Boma Hai FM
Boma Hai FM
18 April 2026, 2:52 pm
Katika kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira, shirika la KCEO limefanya zoezi la upandaji miti katika shule sita za wilaya ya Hai. Na Elizabeth Mafie Wanafunzi katika shule sita za wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kutunza miti iliyopandwa katika shule…
15 April 2026, 2:44 pm
Ziara ya Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (TISEZA) wilayani Hai imelenga kuhamasisha vyama vya ushirika kuwekeza kwa tija, kutafuta vyanzo mbadala vya kipato na kupata masoko ili kukabiliana na changamoto za tabia nchi na kuboresha maisha ya…
24 March 2026, 12:12 pm
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, zaidi ya kaya 500 katika kata ya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro zimekumbwa na mafuriko yaliyosababisha baadhi ya wananchi kuyahama makazi yao na kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Elizabeth Mafie Hai – Kilimanjaro…
24 March 2026, 10:48 am
Kila ifikapo Machi 24, dunia huadhimisha siku ya kifua kikuu ,lengo likiwa ni kuwakumbusha wananchi kuhusu ugonjwa huo, na kuwapatia elimu na kendelea kuchukua tahadhari. Na Stanley Christian Hai-Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Kifua kikuu na Ukoma duniani…
20 March 2026, 4:20 am
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi katika wilaya ya Hai kutotoka site bila sababu ya msingi mpaka miradi itakapokamilika. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mbunge wa jimbo la Hai Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza…
19 March 2026, 11:02 pm
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amefuturisha misikiti tisa katika jimbo la Hai akitoa ujumbe wa kudumisha umoja na mshikamano baina ya waumini wote wa dini zote. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Wananchi na waumini wa dini ya kiislamu wilayani…
19 March 2026, 5:22 pm
Juhudi za kulinda vyanzo vya maji zimeendelea kupewa kipaumbele wilayani Hai, huku viongozi wakisisitiza ushirikishwaji wa wananchi ili kudumisha upatikanaji wa maji safi na salama,Mafanikio ya Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe yamepongezwa kwa kung’ara kitaifa, wakati hatua za kudhibiti uharibifu…
18 March 2026, 10:20 am
Miti zaidi ya 200 imepandwa katika shule ya sekondari Kwamkombozi katika kata ya Masama Kusini Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa zoezi la upandaji miti katika maeneo mbalimbali hasa shule na kampeni ya ”Soma na Mti” Na…
13 March 2026, 2:45 pm
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini wito umetolewa kwa watumiaji wa barabara pamoja na madereva kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa vyombo vyao vya moto ili kuepusha ajali. Na Oliva Joel Hai -Kilimanjaro Katika kipindi hiki…
13 March 2026, 12:45 am
Wananchi mkoani Kilimanjaro wameshiriki zoezi la Samia Ardhi Kliniki lililoendeshwa kwa wiki nzima mkoani humo, ambapo wamepatiwa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi, viwanja vimepimwa, kurasimishwa na wananchi kukabidhiwa hati miliki Na Henry Keto, Siha-Kilimanjaro Wananchi mkoani Kilimanjaro wamejitokeza kwa…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha