Recent posts
11 July 2026, 4:43 pm
Viongozi wa vijiji Hai wahimizwa kuwatambua wanaotoa tiba asili
Viongozi wa Vijiji na mitaa wilaya ya Hai wameashwa kuwatambua watu wote wanaotoa tiba asili, kufuatia vifo vya watu wanne wa familia moja waliofariki kwa kudhaniwa wamekunywa dawa za asili. Na Oliver Joel Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bomang’ombe, Julius Swai,…
11 July 2026, 2:31 pm
Wanne wafariki dunia, matumizi ya dawa za kienyeji
Watu wanne wa familia moja wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha kwa madai ya kunywa dawa za kienyeji. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Hali ya simanzi na taharuki imetanda katika familia ya Rasida Kimaro iliyopo kijiji cha…
9 July 2026, 6:40 pm
Hai mambo safi, RC Babu apongeza
Halmashauri ya wilaya ya Hai yapata hati safi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu apongeza, asisitiza utendaji kazi mzuri, upendo na mshikamano na kuwahudumia wananchi kwa upendo na usawa. Na Riziki lesuya & Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa…
29 June 2026, 7:54 am
Kwasadala wahimizwa kuzingatia lishe bora, kushiriki mapokezi ya mwenge 2026
Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kula mlo kamili, kudumisha usafi wa mazingira na kushiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru utakaopitia wilayani Hai, huku miradi ya maendeleo ikitarajiwa kuzinduliwa. Na Elizabeth Mafie Hai- Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha Kwasadala kata ya Masama…
27 June 2026, 9:58 am
Masama Magharibi yaandika historia mpya ya elimu, kujenga sekondari mpya
Wananchi wa Masama Magharibi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mashua kwa kulinda mradi, kutoa nguvu kazi na kutunza vifaa vya ujenzi, huku wakieleza matumaini kuwa shule hiyo itapunguza changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata…
26 June 2026, 6:33 am
Saashisha aomba kujengwa kituo cha afya Muungano
Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wa jimbo la Hai wanapata huduma bora za afya, Mbunge wa jimbo la Hai ameiomba serikali kujenga kituo cha afya kata ya Muungano. Na Mwandishi wetu Dodoma Serikali imeonyesha utayari wa kushirikiana na viongozi wa Jimbo…
23 June 2026, 1:32 pm
Mbunge ahoji mgogoro wa Chama cha Ushirika na mwekezaji
Serikali imesema itachukua hatua za kuvunja mkataba kati ya Chama cha Ushirika cha Mrososangi na mwekezaji husika endapo ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi hautatekelezwa kwa mujibu wa makubaliano yaliyowekwa. Na Mwandishi wetu Serikali imesema itavunja mkataba kati ya Chama…
23 June 2026, 1:15 pm
Mkuu wa Wilaya amahasisha mazoezi
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Hassan Omary Bomboko amesisitiza umuhimu wa mazoezi kwa afya na maendeleo ya jamii, huku akiwahamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwasili wilayani Hai Julai 3, 2026. Na Juma…
23 June 2026, 11:27 am
Jeneza kuwekwa juu ya gari la Dc, Dc Timbuka atoa ufanunuzi
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amesema serikali na vyombo vya ulinzi vilichukua hatua mbalimbali kudhibiti sintofahamu zilizojitokeza wakati wa mazishi ya kijana Emanueli, ikiwemo kuwaachilia waliokamatwa na kutumia nguvu kiasi kurejesha utulivu na kwamba mazishi yalikamilika salama…
20 June 2026, 10:07 am
Mbunge ahoji hatima ujenzi chuo na kituo cha afya
Serikali imewahakikishia wananchi wa Narumu na Jimbo la Hai kwa ujumla kuwa juhudi zinaendelea kuhakikisha mradi wa ujenzi wa Chuo cha Afya Narumu na Kituo cha Afya unapata fedha za kutosha ili kukamilika kwa wakati. Na James Gasindi Serikali imesema…