Boma Hai FM
Boma Hai FM
22 July 2026, 10:39 am
Wananchi wa wilaya ya Hai wanatarajiwa kushiriki kongamano la siku tatu la mafunzo ya ujasiriamali litakalowajengea uwezo wa kuanzisha na kuendeleza biashara, kwa lengo la kuongeza fursa za ajira, kujiajiri na kukuza uchumi wa jamii. Stanley Christian Hai – Kilimanjaro…
22 July 2026, 10:16 am
Watoa huduma za usafiri wa umma wametakiwa kuzingatia haki za abiria kwa kuwapatia tiketi, kuwashusha katika vituo walivyolipia na kufuata taratibu za usalama ili kupunguza malalamiko na kuimarisha huduma kwa wasafiri. Na Oliver Joel Hai, Kilimanjaro Ili kuepuka malalamiko mbalimbali…
21 July 2026, 7:03 pm
Wilaya ya Hai iliyopo Mkoani kilimanjaro imeimarisha utekelezaji wa utoaji wa huduma ya lishe bora kwa wananchi kwa kutoa Elimu ya lishe kupitia mikutano mbalimbali taasisi za Elimu na ufuatiliaji wa utoaji wa matone ya vitamini A kwa watoto. Na…
20 July 2026, 2:22 pm
Shirika la FTK limetoa msaada wa samani za darasani kwa Shule ya Msingi Mijongweni ili kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuunga mkono maendeleo ya elimu. Na Anasta Urio Hai- Kilimanjaro Wananchi na wadau wa maendeleo katika Kata ya Mnadani, Wilaya…
11 July 2026, 4:43 pm
Viongozi wa Vijiji na mitaa wilaya ya Hai wameashwa kuwatambua watu wote wanaotoa tiba asili, kufuatia vifo vya watu wanne wa familia moja waliofariki kwa kudhaniwa wamekunywa dawa za asili. Na Oliver Joel Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bomang’ombe, Julius Swai,…
11 July 2026, 2:31 pm
Watu wanne wa familia moja wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha kwa madai ya kunywa dawa za kienyeji. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Hali ya simanzi na taharuki imetanda katika familia ya Rasida Kimaro iliyopo kijiji cha…
9 July 2026, 6:40 pm
Halmashauri ya wilaya ya Hai yapata hati safi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu apongeza, asisitiza utendaji kazi mzuri, upendo na mshikamano na kuwahudumia wananchi kwa upendo na usawa. Na Riziki lesuya & Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa…
29 June 2026, 7:54 am
Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kula mlo kamili, kudumisha usafi wa mazingira na kushiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru utakaopitia wilayani Hai, huku miradi ya maendeleo ikitarajiwa kuzinduliwa. Na Elizabeth Mafie Hai- Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha Kwasadala kata ya Masama…
27 June 2026, 9:58 am
Wananchi wa Masama Magharibi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mashua kwa kulinda mradi, kutoa nguvu kazi na kutunza vifaa vya ujenzi, huku wakieleza matumaini kuwa shule hiyo itapunguza changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata…
26 June 2026, 6:33 am
Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wa jimbo la Hai wanapata huduma bora za afya, Mbunge wa jimbo la Hai ameiomba serikali kujenga kituo cha afya kata ya Muungano. Na Mwandishi wetu Dodoma Serikali imeonyesha utayari wa kushirikiana na viongozi wa Jimbo…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha