Boma Hai FM
Boma Hai FM
26 August 2026, 3:57 pm
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Hassan Bomboko, amesisitiza ushirikiano wa viongozi wa serikali, dini na jamii katika kuhamasisha wazazi na walezi kuwapeleka watoto walio chini ya miaka 10 kupata chanjo ya polio, huku zoezi hilo likitarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 27…
26 August 2026, 2:58 pm
Viongozi na watu mashuhuri wilayani Hai wametakiwa kuhamasisha wananchi kujenga na kutumia vyoo bora, sambamba na kuhakikisha watoto walio chini ya miaka 10 wanapatiwa chanjo ya polio ili kuzuia maambukizi na kuenea kwa ugonjwa huo. Na Anasta Urio Hai –…
24 August 2026, 6:40 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Siha imetakiwa kusimamia kwa umakini utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuzingatia uwezo wa kifedha ili kuepusha kuzalisha madeni mapya, huku ikiendelea kulipa madeni yaliyopo. Na Elizabeth Mafie Siha – Kilimanjaro Halmashauri ya wilaya ya Siha …
21 August 2026, 2:22 pm
Madiwani halmashauri ya wilaya Hai wamepongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo huku wakitaja uwekezaji mkubwa wa serikali katika sekta ya nishati na huduma za kijamii kuwa chachu ya kuboresha maisha ya wananchi. Na Anasta UrioHai – Kilimanjaro Baraza…
21 August 2026, 1:34 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imeweka mpango wa kuanzisha miundombinu ya majitaka katika Mji Mdogo wa Bomang’ombe, hatua inayolenga kudhibiti utiririshaji holela wa majitaka, kuboresha usafi wa mazingira na kulinda afya za wananchi, huku ukuaji wa mji na…
17 August 2026, 10:09 am
Hai Teachers SACCOS yazidi kuimarika kifedha, huku mtaji ukikua kwa asilimia 14 na utoaji wa mikopo ukiongezeka kwa zaidi ya asilimia 20 ,Wanachama wapatiwa elimu ya fedha kuhusu nidhamu ya matumizi, umuhimu wa akiba, uwekezaji na matumizi sahihi ya mikopo…
10 August 2026, 9:19 am
Madiwani na wataalamu mbalimbali wa wilaya ya Hai wametembelea mabanda ya maonyesho nanenane yaliyopo katika viwanja vya Themi Jijini Arusha kujifunza na kujionea mbinu bora za kilimo na bidhaa za kilimo Na Oliver Joel, Njiro-Arusha Mkuu wa Wilaya ya Hai…
5 August 2026, 4:15 pm
Wilaya ya Hai imepongezwa kwa kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo kwa ubora unaotakiwa huku Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Hai wakiaswa kuendelea kudumisha na kuilinda amani ya nchi Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya…
3 August 2026, 12:21 pm
Wadau wa utalii na watu wenye ulemavu wameonyesha fursa na changamoto za walemavu wanazokutana nazo kwenye vivutio vya utalii pamoja na kuwapa fursa yakushiriki kwenye utalii wa ndani. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wadau mbalimbali wa utalii wa ndani wameombwa…
2 August 2026, 9:23 am
Mradi wa From Aid to Trade (FA2T-2) unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la HAFEO umeanza kuleta matumaini mapya kwa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa wilayani Hai , Kupitia mafunzo ya ufugaji wa kisasa, wafugaji wanajengewa uwezo wa kuongeza uzalishaji,…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha