Radio Kwizera

Recent posts

September 29, 2023, 9:39 pm

Biteko amtaka Aweso kufanya ziara kata ya Murusagamba

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dr.Dotto Mashaka Biteko amemtaka Waziri wa Maji Juma Aweso kufanya ziara katika kata ya Murusagamba wilayani Ngara ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi hao. Na, Marco Pastory: Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

September 21, 2023, 1:13 pm

Ngara yazindua zoezi la utoaji chanjo ya polio kwa watoto

Katibu tawala wa Wilaya ya Ngara Bw. Jawadu Yusufu aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Ngara kuzindua zoezi la kutoa chanjo ya Polio kwa watoto katika hospitali ya Nyamiaga. Idara ya afya Wilayani Ngara Mkoani Kagera leo imezindua zoezi la utoaji…

July 4, 2023, 11:37 am

Waandishi watajwa kuwa silaha, chachu mabadiliko ya maendeleo kwenye jamii

Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kuzipa nguvu habari zinazopatikana katika jamii inayowazunguka ili kuleta mabadiliko chanya kimaendeleo kwa Watanzania Na; Pascal Mwalyenga Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kuzipa nguvu habari zinazopatikana katika jamii inayowazunguka ili kuleta mabadiliko chanya…

July 3, 2023, 12:43 pm

Tanzania yapokea wakimbizi 11,049 toka DRC ndani ya miezi mitano

Mkurugenzi idara ya huduma kwa wakimbizi nchini Tanzania Bw. Suddy Mwakibisa amesema serikali ya Tanzania imepokea  waomba hifadhi  11,049 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa kipindi cha mwezi Januari hadi  Mei 30 2023. Na; Amina Semagogwa Serikali ya Tanzania …

May 17, 2021, 5:03 pm

ACT Wazalendo wakataa Matokeo Uchaguzi Buhigwe

Na; Albert Kavano Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Buhigwe kupitia chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma Bw Garula Tanditse ameyakataa matokeo ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge uliompa ushindi Mgombea wa CCM Bw Felix Kavejuru kwa asilimia 83. Akizunguma na…

May 13, 2021, 5:24 pm

Raia wa Burundi afia kwenye gari la abiria Ngara

Na; Asma Ahmed Watu wawili wanaosadikiwa kuwa Raia wa Burundi wamekutwa wakiwa wamefariki katika matukio tofauti Wilayani Ngara Mkoani Kagera Mkuu wa jeshi la Polisi wilayani Ngara Bw Abeid Maige amesema tukio la kwanza limetokea jana kwenye Kitongoji cha Mumasama…

May 7, 2021, 7:01 pm

Mlipuko wa Corona uliathiri Soko la Kahawa Ngara

Na; Seif Upupu Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa, Ngara Farmers Cooperative Society cha wilayani Ngara mkoani Kagera kimesema kuwa mlipuko wa Virusi vya Corona duniani uliathiri Soko la Kahawa kutoka kwa wakulima wilayani humo Mwenyekiti wa Bodi ya…

May 7, 2021, 6:40 pm

Rais Samia atamani kuwalipa Wazee Pensheni

Na; Seif Upupu Rais Samia Suluhu Hassan amewaomba wazee nchini kuipa muda Serikali ya Awamu ya 6 ili kuangalia hali ya nchi na ya kiuchumi kisha aanze kuwapa malipo ya uzeeni Akilihutubia Taifa kupitia mkutano wake na Wazee wa Dar…

Radio Kwizera

Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.