili muishi vizuri

Na Hobokela Lwinga Jamii mkoani mbeya imeombwa kujitokeza kwenye hospitali vituo vya afya, na zahanati kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza virusi mara moja hasa mhusika agundulikapo kuwa na maambukizi ili kuendelea kuijenga…

2 December 2023, 7:07 am

Rungwe yajinasua na maambukizi ya usubi

Baada ya kufanyika kwa tafiti mbalimbali kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa usubi mikoa ya nyanda za juu kusini jamii imehamasika na unywaji wa dawa na kuweza kutokomeza. wadau mbalimbali wakiwemo watendaji wa kata,wenyeviti wa vijiji , madiwani,maafisa tarafa na madaktari…

1 December 2023, 9:09 pm

Wakurugenzi waaswa kutekeleza afua za mapambano dhidi ya Ukimwi

Na Adelphina Kutika Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Iringa pamoja na wadau wa maendeleo wanaoshughulikia masuala ya Ukimwi chini ya programu ya PEPFAR kuelekeza fedha kwenye shughuli za utekelezaji wa afua za mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi. Agizo hilo…

30 November 2023, 10:42

Zahanati mpya ya kisasa yanukia Nduka

Baada ya kukosekana kwa huduma za afya kwa wananchi wa kijiji cha Nduka wilayani Kyela, serikali imepanga kujenga zahanati ya kisasa kijijini hapo. Na James Mwakyembe Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela ambaye ni diwani wa kata ya Ikimba…

29 November 2023, 9:15 am

Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana Iringa-Makala

Vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi iringa waiomba serikali kuwawekea mazingira rafiki ya kupata elimu na huduma ya afya ya uzazi ili kuwawezesha kujikinga na magonjwa ya zinaa. Undani wa taarifa hii sikiliza makala ifuatayo