![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2021/11/logo-boma-1-1500x800.png )
Recent posts
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/05/picha-week-ya-maziwa-350x350.jpeg )
30 May 2024, 11:18 am
Hai yang’ara wiki ya maziwa
Wilaya ya Hai yaadhimisha wiki ya maziwa,katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro awapongeza kwa uwaandaji. Na Riziki Lesuya Katibu tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Tixon Nzunda ametoa pongezi kwa uongozi wa wilaya ya Hai kwa kuandaa maadhimisho ya wiki ya maziwa…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/05/mkalipa-upandaji-miti-350x350.jpeg )
23 May 2024, 10:57 am
Dc Mkalipa aongoza zoezi la upandaji miti eneo la utalii Chemka
Katika kuendelea kutunza mazingira pamoja na vyanzo vya maji,mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa ameongoza zoezi la upandaji miti katika chemchem ya chemka na chemchem ya Rashidi Kombo na kuwataka wananchi na wafanyabiashara wa maeneo hayo kuwa na utamaduni…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/05/mkenda-dar-350x350.jpeg )
7 May 2024, 12:10 am
Profesa Mkenda akutana na warombo waishio Dar es salaam,wajadili maendeleo.
Wanananchi kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro waishio Dar es saalam wakutanishwa na Mbunge wao na kujadili kuhusu maendeleo ya Rombo na namna ya kutatua changamoto mbalimbali. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda ambae pia ni waziri wa Elimu…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/04/picha-miti-1-1-350x350.jpeg )
24 April 2024, 2:32 pm
Kuelekea miaka 60 ya Muungano ,Masama kusini wapanda miti 1650
Katika kuelekea miaka 60 ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kata ya Masama Kusini wapanda miti,Diwani asema ni utunzaji wa mazingira. Na Janeth Joachim Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka wananchi kuotesha miti katika maeneo yao katika…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/04/picha-rombo-4-1-350x350.jpeg )
22 April 2024, 2:00 pm
Prof. Mkenda aeleza maendeleo yaliyofanyika Rombo
Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda afanya mkutano na wajumbe kutoka tarafa ya Mengwe,aeleza miradi kedekede ya maendeleo iliyofanyika na inayoendelea Rombo. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda ambae ndie waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia hapa…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/04/mandela-2-350x350.jpeg )
13 April 2024, 8:58 am
Mfumo wa kubaini ukame tumaini jipya kwa wakulima Kilimanjaro
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi ambayo yamekuwa yakileta athari kwa wakulima na watumia maji Taasisi ya Nelson Mandela ya sayansi na teknolojia wabaini mfumo wa kubaini ukame mapema. Na Elizabeth Mafie Wadau wa Mazingira kutoka taasisi ya Nelson Mandela…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/04/uroki-boma-1-350x350.jpeg )
9 April 2024, 9:20 pm
Bodi ya maji Uroki Bomang’ombe yapeta, wadau waridhishwa na huduma
Bodi ya maji Uroki Bomang’ombe wafanya mkutano na wadau wa maji,waeleza mafanikio ndani ya miaka mitatu,wadau wakiri huduma za maji zimeboreshwa. Na Elizabeth Mafie Bodi za maji za wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinafanya kazi kwa weledi…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/03/picha-ya-mkenda-cup-1-350x350.jpeg )
31 March 2024, 10:35 am
Mkenda Super Cup 2024 yazinduliwa rasmi, wachezaji wapewa vifaa vya michezo
Mashindano ya Mkenda Super Cup ambayo yalianza rasmi mwaka 2022 katika Jimbo la Rombo yakidhaminiwa na Mbunge wa Jimbo hilo Profesa Adolf Mkenda yazinduliwa rasmi,timu za mpira wa miguu zipatazo 126 kuchuana vikali. Na Elizabeth Mafie Mashindano ya Mkenda Super…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/03/picha-masaunii-350x350.jpeg )
27 March 2024, 7:30 pm
Watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa kukiona
Kutokana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,serikali yatoa onyo. Na Edwine Lamtey Serikali imetoa onyo kwa vikundi vya watu,Taasisi ama vyama vya siasa vinavyojipanga kwa ajili ya kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye…
![](
https://radiotadio.co.tz/bomahaifm/wp-content/uploads/sites/35/2024/03/picha-losaa-350x350.jpeg )
27 March 2024, 7:04 pm
Bodi ya maji Losaa Kia yafanya uchaguzi,waweka mikakati
Bodi ya maji Losaa Kia yapata viongozi wapya,waomba ushirikiano. Na Edwine Lamtey Wananchi wanaoishi karibu na vyanzo vya maji wametakiwa kuvilinda na kuvitunza vyanzo hivyo ili kusaidia upatikanaji wa huduma hiyo na itakayokuwa toshelevu katika maeneo yote ikiwemo yale ya…