April 28, 2026, 3:21 pm

Semagogwa aibuka kinara sekta ya habari 2026

Semagogwa ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuitendea haki tuzo hiyo, huku akisisitiza dhamira yake ya kuiwakilisha vyema sekta ya habari pamoja na wanawake na wanaume wa Kanda ya Ziwa na Tanzania kwa ujumla. MWANZA Mwandishi wa habari wa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

May 2, 2026, 3:22 pm

Taa za barabarani zaing’arisha Kibondo

Mkakati uliopo ni kuhakikisha mji wa Kibondo unakuwa na taa za kutosha zitakazoruhusu shughuli nyingine kufanyika hata majira ya usiku. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini…

May 2, 2026, 3:15 pm

Vituo vya afya Bukoba vyasukumwa kuboresha huduma za lishe

Elimu ya lishe inatakiwa kuwafikia wananchi wote ili wajue umuhimu wa kutunza afya zao na kupima mara kwa mara. Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA ‎Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, Erasto Sima amesema upo umuhimu wa kutoa huduma bora…

May 2, 2026, 3:05 pm

Polisi yashirikisha jamii kupinga uhalifu kupitia michezo

Bonanza hilo lilikuwa na lengo la kuhamasisha jamii kupinga ukatili, kuhamasisha malezi bora kwa watoto, kuwa karibu na polisi, kusomesha watoto, kutii sheria, kupinga imani potofu, kukataa uhamiaji haramu na kutoa taarifa za uhalifu. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Watumishi…

May 1, 2026, 10:16 pm

Kambi ya wakimbizi Nduta yafungwa rasmi

‎Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Burundi pamoja na Mashirika ya kimataifa, wamefanikiwa kuwarejesha jumla ya wakimbizi 165,494 kwa hiari. Na Michael Mpunije- Kibondo, KIGOMA. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi imefunga rasmi…

April 30, 2026, 6:11 pm

Sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira

Serikali inathamini nafasi ya sekta binafsi ambayo ni asilimia 70 kwenye pato la taifa na kwamba itaendelea kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kupiga hatua zaidi. Na Clement Shawishi- GEITA. Serikali imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na…

April 29, 2026, 6:28 pm

Penati zaamua ushindi kwa Polisi dhidi ya Bodaboda

Mashindano hayo yamekuwa na lengo la kuimarisha upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, akisisitiza kuwa michezo ina nafasi kubwa katika kuunganisha watu na kuimarisha afya. Na William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Timu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Polisi…

April 29, 2026, 1:40 pm

Zimamoto Geita waanzisha klabu za usalama mashuleni

Elimu hiyo kwa wanafunzi wa shule za msingi inajenga kizazi chenye uelewa wa mapema kuhusu tahadhari za majanga ya moto. Na Clement Shawishi- GEITA. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita limeendelea kutoa elimu kwa wanafunzi wa Shule za…

April 28, 2026, 7:25 pm

Changamoto ya umeme yatajwa kikwazo kwa maendeleo Geita

Wizara ya Viwanda na Biashara inawapa kipaumbele wawekezaji binafsi kukuza uchumi na kwamba huduma ya Nishati haina budi kuimarishwa kuwezesha uwekezaji huo Na Clement Shawishi – GEITA Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Geita limeombwa kushughulikia changamoto ya…

April 28, 2026, 6:35 pm

Wananchi Buhigwe watengeneza barabara kwa majembe

Juhudi za wananchi kujitolea kutengeneza Barabara hiyo zinaonesha namna walivyo tayari kushirikiana katika kuleta maendeleo ya eneo lao, huku wakiiomba serikali kuunga mkono jitihada hizo. Na Michael Mpunije- Buhigwe, Kigoma Wakazi wa kitongoji cha Janda Juu kata ya Janda wilayani…

April 28, 2026, 3:42 pm

WEO Busunzu, Kibondo awataka watumishi kuzingatia sheria

Watumishi wanatakiwa kuwa kiunganishi kati ya serikali na wananchi hali itakayosaidia kuepusha wananchi kuichukia serikali pamoja na viongozi. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Afisa Mtendaji wa kata ya Busunzu wilayani Kibondo mkoani Kigoma Bw. Shedrack Totoye amewataka watumishi wa Umma…

Radio Kwizera

Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.