Recent posts
13 March 2024, 12:13 pm
Ushirika Hai waanza kuleta tija, Saashisha aishukuru serikali
Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama cha ushirika cha MUROSO SANGI dhidi ya Kampuni ya MACJARO LTD ambapo unatajwa kuwa ni mkataba wenye manufaa…
12 March 2024, 2:06 pm
Wanawake waomba kujengewa kituo cha kulelea watoto kazini
Kutokana na changamoto za malezi ya watoto zinazowakabili wanawake watumishi katika taasisi mbalimbali, watumishi hao wameomba kujengewa kituo cha kulelea watoto. Na Elizabeth Mafie Wanawake watumishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kupitia shirika…
9 March 2024, 12:04 pm
Saashisha ashiriki siku ya wanawake duniani, awaasa kuhusu mikopo
Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka baadhi ya wanawake wanaokopa mikopo katika taasisi mbalimbali kuacha mara moja kwani mikopo hiyo inaleta athari kwa familia pamoja na jamii. Na Edwin Lamtey Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewaasa…
8 March 2024, 8:45 am
NSSF Hai watoa msaada kuelekea siku ya wanawake duniani
Katika kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 kila mwaka NSSF wilaya ya Hai wametoa msaada kwa wenye uhitaji. Na Stanley Christian Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Shirika la Taifa la…
7 March 2024, 5:22 pm
SHIUMA Hai kufanya maonesho mwenge wa uhuru 2024
Hai Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2 April wafanyabiashara wadogowadogo maarufu machinga wilayan Hai wameaanda maonyesho makubwa ya bidhaa mbalimbali za utamaduni sanaa na utalii Na Janeth Joachim Kuelekea kuashwa kwa mwenge kitaifa mkoani Kilimanjaro tarehe 2…
5 March 2024, 1:33 pm
Wanawake Hai watakiwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa
Wanawake wilayani Hai wametakiwa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kuadhimishwa Machi 8 mwaka huu. Na Elizabeth Mafie Wanawake wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujitokeza kushiriki…
23 February 2024, 10:06 am
Waliochukua mikopo Hai watakiwa kurejesha
Vikundi vya vijana ,wanawake na watu wenye ulemavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha mikopo waliyochukua katika halmashauri ya wilaya hiyo kama utaratibu unavyoelekeza. Na Janeth Joachim Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha fedha za mikopo ya halmashauri zinazotolewa…
22 February 2024, 12:37 pm
Baraza la madiwani wilaya ya Siha lampongeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo
Kutokana na jitihada za Mkurugenzi mtendaji pamoja na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya siha za ukosanyaji wa mapato,baraza la madiwani wa halmashauri hiyo latoa pongezi. Na Elizabeth Mafie Baraza la madiwani wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro limempongeza mkurugenzi…
7 February 2024, 5:57 pm
Ulevi chanzo cha uhalifu Machame
Kutokana na baadhi ya wananchi kutumia vilevi mbalimbali wakati wa kazi imetajwa kuwa sababu ya vitendo vya uhalifu pamoja na ukatili. Na Janeth Joackimu Wananchi wa kijiji cha Nronga Kilichopo kata ya Machame Magharibi wametakiwa kuacha tabia ya unywaji wa…
6 February 2024, 8:26 am
Soko la Mbuyuni lateketea kwa moto
Soko la Mbuyuni limeteketea kwa moto na kuwasababisha hasara kwa wafanyabiashara wa soko hilo huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijulikani. Na Elizabeth Mafie Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amefika soko la Mbuyuni lililoteketea kwa moto usiku huu…