Radio Kwizera
97.7 MHz
Ngara, Kagera TZ
+255 743 872 983 | +255 692 573 615
online.radiokwizera@gmail.com
https://radiokwizera.co.tz/
97.7 MHz
Ngara, Kagera TZ
+255 743 872 983 | +255 692 573 615
online.radiokwizera@gmail.com
https://radiokwizera.co.tz/
April 20, 2026, 7:26 pm
Uwekezaji katika sekta ya madini umechangia pakubwa sekta hiyo kuongeza pato la Mkoa wa Geita ambalo kwa sasa ni zaidi ya Shilingi Trillion 9 kwa mwaka. Na Clement Shawishi- GEITA Imeelezwa kuwa zaidi ya 40% ya uzalishaji wa dhahabu Mkoani…
April 20, 2026, 7:10 pm
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa TFS Kanda ya Ziwa, Ebrandino Mgiye, amesisitiza kuwa utoaji wa elimu kwa wananchi ni nyenzo muhimu katika kupunguza vitendo vya uhalibifu wa misitu. Na William Mpanju- Biharamulo, Kagera Maafisa wa Jeshi la Uhifadhi kutoka Wakala wa…
April 20, 2026, 7:01 pm
Mradi huo utagharimu shilingi milioni 10 ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuongeza kipato chao ndani ya kanisa ambapo mradi umefikia hatua ya msingi. Na Samwel Masunzu- Kakonko, KIGOMA Wanawake katika kanisa la Free Pentecostal Church FPCT Kakonko mjini mkoani…
April 17, 2026, 7:48 pm
Wadau hao wamekutana kwa lengo la kujadili na kutathmini uwezekano wa kurekebisha au kuongeza nauli za abiria kufuatia kupanda kwa bei elekezi ya mafuta iliyoanza kutumika Aprili Mosi mwaka huu. Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Wamiliki wa vyombo vya usafiri…
April 17, 2026, 7:39 pm
Mradi huo unatakelezwa katika kipindi cha miaka 3 kuanzia mwaka huu 2026 hadi Disemba 2028 huku lengo kubwa la mradi huo ikiwa ni kutoa elimu ya jamii kutambua umuhimu wa kutunza mazingira. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Askofu wa Kanisa…
April 13, 2026, 6:54 pm
Wanafunzi 101 kutoka shule za sekondari Dhahabu, Evarist na Lwamugasa wamepatiwa vifaa mbalimbali vya kujiendeleza kitaaluma dhamira kuu ikiwa ni kuongeza ufanisi wa sera ya elimu bure. Na Clement Shawishi- Geita Afisa Elimu kata ya Nyarugusu wilayani Geita Bw. Robert…
August 23, 2025, 3:42 pm
Katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero DC Nkinda alipokea malalamiko kutoka kwa mwananchi Emanuel Maduhu ambaye anadai aliuziwa kiwanja na serikali ya mtaa huo ambacho kilikuwa kimeuzwa awali. Na Samuel Samsoni- Kahama Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga…
August 23, 2025, 3:17 pm
DC Bulimba amewapongeza kwa kuhitimu kwa nidhamu, umakini na utayari, akiwataka wakawe mfano bora kwa jamii na kutumia mafunzo waliyopata kwa kuhudumia wananchi na kulinda usalama wa jamii. Na William Mpanju- Biharamulo, Kagera Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, SACP Advera…
August 23, 2025, 1:39 pm
Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…
August 22, 2025, 3:56 pm
Kwa kipindi cha miaka minne wasichana hao wamesomeshwa bure na Serikali kupitia mpango wa kuboresha elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (SEQUIP-AEP). Na Shafiru Yusuph- Muleba, Kagera Wasichana 264 waliokatizwa na masomo ya Sekondari kwa sababu mbalimbali zikiwemo ujauzito wamerudishwa…
Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.