Boma Hai FM

Recent posts

26 August 2026, 3:57 pm

DC Bomboko awataka viongozi Hai kutoa elimu kampeni chanjo ya polio

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Hassan Bomboko, amesisitiza ushirikiano wa viongozi wa serikali, dini na jamii katika kuhamasisha wazazi na walezi kuwapeleka watoto walio chini ya miaka 10 kupata chanjo ya polio, huku zoezi hilo likitarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 27…

24 August 2026, 6:40 pm

Siha yatakiwa kutozalisha madeni mapya, wanaodai kulipwa

Halmashauri ya Wilaya ya Siha imetakiwa kusimamia kwa umakini utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuzingatia uwezo wa kifedha ili kuepusha kuzalisha madeni mapya, huku ikiendelea kulipa madeni yaliyopo. Na Elizabeth Mafie Siha – Kilimanjaro Halmashauri ya wilaya ya Siha …

21 August 2026, 2:22 pm

Baraza la madiwani Hai laazimia kumpongeza Rais Dkt Samia

Madiwani halmashauri ya wilaya Hai wamepongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo huku wakitaja uwekezaji mkubwa wa serikali katika sekta ya nishati na huduma za kijamii kuwa chachu ya kuboresha maisha ya wananchi. Na Anasta UrioHai – Kilimanjaro Baraza…

21 August 2026, 1:34 pm

Hai yaweka mkakati kudhibiti maji taka Bomang’ombe

Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imeweka mpango wa kuanzisha miundombinu ya majitaka katika Mji Mdogo wa Bomang’ombe, hatua inayolenga kudhibiti utiririshaji holela wa majitaka, kuboresha usafi wa mazingira na kulinda afya za wananchi, huku ukuaji wa mji na…

17 August 2026, 10:09 am

Hai Teachers SACCOS yavunja rekodi ya ukuaji

Hai Teachers SACCOS yazidi kuimarika kifedha, huku mtaji ukikua kwa asilimia 14 na utoaji wa mikopo ukiongezeka kwa zaidi ya asilimia 20 ,Wanachama wapatiwa elimu ya fedha kuhusu nidhamu ya matumizi, umuhimu wa akiba, uwekezaji na matumizi sahihi ya mikopo…

10 August 2026, 9:19 am

Nanenane: Madiwani Hai wajifunza mbinu bora za kilimo Arusha

Madiwani na wataalamu mbalimbali wa wilaya ya Hai wametembelea mabanda ya maonyesho nanenane yaliyopo katika viwanja vya Themi Jijini Arusha kujifunza na kujionea mbinu bora za kilimo na bidhaa za kilimo Na Oliver Joel, Njiro-Arusha Mkuu wa Wilaya ya Hai…

5 August 2026, 4:15 pm

Wilaya ya Hai yapamba moto utekelezaji miradi ya maendeleo

Wilaya ya Hai imepongezwa kwa kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo kwa ubora unaotakiwa huku Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Hai wakiaswa kuendelea kudumisha na kuilinda amani ya nchi Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya…

3 August 2026, 12:21 pm

Utalii wa ndani, wenye ulemavu Hai waweka mikakati

Wadau wa utalii na watu wenye ulemavu wameonyesha fursa na changamoto za walemavu wanazokutana nazo kwenye vivutio vya utalii pamoja na kuwapa fursa yakushiriki kwenye utalii wa ndani. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro ‎ ‎Wadau mbalimbali wa utalii wa ndani wameombwa…

2 August 2026, 9:23 am

Kutoka msaada kwenda biashara, HAFEO yabadilisha maisha ya wafugaji Hai

Mradi wa From Aid to Trade (FA2T-2) unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la HAFEO umeanza kuleta matumaini mapya kwa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa wilayani Hai , Kupitia mafunzo ya ufugaji wa kisasa, wafugaji wanajengewa uwezo wa kuongeza uzalishaji,…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha