Recent posts
13 November 2025, 9:16 am
Floresta Tanzania yahitimisha safari ya miaka 20 ya kuhudumia jamii wilayani Mos…
Pichani ni mkuu wa wilaya ya Moshi Godfrey Mnzava(aliyevalia nguo ya dark blue )akiwa na viongozi mbalimbali wa shirika la Floresta Tanzania katika hotel ya African Flowers Himo mkoani Kilimanjaro(picha na Elizabeth Mafie) Shirika lisilo la Kiserikali Floresta Tanzania limehitimisha…
17 October 2025, 10:57 pm
Waendesha bajaj Hai zingatieni sheria na taratibu za usafirishaji-Bomboko
waendesha Bajaji wilaya ya Hai wametakiwa Kuzingatia Sheria za Barabarani na taratibu za usafirishaji ili waweze kufanya shughuli zao kwa weledi ndani na nje ya wilaya ya Hai,pia wameaswa kuwa mabalozi wa amani na usalama katika wilaya ya Hai. Na…
28 September 2025, 9:01 am
Hai Teacher’s Saccos yakusanya maoni kuelekea mkutano mkuu 2025
Katika kutekeleza msingi wa tano wa vyama vya ushirika wa Elimu ,mafunzo na taarifa Hai Teacher’s Saccos wafanya mkutano na kukusanya dondoo zitakazotumika katika mkutano mkuu wa mwaka 2025. Na Elizabeth Noel Hai -Kilimanjaro Chama cha Akiba na Mikopo cha…
11 September 2025, 6:05 pm
Hai waombwa kujitokeza kumpokea Dkt. Nchimbi
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuhutubia wananchi wa Hai, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Wilaya ya Hai Muhamed Msalu ameomba wananchi kujitokeza kwa wingi. Na Elizabeth Noel & Henry keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameombwa kujitokeza kwa…
20 August 2025, 10:52 am
Ardhi tuliyopewa na Mungu isiwe chanzo cha kutuumiza-Magonera
Na Henry Keto, Hai Kilimanjaro Wawekezaji wilaya ya Hai wametakiwa kulinda rasimali zilizopo katika maeneo wanayowekeza pamoja na kutunza mazingira kwa Kupanda miti yakutosha ili kuendelea kulinda uoto wa asili na hali ya hewa .Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wilaya…
6 August 2025, 7:01 pm
Nanenane nguzo kwa wakulima na wafugaji
Na Salma Rahim-Arusha Wakulima na wafugaji kanda ya kaskazini kwenye mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wameaswa kutumia Kilimo cha kisasa chenye tija kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazo na Mifugo. Hayo…
1 August 2025, 6:25 pm
Wananchi Kware wapewa onyo matumizi dawa za kulevya
Wananchi wa Kijiji cha Kware kilichopo kata ya Masama Kusini wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kuachana na matendo kinyume na maadili na uvunjifu wa amani unaosababisha watu kukosa usalama wao na mali zao,pamoja na kuacha matumizi ya madawa ya…
29 July 2025, 2:11 pm
Watumishi Hai waishukuru serikali ongezeko la mishahara
Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai wameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaongezea mishahara kutokana na ahadi aliyoitoa siku ya Mei mosi 2025 mkoani Singida. Na Henry Keto,…
24 July 2025, 3:46 pm
Wajawazito wapatiwa msaada na polisi jamii
Wanawake wanne wajawazito wamepatiwa msaada wa matibabu pamoja na zawadi baada ya kujifungua kutokana na ahadi iliyotolewa na mkuu wa polisi jamii wilaya ya Hai ASP Elishafra S. K wakati wa sherehe za jeshi la polisi wilaya ya Hai Na…
24 July 2025, 3:35 pm
Tanzania, Kenya kushirikiana utunzaji vyanzo vya maji
“Lengo la msingi ndugu zetu wa Kenya na Tanzania wameweza kuangalia ni wapi maji yanakotoka, wapi yanatakiwa yasafiri na watumiaji ni wapi. Safari hii itakuwa ya siku tatu na katika siku hizo watu watakuwa na nafasi ya kujifunza, kuangalia vyanzo…