Boma Hai FM
Boma Hai FM
9 July 2026, 6:40 pm
Halmashauri ya wilaya ya Hai yapata hati safi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu apongeza, asisitiza utendaji kazi mzuri, upendo na mshikamano na kuwahudumia wananchi kwa upendo na usawa. Na Riziki lesuya & Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa…
29 June 2026, 7:54 am
Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kula mlo kamili, kudumisha usafi wa mazingira na kushiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru utakaopitia wilayani Hai, huku miradi ya maendeleo ikitarajiwa kuzinduliwa. Na Elizabeth Mafie Hai- Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha Kwasadala kata ya Masama…
27 June 2026, 9:58 am
Wananchi wa Masama Magharibi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mashua kwa kulinda mradi, kutoa nguvu kazi na kutunza vifaa vya ujenzi, huku wakieleza matumaini kuwa shule hiyo itapunguza changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata…
26 June 2026, 6:33 am
Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wa jimbo la Hai wanapata huduma bora za afya, Mbunge wa jimbo la Hai ameiomba serikali kujenga kituo cha afya kata ya Muungano. Na Mwandishi wetu Dodoma Serikali imeonyesha utayari wa kushirikiana na viongozi wa Jimbo…
23 June 2026, 1:32 pm
Serikali imesema itachukua hatua za kuvunja mkataba kati ya Chama cha Ushirika cha Mrososangi na mwekezaji husika endapo ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi hautatekelezwa kwa mujibu wa makubaliano yaliyowekwa. Na Mwandishi wetu Serikali imesema itavunja mkataba kati ya Chama…
23 June 2026, 1:15 pm
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Hassan Omary Bomboko amesisitiza umuhimu wa mazoezi kwa afya na maendeleo ya jamii, huku akiwahamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwasili wilayani Hai Julai 3, 2026. Na Juma…
23 June 2026, 11:27 am
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amesema serikali na vyombo vya ulinzi vilichukua hatua mbalimbali kudhibiti sintofahamu zilizojitokeza wakati wa mazishi ya kijana Emanueli, ikiwemo kuwaachilia waliokamatwa na kutumia nguvu kiasi kurejesha utulivu na kwamba mazishi yalikamilika salama…
20 June 2026, 10:07 am
Serikali imewahakikishia wananchi wa Narumu na Jimbo la Hai kwa ujumla kuwa juhudi zinaendelea kuhakikisha mradi wa ujenzi wa Chuo cha Afya Narumu na Kituo cha Afya unapata fedha za kutosha ili kukamilika kwa wakati. Na James Gasindi Serikali imesema…
14 June 2026, 8:54 am
Pichani ni wajisirimali mbalimbali waliohudhuria katika mafunzo ya mikopo ya asilimia 10 yaliyofanyika shule ya msingi Kibaoni (picha na Juma Robert) Vikundi mbalimbali vya Wilaya ya Hai vilivyoshiriki mafunzo ya ujasiriamali vimeeleza kuwa elimu waliyoipata itawasaidia kusimamia vyema fedha za…
12 June 2026, 4:00 pm
Serikali mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa wilaya ya Hai na Chama cha Ushirika FONRWA,uliodumu kwa miaka 23. Na Anasta UrioHai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha