Recent posts
17 August 2026, 10:09 am
Hai Teachers SACCOS yavunja rekodi ya ukuaji
Hai Teachers SACCOS yazidi kuimarika kifedha, huku mtaji ukikua kwa asilimia 14 na utoaji wa mikopo ukiongezeka kwa zaidi ya asilimia 20 ,Wanachama wapatiwa elimu ya fedha kuhusu nidhamu ya matumizi, umuhimu wa akiba, uwekezaji na matumizi sahihi ya mikopo…
10 August 2026, 9:19 am
Nanenane: Madiwani Hai wajifunza mbinu bora za kilimo Arusha
Madiwani na wataalamu mbalimbali wa wilaya ya Hai wametembelea mabanda ya maonyesho nanenane yaliyopo katika viwanja vya Themi Jijini Arusha kujifunza na kujionea mbinu bora za kilimo na bidhaa za kilimo Na Oliver Joel, Njiro-Arusha Mkuu wa Wilaya ya Hai…
5 August 2026, 4:15 pm
Wilaya ya Hai yapamba moto utekelezaji miradi ya maendeleo
Wilaya ya Hai imepongezwa kwa kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo kwa ubora unaotakiwa huku Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Hai wakiaswa kuendelea kudumisha na kuilinda amani ya nchi Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya…
3 August 2026, 12:21 pm
Utalii wa ndani, wenye ulemavu Hai waweka mikakati
Wadau wa utalii na watu wenye ulemavu wameonyesha fursa na changamoto za walemavu wanazokutana nazo kwenye vivutio vya utalii pamoja na kuwapa fursa yakushiriki kwenye utalii wa ndani. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wadau mbalimbali wa utalii wa ndani wameombwa…
2 August 2026, 9:23 am
Kutoka msaada kwenda biashara, HAFEO yabadilisha maisha ya wafugaji Hai
Mradi wa From Aid to Trade (FA2T-2) unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la HAFEO umeanza kuleta matumaini mapya kwa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa wilayani Hai , Kupitia mafunzo ya ufugaji wa kisasa, wafugaji wanajengewa uwezo wa kuongeza uzalishaji,…
30 July 2026, 2:51 pm
Kamati ya fedha Hai yahimiza jamii kuchangia miradi ya maendeleo
Kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Hai imehimiza ushiriki wa wazawa na wadau wa maendeleo katika kuchangia utekelezaji wa miradi ya kijamii, huku pia ikisisitiza umuhimu wa kulinda maeneo ya umma kwa kuyapima na kuyapatia…
27 July 2026, 1:32 pm
Polisi Bomang’ombe watoa wito kwa wazazi kulea watoto wao
Jeshi la polisi wilaya ya Hai limetembelea kituo cha kulea watotot yatima cha Neema Orphanage Center na kutoa wito kwa wazazi kulea watoto wao. Na Henry Keto,Hai-Kilimanjaro Jeshi la Polisi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro limewataka wazazi na walezi kutimiza…
25 July 2026, 8:31 am
Mbunge Saashisha atoboa siri ya miradi mikubwa Hai
Mbali na kueleza mafanikio ya miradi ya maendeleo, Mbunge Saashisha amesisitiza umuhimu wa kulinda maeneo ya kimkakati na kuhakikisha changamoto za maji zinapatiwa ufumbuzi. Na Oliver Joel Mbunge wa Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro Saashisha Mafuwe, amewataka wananchi wilayani Hai…
24 July 2026, 12:28 pm
Zaidi ya vijana 200 Hai wajengewa uwezo kujitegemea kupitia ujasiriamali
Washiriki wamehimizwa kutumia ujuzi watakaoupata kuanzisha shughuli za kujiongezea kipato, huku waandaaji wakieleza kuwa ujasiriamali ni njia muhimu ya kupunguza utegemezi wa ajira rasmi. Na Bahati Chume Hai – Kilimanjaro Zaidi ya vijana 200 wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro…
22 July 2026, 11:03 am
Wananchi Hai waonya dhidi ya kujichukulia sheria mkononi
Wananchi wa Wilaya ya Hai wameitaka jamii kuacha kujichukulia sheria mkononi na badala yake kuviamini vyombo vya dola, wakisisitiza kuwa kuheshimu utawala wa sheria ni njia sahihi ya kuhakikisha haki inatendeka. Na Bahati Chume Hai- Kilimanjaro Wananchi wa Wilaya ya…