Boma Hai FM
Boma Hai FM
22 May 2026, 9:10 am
Wajasiriamali wa kata ya Bomang’ombe wamepatiwa mafunzo maalumu ya kulinda mitaji yao na vipato vyao pamoja na kuanzisha biashara kwa mitaji midogo, wamefundishwa kutengeneza batiki, sabuni ushonaji na mafunzo mengine ya ujasiriamali. Na Henry keto, Hai-Kilimanjaro Diwani wa Kata ya…
21 May 2026, 3:01 pm
Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) wilayani Hai yamehimizwa kuzingatia sheria, utamaduni wa Kitanzania na uwajibikaji wa kifedha wanapopokea ufadhili kutoka nje, ili kuhakikisha shughuli zao zinaendelea kuleta maendeleo chanya kwa jamii. Na Juma Robert Mashirika yasiyo ya kiserikali wilayani Hai …
21 May 2026, 12:48 pm
Kutokana na kuibuka kwa wimbi la watoa elimu ya lishe mtandaoni wasio na taaluma husika, mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ahoji ni lini sheria itaanza kutekelezwa kikamilifu kwa wote wanaokiuka utaratibu huo. Na James Gasindi Mbunge wa Hai …
20 May 2026, 4:34 pm
Katika kuendelea kutunza mazingira wananchi wa kijiji cha Kwasadala wameweka maazimio ya kuweka kijiji hicho katika hali ya usafi na kukubaliana kuweka faini kwa yeyote atakaekaidi. Na Elizabeth Mafie Wananchi wa Kijiji cha Kwasadala wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamekubaliana…
20 May 2026, 11:27 am
Katika maadhimisho ya siku ya nyuki duniani wafugaji wa nyuki wametakiwa kuhifadhi asali katika vifungashio salama na sio chupa zilizoisha vinywaji. Na Oliver Joel, Hai- Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya nyuki duniani yatakayofanyika kesho, wafugaji nyuki wilayani Hai…
15 May 2026, 11:50 am
Bodaboda watakaobadili taa na milio ya pikipiki kukiona Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Maafisa usafirishaji maarufu bodaboda wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wameaswa kutokubadilisha mifumo ya milio na taa iliyowekwa katika pikipiki zao na kuweka taa zenye mwanga mkali pamoja na kuweka…
14 May 2026, 3:33 pm
Ili kuendelea kufuga kwa tija na kukuza kipato cha mtu mmoja mmoja, wafugaji wametakiwa kuzingatia taratibu na kanuni za ufugaji. Na Anasta Urio Hai- Kilimanjaro Wafugaji wa Nguruwe wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kufata kanuni na taratibu za ufugaji zinazotolewa…
12 May 2026, 11:51 pm
Waalimu wa shule za msingi wilaya ya Hai wameaswa kukuza na kuibua vipaji vya wanafunzi mashuleni ili kujenga timu bora kwaajili ya mashindano ya kimkoa Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Waalimu wa michezo mashuleni wametakiwa kujitoa kuinua na kukuza michezo katika…
18 April 2026, 4:24 pm
Madereva wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuepuka ulevi, matumizi ya simu wanapoendesha, pamoja na kufanya maamuzi sahihi wanapokutana na changamoto barabarani, ili kupunguza ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara. Na Oliva JoelKatika kuepuka ajali za…
18 April 2026, 3:50 pm
Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuchangia nguvu kazi na kuilinda miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa ufanisi na kuleta manufaa kwa jamii pamoja na vizazi vijavyo. Na Anasta Urio Wananchi…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha