Recent posts
22 May 2026, 9:10 am
Diwani Njau afungua mafunzo atoa wito kwa wajasiriamali kulinda mitaji na vipato
Wajasiriamali wa kata ya Bomang’ombe wamepatiwa mafunzo maalumu ya kulinda mitaji yao na vipato vyao pamoja na kuanzisha biashara kwa mitaji midogo, wamefundishwa kutengeneza batiki, sabuni ushonaji na mafunzo mengine ya ujasiriamali. Na Henry keto, Hai-Kilimanjaro Diwani wa Kata ya…
21 May 2026, 3:01 pm
NGOs zatakiwa kulinda mila na desturi za Kitanzania
Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) wilayani Hai yamehimizwa kuzingatia sheria, utamaduni wa Kitanzania na uwajibikaji wa kifedha wanapopokea ufadhili kutoka nje, ili kuhakikisha shughuli zao zinaendelea kuleta maendeleo chanya kwa jamii. Na Juma Robert Mashirika yasiyo ya kiserikali wilayani Hai …
21 May 2026, 12:48 pm
Mbunge ataka utekelezaji sheria elimu ya lishe
Kutokana na kuibuka kwa wimbi la watoa elimu ya lishe mtandaoni wasio na taaluma husika, mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ahoji ni lini sheria itaanza kutekelezwa kikamilifu kwa wote wanaokiuka utaratibu huo. Na James Gasindi Mbunge wa Hai …
20 May 2026, 4:34 pm
Ukitupa taka hovyo Kwasadala ,faini inakuhusu
Katika kuendelea kutunza mazingira wananchi wa kijiji cha Kwasadala wameweka maazimio ya kuweka kijiji hicho katika hali ya usafi na kukubaliana kuweka faini kwa yeyote atakaekaidi. Na Elizabeth Mafie Wananchi wa Kijiji cha Kwasadala wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamekubaliana…
20 May 2026, 11:27 am
Ufungashaji asali kwenye chupa za vinywaji huharibu ubora wa asali
Katika maadhimisho ya siku ya nyuki duniani wafugaji wa nyuki wametakiwa kuhifadhi asali katika vifungashio salama na sio chupa zilizoisha vinywaji. Na Oliver Joel, Hai- Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya nyuki duniani yatakayofanyika kesho, wafugaji nyuki wilayani Hai…
15 May 2026, 11:50 am
Bodaboda Hai waonywa kubadili taa na milio ya pikipiki
Bodaboda watakaobadili taa na milio ya pikipiki kukiona Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Maafisa usafirishaji maarufu bodaboda wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wameaswa kutokubadilisha mifumo ya milio na taa iliyowekwa katika pikipiki zao na kuweka taa zenye mwanga mkali pamoja na kuweka…
14 May 2026, 3:33 pm
Wafugaji Hai watakiwa kuzingatia kanuni za ufugaji kuepuka homa ya nguruwe
Ili kuendelea kufuga kwa tija na kukuza kipato cha mtu mmoja mmoja, wafugaji wametakiwa kuzingatia taratibu na kanuni za ufugaji. Na Anasta Urio Hai- Kilimanjaro Wafugaji wa Nguruwe wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kufata kanuni na taratibu za ufugaji zinazotolewa…
12 May 2026, 11:51 pm
Kalanje: Walimu shule za msingi kuzeni michezo shuleni
Waalimu wa shule za msingi wilaya ya Hai wameaswa kukuza na kuibua vipaji vya wanafunzi mashuleni ili kujenga timu bora kwaajili ya mashindano ya kimkoa Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Waalimu wa michezo mashuleni wametakiwa kujitoa kuinua na kukuza michezo katika…
18 April 2026, 4:24 pm
Ukilewa piga simu polisi au peleka gari kituoni
Madereva wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuepuka ulevi, matumizi ya simu wanapoendesha, pamoja na kufanya maamuzi sahihi wanapokutana na changamoto barabarani, ili kupunguza ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara. Na Oliva JoelKatika kuepuka ajali za…
18 April 2026, 3:50 pm
Hai watakiwa kushiriki ujenzi wa miradi kuchochea maendeleo
Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuchangia nguvu kazi na kuilinda miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa ufanisi na kuleta manufaa kwa jamii pamoja na vizazi vijavyo. Na Anasta Urio Wananchi…