Radio Kwizera

Recent posts

April 17, 2026, 7:48 pm

Wadau wa usafiri majini Kagera walia na bei ya mafuta

Wadau hao wamekutana kwa lengo la kujadili na kutathmini uwezekano wa kurekebisha au kuongeza nauli za abiria kufuatia kupanda kwa bei elekezi ya mafuta iliyoanza kutumika Aprili Mosi mwaka huu. Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Wamiliki wa vyombo vya usafiri…

April 17, 2026, 7:39 pm

FPCT Kibondo yatambulisha mradi wa kukuza kipato

Mradi huo unatakelezwa katika kipindi cha miaka 3 kuanzia mwaka huu 2026 hadi Disemba 2028 huku lengo kubwa la mradi huo ikiwa ni kutoa elimu ya jamii kutambua umuhimu wa kutunza mazingira. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Askofu wa Kanisa…

April 13, 2026, 6:54 pm

Asante Africa Foundation yasaidia wanafunzi 101 Geita

Wanafunzi 101 kutoka shule za sekondari Dhahabu, Evarist na Lwamugasa wamepatiwa vifaa mbalimbali vya kujiendeleza kitaaluma dhamira kuu ikiwa ni kuongeza ufanisi wa sera ya elimu bure. Na Clement Shawishi- Geita Afisa Elimu kata ya Nyarugusu wilayani Geita Bw. Robert…

August 23, 2025, 3:42 pm

Akikutwa na tuhuma hatua zichukuliwe-DC Nkinda

Katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero DC Nkinda alipokea malalamiko kutoka kwa mwananchi Emanuel Maduhu ambaye anadai aliuziwa kiwanja na serikali ya mtaa huo ambacho kilikuwa kimeuzwa awali. Na Samuel Samsoni- Kahama Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga…

August 23, 2025, 3:17 pm

DC Biharamulo afunga mafunzo ya jeshi la akiba

DC Bulimba amewapongeza kwa kuhitimu kwa nidhamu, umakini na utayari, akiwataka wakawe mfano bora kwa jamii na kutumia mafunzo waliyopata kwa kuhudumia wananchi na kulinda usalama wa jamii. Na William Mpanju- Biharamulo, Kagera Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, SACP Advera…

August 23, 2025, 1:39 pm

Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64

Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…

August 22, 2025, 3:56 pm

264 warejeshwa shule Kagera kupitia mpango wa ‘SEQUIP-AEP’

Kwa kipindi cha miaka minne wasichana hao wamesomeshwa bure na Serikali kupitia mpango wa kuboresha elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (SEQUIP-AEP). Na Shafiru Yusuph- Muleba, Kagera Wasichana 264 waliokatizwa na masomo ya Sekondari kwa sababu mbalimbali zikiwemo ujauzito wamerudishwa…

August 4, 2025, 8:08 pm

Doria ya siku 12 yadaka Wahamiaji haramu 793

Raia hao waliokamatwa ni kutoka mataifa matano ambayo ni Burundi, DR Congo, Rwanda, Uganda na Tanzania. Na Naomi Milton- Kigoma Takribani wahamiaji haramu 793 wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji mkoani Kigoma kwa kipindi cha siku 12 katika doria na misako…

August 4, 2025, 6:54 pm

Wasimamizi waonywa dhidi ya upendeleo wa kisiasa

Wasimamizi wanatakiwa kufuata sheria, taratibu na miongozo ya Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushirikisha vyama vyote vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote kuepuka migogoro Na Shafiru Athuman- Muleba, Kagera Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata Wilayani Muleba Mkoani…

July 8, 2025, 8:19 pm

Serikali yatoa zaidi ya bil 100 kukuza ajira nchini

Kaimu Mkurugenzi idara ya ajira na ukuzaji ujuzi kutoka ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu Bi. Elana Nchimbi amesema hayo akiwa mkoani Geita katika hitimisho la mafunzo kwa wachimbaji wa madini mkoa wa Geita. Na…

Radio Kwizera

Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.