Recent posts
18 April 2026, 4:24 pm
Ukilewa piga simu polisi au peleka gari kituoni
Madereva wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuepuka ulevi, matumizi ya simu wanapoendesha, pamoja na kufanya maamuzi sahihi wanapokutana na changamoto barabarani, ili kupunguza ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara. Na Oliva JoelKatika kuepuka ajali za…
18 April 2026, 3:50 pm
Hai watakiwa kushiriki ujenzi wa miradi kuchochea maendeleo
Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuchangia nguvu kazi na kuilinda miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa ufanisi na kuleta manufaa kwa jamii pamoja na vizazi vijavyo. Na Anasta Urio Wananchi…
18 April 2026, 2:52 pm
KCEO yapanda miti 1000 shule 6 wilayani Hai
Katika kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira, shirika la KCEO limefanya zoezi la upandaji miti katika shule sita za wilaya ya Hai. Na Elizabeth Mafie Wanafunzi katika shule sita za wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kutunza miti iliyopandwa katika shule…
15 April 2026, 2:44 pm
Vyama vya ushirika Hai vyatakiwa kuwekeza uwekezaji wenye tija
Ziara ya Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (TISEZA) wilayani Hai imelenga kuhamasisha vyama vya ushirika kuwekeza kwa tija, kutafuta vyanzo mbadala vya kipato na kupata masoko ili kukabiliana na changamoto za tabia nchi na kuboresha maisha ya…
24 March 2026, 12:12 pm
Zaidi ya kaya 500 zakumbwa na mafuriko kata ya Kia
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, zaidi ya kaya 500 katika kata ya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro zimekumbwa na mafuriko yaliyosababisha baadhi ya wananchi kuyahama makazi yao na kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Elizabeth Mafie Hai – Kilimanjaro…
24 March 2026, 10:48 am
Kifua kikuu kinatibika kwa matumizi sahihi ya dawa – Dkt Shirima
Kila ifikapo Machi 24, dunia huadhimisha siku ya kifua kikuu ,lengo likiwa ni kuwakumbusha wananchi kuhusu ugonjwa huo, na kuwapatia elimu na kendelea kuchukua tahadhari. Na Stanley Christian Hai-Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Kifua kikuu na Ukoma duniani…
20 March 2026, 4:20 am
Mbunge Hai awataka wakandarasi wasitoke site
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi katika wilaya ya Hai kutotoka site bila sababu ya msingi mpaka miradi itakapokamilika. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mbunge wa jimbo la Hai Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza…
19 March 2026, 11:02 pm
Mbunge Hai afuturisha misikiti 9 kudumisha umoja
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amefuturisha misikiti tisa katika jimbo la Hai akitoa ujumbe wa kudumisha umoja na mshikamano baina ya waumini wote wa dini zote. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Wananchi na waumini wa dini ya kiislamu wilayani…
19 March 2026, 5:22 pm
RUWASSA Hai waadhimisha wiki ya maji
Juhudi za kulinda vyanzo vya maji zimeendelea kupewa kipaumbele wilayani Hai, huku viongozi wakisisitiza ushirikishwaji wa wananchi ili kudumisha upatikanaji wa maji safi na salama,Mafanikio ya Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe yamepongezwa kwa kung’ara kitaifa, wakati hatua za kudhibiti uharibifu…
18 March 2026, 10:20 am
Wanafunzi wapanda miti kutunza mazingira
Miti zaidi ya 200 imepandwa katika shule ya sekondari Kwamkombozi katika kata ya Masama Kusini Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa zoezi la upandaji miti katika maeneo mbalimbali hasa shule na kampeni ya ”Soma na Mti” Na…