Boma Hai FM

Recent posts

13 March 2026, 2:45 pm

Madereva wakumbushwa kukagua magari kuepusha ajali

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini wito umetolewa kwa watumiaji wa barabara pamoja na madereva kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa vyombo vyao vya moto ili kuepusha ajali. Na Oliva Joel Hai -Kilimanjaro Katika kipindi hiki…

13 March 2026, 12:45 am

Kliniki ya ardhi yawanufaisha wananchi Kilimanjaro

Wananchi mkoani Kilimanjaro wameshiriki zoezi la Samia Ardhi Kliniki lililoendeshwa kwa wiki nzima mkoani humo, ambapo wamepatiwa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi, viwanja vimepimwa, kurasimishwa na wananchi kukabidhiwa hati miliki Na Henry Keto, Siha-Kilimanjaro Wananchi mkoani Kilimanjaro wamejitokeza kwa…

11 March 2026, 12:07 pm

Timu ya Hai United yaendelea kujinoa kuelekea Ligi ya mabingwa mkoa

Maandalizi ya timu ya Hai United kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Mkoa yanaendelea kushika kasi huku kikosi hicho kikikusanyika kambini kwa mazoezi maalum ya kujiimarisha kiufundi na kimwili. Na mwandishi wetu Hai-Kilimanjaro Timu ya mpira wa miguu  ya Hai…

11 March 2026, 11:53 am

RC Babu ahimiza usawa wa haki kwa wanawake na wasichana Kilimanjaro

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kimkoa katika mkoa wa Kilimanjaro yametumika kuhimiza usawa wa haki na fursa kwa wanawake na wasichana ili kuharakisha maendeleo ya jamii. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema kaulimbiu…

6 March 2026, 4:33 pm

Wakabidhi jengo la baba, mama na mtoto Hai

Katika kuendelea kuboresha huduma za afya hapa nchini wadau wa maendeleo kutoka taasisi ya Tumbili Foundation kwa kushirikiana na Holcim Foundation kutoka nchini Switzerland wamejenga jengo la baba, mama na mtoto katika zahanati ya Nkweshoo na kulikabidhi kwa serikali. Na…

6 March 2026, 2:13 pm

Wananchi watakiwa kuwa waaminifu kurejesha mikopo

Katika kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi na kukuza kipato cha familia,wananchi hao wameaswa kurejesha mikopo wanayopatiwa na serikali. Na Oliva Joel Hai – Kilimanjaro Imeelezwa kuwa kukosekana kwa uaminifu wa kurejesha mikopo inayotolewa na halmashauri na ile ya mtu mmoja mmoja…

6 March 2026, 1:20 pm

Tutasikiliza kero za wananchi tarafa kwa tarafa-Dc Bomboko

Ikiwa zimepita siku kumi na mbili pekee tangu ziara ya waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba, mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Bomboko ameendelea kusikiliza kero za wananchi wa wilaya ya Hai na kuzitatua. Na…

5 March 2026, 9:10 am

Walimu wapongezwa

Mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Omar Bomboko, amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa mpango kazi madhubuti wa kitaaluma ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, akitaja nidhamu, ubunifu na matumizi ya TEHAMA kuwa nguzo muhimu za…

5 March 2026, 7:44 am

Migogoro katika familia yatajwa chanzo ukatili wa kijinsia

Kutokana na migogoro mbalimbali katika baadhi ya familia hapa nchini ,migogoro hiyo imetajwa kuwa sababu kuu ya ukatili wa kijinsia. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Migogoro baina ya wanandoa imetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazochochea vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia…

4 March 2026, 1:39 pm

Hai wakaribishwa kushiriki Siku ya Wanawake

Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yanayotarajiwa kufanyika machi 9 2026 katika viwanja vya shule ya sekondari Mailisita. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro Mratibu wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani wilaya…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha