Radio Kwizera

Recent posts

May 7, 2021, 6:40 pm

Rais Samia atamani kuwalipa Wazee Pensheni

Na; Seif Upupu Rais Samia Suluhu Hassan amewaomba wazee nchini kuipa muda Serikali ya Awamu ya 6 ili kuangalia hali ya nchi na ya kiuchumi kisha aanze kuwapa malipo ya uzeeni Akilihutubia Taifa kupitia mkutano wake na Wazee wa Dar…

May 7, 2021, 6:26 pm

Mil.500 zaidhinishwa kujenga Mradi mkubwa wa Maji Ngara

Na; Seif Upupu Wizara ya Maji imeidhinisha Sh Milioni 500 kwa ajili ya kujenga mradi wa Maji wa Ngara mjini wilayani Ngara mkoani Kagera utakaofikisha maji kwenye vijiji vya Mukididili, Buhororo, Kumuyange na Nyamiaga Mbunge wa jimbo la Ngara Bw…

May 3, 2021, 8:22 pm

JWTZ wajikumbusha mbinu za Kivita kulinda Mipaka

Na; William Mpanju Jeshi la Wananchi wa Tanzania, JWTZ kikosi cha 23 KJ limewataka askari kuwa wakakamavu na kufanya mazoezi kama sehemu ya maisha ya kijeshi kufuatia mafunzo  sambaratisha adui  yaliyolenga kujikumbusha mbinu za kivita ili kuendelea kulinda mipaka ya nchi . Mwandishi wa…

May 3, 2021, 7:58 pm

Wakulima 120 Ngara, kunufaika na Mafunzo ya Kilimo hai endelevu

Na; Marco Pastory Jumla ya wakulima 120 wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya awali ya kilimo hai endelevu kwa mazao manne katika vijiji vitano vya wilaya Ngara Mkoani Kagera Mafunzo hayo yaliyofanyika katika kijiji cha Kasulo Wilayani Ngara yameazimia kutoa elimu…

May 3, 2021, 7:39 pm

Kigoma kuwawajibisha watumishi wanaotatiza Uhuru wa Habari

Na; Phillemon Golkanus Serikali mkoani Kigoma imesema itawachukulia hatua watumishi wa umma na wakuu wa Taasisi za umma watakaokwamisha upatikanaji wa habari na kuwanyima ushirikiano waandishi wa habari kwa ajili ya maendeleo ya mkoa huo. Akizungumza katika maadhimisho ya siku…

May 2, 2021, 6:22 pm

Mbunge Ngara aombwa kuwatetea Watumishi

Na; Seif Upupu Chama cha Walimu, CWT wilayani Ngara mkoani Kagera kimemuomba Mbunge wa Ngara Bw Ndaisaba George Ruhoro kuendelea kupaza sauti ndani nan je ya Bunge kwa ajili ya kuwatetea walimu na watumishi wengine wa kada mbalimbali wilayani humo…

April 26, 2021, 11:51 am

Dr Mpango asema Huu ni Muungano unaoishi

Na Seif Upupu Makamu wa Rais Dr Philip Mpango amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni Muungano unaoishi ili kutimiza matakwa na malengo ya Watanzania Akizungumza katika ufunguzi wa Kongamano la Muungano leo kwenye Ukumbi wa Chimwaga jijini Dodoma, Dr…

April 20, 2021, 5:57 pm

Vifo vya Wajawazito vyapindukia Kigoma

Na; Phillemon Golkanus Serikali ya Mkoani Kigoma imezindua mpango wa dharura wa miaka mitatu unaolenga kukabiliana na vifo vya wajawazito na watoto wachanga vilivyoongezeka hadi asilimia 95 katika vituo vya afya Mganga mkuu wa mkoa wa Kigoma Dr Simon Chacha…

April 19, 2021, 6:48 pm

‘Kwa Mpalange’ yampeleka Muumini BASATA

Na; Seif Upupu April 8, 2021 Mwanamuziki Mkongwe wa nyimbo za Dansi nchini, Prince Mwinjuma Muumini, Mwana Buguza, Roboti, Kocha wa Dunia aliachia Rekodi yake mpya ya miondoko ya Singeli inayokwenda kwa jina la Kwa Mpalange iliyoibua gumzo kwenye mitandao…

April 9, 2021, 5:46 pm

Mbunge wa Ngara alia na Mafuta ya kula

Na; Seif Upupu Serikali imetakiwa kuendelea kuboresha sekta ya Kilimo hususani kilimo cha Alizeti na Michikichi ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa mafuta ya kupikia Kauli hiyo imetolewa leo na Mbunge wa Jimbo la Ngara Bw Ndaisaba George Ruhoro…

Radio Kwizera

Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.