24 March 2026, 12:12 pm

Zaidi ya kaya 500 zakumbwa na mafuriko kata ya Kia

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, zaidi ya kaya 500 katika kata ya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro zimekumbwa na mafuriko yaliyosababisha baadhi ya wananchi kuyahama makazi yao na kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Elizabeth Mafie Hai – Kilimanjaro…

On air
Play internet radio

Recent posts

21 May 2026, 3:01 pm

NGOs zatakiwa kulinda mila na desturi za Kitanzania

Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) wilayani Hai yamehimizwa kuzingatia sheria, utamaduni wa Kitanzania na uwajibikaji wa kifedha wanapopokea ufadhili kutoka nje, ili kuhakikisha shughuli zao zinaendelea kuleta maendeleo chanya kwa jamii. Na Juma Robert Mashirika yasiyo ya kiserikali wilayani Hai …

21 May 2026, 12:48 pm

Mbunge ataka utekelezaji sheria elimu ya lishe

Kutokana na kuibuka kwa wimbi la watoa elimu ya lishe mtandaoni wasio na taaluma husika, mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ahoji ni lini sheria itaanza kutekelezwa kikamilifu kwa wote wanaokiuka utaratibu huo. Na James Gasindi Mbunge wa Hai …

20 May 2026, 4:34 pm

Ukitupa taka hovyo Kwasadala ,faini inakuhusu

Katika kuendelea kutunza mazingira wananchi wa kijiji cha Kwasadala wameweka maazimio ya kuweka kijiji hicho katika hali ya usafi na kukubaliana kuweka faini kwa yeyote atakaekaidi. Na Elizabeth Mafie Wananchi wa Kijiji cha Kwasadala wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamekubaliana…

20 May 2026, 11:27 am

Ufungashaji asali kwenye chupa za vinywaji huharibu ubora wa asali

Katika maadhimisho ya siku ya nyuki duniani wafugaji wa nyuki wametakiwa kuhifadhi asali katika vifungashio salama na sio chupa zilizoisha vinywaji. Na Oliver Joel, Hai- Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya nyuki duniani yatakayofanyika kesho, wafugaji nyuki wilayani Hai…

15 May 2026, 11:50 am

Bodaboda Hai waonywa kubadili taa na milio ya pikipiki

Bodaboda watakaobadili taa na milio ya pikipiki kukiona Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Maafisa usafirishaji maarufu bodaboda  wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wameaswa kutokubadilisha mifumo ya milio na taa iliyowekwa katika pikipiki zao na kuweka taa zenye mwanga mkali  pamoja na kuweka…

14 May 2026, 3:33 pm

Wafugaji Hai watakiwa kuzingatia kanuni za ufugaji kuepuka homa ya nguruwe

Ili kuendelea kufuga kwa tija na kukuza kipato cha mtu mmoja mmoja, wafugaji wametakiwa kuzingatia taratibu na kanuni za ufugaji. Na Anasta Urio Hai- Kilimanjaro Wafugaji wa Nguruwe wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kufata kanuni na taratibu za ufugaji zinazotolewa…

12 May 2026, 11:51 pm

Kalanje: Walimu shule za msingi kuzeni michezo shuleni

Waalimu wa shule za msingi wilaya ya Hai wameaswa kukuza na kuibua vipaji vya wanafunzi mashuleni ili kujenga timu bora kwaajili ya mashindano ya kimkoa Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Waalimu wa michezo mashuleni wametakiwa kujitoa kuinua na  kukuza michezo katika…

18 April 2026, 4:24 pm

Ukilewa piga simu polisi au peleka gari kituoni

Madereva wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuepuka ulevi, matumizi ya simu wanapoendesha, pamoja na kufanya maamuzi sahihi wanapokutana na changamoto barabarani, ili kupunguza ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara. Na Oliva JoelKatika kuepuka ajali za…

18 April 2026, 3:50 pm

Hai watakiwa kushiriki ujenzi wa miradi kuchochea maendeleo

Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuchangia nguvu kazi na kuilinda miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa ufanisi na kuleta manufaa kwa jamii pamoja na vizazi vijavyo. Na Anasta Urio Wananchi…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha