24 March 2026, 12:12 pm

Zaidi ya kaya 500 zakumbwa na mafuriko kata ya Kia

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, zaidi ya kaya 500 katika kata ya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro zimekumbwa na mafuriko yaliyosababisha baadhi ya wananchi kuyahama makazi yao na kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Elizabeth Mafie Hai – Kilimanjaro…

Offline
Play internet radio

Recent posts

27 July 2026, 1:32 pm

Polisi Bomang’ombe watoa wito kwa wazazi kulea watoto wao

Jeshi la polisi wilaya ya Hai limetembelea kituo cha kulea watotot yatima cha Neema Orphanage Center na kutoa wito kwa wazazi kulea watoto wao. Na Henry Keto,Hai-Kilimanjaro Jeshi la Polisi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro limewataka wazazi na walezi kutimiza…

25 July 2026, 8:31 am

Mbunge Saashisha atoboa siri ya miradi mikubwa Hai

Mbali na kueleza mafanikio ya miradi ya maendeleo, Mbunge Saashisha amesisitiza umuhimu wa kulinda maeneo ya kimkakati na kuhakikisha changamoto za maji zinapatiwa ufumbuzi. Na Oliver Joel Mbunge wa Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro Saashisha Mafuwe, amewataka wananchi wilayani Hai…

24 July 2026, 12:28 pm

Zaidi ya vijana 200 Hai wajengewa uwezo kujitegemea kupitia ujasiriamali

Washiriki wamehimizwa kutumia ujuzi watakaoupata kuanzisha shughuli za kujiongezea kipato, huku waandaaji wakieleza kuwa ujasiriamali ni njia muhimu ya kupunguza utegemezi wa ajira rasmi. Na Bahati Chume Hai – Kilimanjaro Zaidi ya vijana 200 wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro…

22 July 2026, 11:03 am

Wananchi Hai waonya dhidi ya kujichukulia sheria mkononi

Wananchi wa Wilaya ya Hai wameitaka jamii kuacha kujichukulia sheria mkononi na badala yake kuviamini vyombo vya dola, wakisisitiza kuwa kuheshimu utawala wa sheria ni njia sahihi ya kuhakikisha haki inatendeka. Na Bahati Chume Hai- Kilimanjaro Wananchi wa Wilaya ya…

22 July 2026, 10:39 am

Rutaraka awaalika wananchi kushiriki kongamano la ujasiriamali

Wananchi wa wilaya ya Hai wanatarajiwa kushiriki kongamano la siku tatu la mafunzo ya ujasiriamali litakalowajengea uwezo wa kuanzisha na kuendeleza biashara, kwa lengo la kuongeza fursa za ajira, kujiajiri na kukuza uchumi wa jamii. Stanley Christian Hai – Kilimanjaro…

22 July 2026, 10:16 am

Madereva na utingo watakiwa kutoa huduma bora kwa abiria

Watoa huduma za usafiri wa umma wametakiwa kuzingatia haki za abiria kwa kuwapatia tiketi, kuwashusha katika vituo walivyolipia na kufuata taratibu za usalama ili kupunguza malalamiko na kuimarisha huduma kwa wasafiri. Na Oliver Joel Hai, Kilimanjaro Ili kuepuka malalamiko mbalimbali…

21 July 2026, 7:03 pm

Hali ya utekelezaji wa Lishe Wilaya ya Hai yaimarika

Wilaya ya Hai iliyopo Mkoani kilimanjaro imeimarisha utekelezaji wa utoaji wa huduma ya lishe bora kwa wananchi kwa kutoa Elimu ya lishe kupitia mikutano mbalimbali taasisi za Elimu na ufuatiliaji wa utoaji wa matone ya vitamini A kwa watoto. Na…

20 July 2026, 2:22 pm

Ushirikiano wadau wa maendeleo na serikali kukuza sekta ya elimu

Shirika la FTK limetoa msaada wa samani za darasani kwa Shule ya Msingi Mijongweni ili kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuunga mkono maendeleo ya elimu. Na Anasta Urio Hai- Kilimanjaro Wananchi na wadau wa maendeleo katika Kata ya Mnadani, Wilaya…

11 July 2026, 4:43 pm

Viongozi wa vijiji Hai wahimizwa kuwatambua wanaotoa tiba asili

Viongozi wa Vijiji na mitaa wilaya ya Hai wameashwa kuwatambua watu wote wanaotoa tiba asili, kufuatia vifo vya watu wanne wa familia moja waliofariki kwa kudhaniwa wamekunywa dawa za asili. Na Oliver Joel Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bomang’ombe, Julius Swai,…

11 July 2026, 2:31 pm

Wanne wafariki dunia, matumizi ya dawa za kienyeji

Watu wanne wa familia moja wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha kwa madai ya kunywa dawa za kienyeji. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Hali ya simanzi na taharuki imetanda katika familia ya Rasida Kimaro iliyopo kijiji cha…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha