Radio Kwizera
Radio Kwizera
July 8, 2025, 7:54 pm
Balozi Sirro amezitaka halmashauri za wilaya ya Kasulu kufanya kazi kwa ushirikiano kubuni vyanzo vya utalii ambavyo vitasaidia kuongeza fedha za kigeni. Na Michael Mpunije- Kasulu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka watumishi wa Umma wilayani…
July 7, 2025, 8:53 pm
Vikundi 6 ni vya wanawake ambavyo vimekopeshwa shilingi milioni 159, vikundi vya Vijana 5 vimekopeshwa shilingi milioni 132.5 huku kikundi kimoja cha wanawake ambacho kimekopeshwa jumla ya shilingi milioni 50 kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa zinazotokana na maziwa. Na…
June 28, 2025, 12:35 pm
Amewataka vijana, wanawake na makundi mengine kuendelea kuonyesha uwezo wao serikalini hasa baada ya kupata nafasi za juu za maamuzi. Na Samwel Masunzu- Geita Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kata ya Nyachiluluma wilayani Geita mkoani Geita Bi. Esther James ametangaza…
June 19, 2025, 12:55 pm
Wasira amesema baadhi ya watia nia ya nafasi za ubunge hutumia fedha kuwahonga wajumbe na kwamba chama hicho hakipo tayari kupitisha wagombea wanaotanguliza fedha. Na Elias Zephania- Chato, Geita Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania bara Stephen Wasira…
June 16, 2025, 7:17 pm
Serikali mkoani Geita imeelekeza kuwachunguza watumishi wa Umma waliobainika kuwa na utata wa tarehe za kuzaliwa katika vyeti vyao. Na Elias Zephania- Geita Jumla ya watumishi wa umma 172 katika halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita wamebainika kuwa na…
June 14, 2025, 10:09 am
Shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita ina wanafunzi wapatao elfu 1 lakini vyumba vya madarasa havitoshi kulingana na idadi ya wanafunzi. Na Samwel Masunzu- Geita Wanafunzi wa darasa la tano na la sita katika shule…
September 30, 2023, 8:18 pm
Mradi huo wa umeme uliopo Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda utazinufaisha nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi. Na, Laurent Gervas Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Mashaka Biteko amesema mradi wa kufua umeme wa maporomoko…
September 29, 2023, 9:39 pm
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dr.Dotto Mashaka Biteko amemtaka Waziri wa Maji Juma Aweso kufanya ziara katika kata ya Murusagamba wilayani Ngara ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi hao. Na, Marco Pastory: Naibu Waziri Mkuu na Waziri…
September 21, 2023, 1:50 pm
Chama cha ACT Wazalendo kimesema hakikubaliani na matokeo ya Ubunge yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kutangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali Ndugu Missana K. Kwangura Septemba20,2023. Na Laurent Gervas: Chama cha ACT Wazalendo chapinga…
September 21, 2023, 1:13 pm
Katibu tawala wa Wilaya ya Ngara Bw. Jawadu Yusufu aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Ngara kuzindua zoezi la kutoa chanjo ya Polio kwa watoto katika hospitali ya Nyamiaga. Idara ya afya Wilayani Ngara Mkoani Kagera leo imezindua zoezi la utoaji…
Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.