24 March 2026, 12:12 pm

Zaidi ya kaya 500 zakumbwa na mafuriko kata ya Kia

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, zaidi ya kaya 500 katika kata ya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro zimekumbwa na mafuriko yaliyosababisha baadhi ya wananchi kuyahama makazi yao na kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Elizabeth Mafie Hai – Kilimanjaro…

On air
Play internet radio

Recent posts

9 July 2026, 6:40 pm

CAG Aipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa hati safi

Halmashauri ya wilaya ya Hai yapata hati safi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu apongeza, asisitiza utendaji kazi mzuri, upendo na mshikamano na kuwahudumia wananchi kwa upendo na usawa. Na Riziki lesuya & Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa…

27 June 2026, 9:58 am

Masama Magharibi yaandika historia mpya ya elimu, kujenga sekondari mpya

Wananchi wa Masama Magharibi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mashua kwa kulinda mradi, kutoa nguvu kazi na kutunza vifaa vya ujenzi, huku wakieleza matumaini kuwa shule hiyo itapunguza changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kufuata…

26 June 2026, 6:33 am

Saashisha aomba kujengwa kituo cha afya Muungano

Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wa jimbo la Hai wanapata huduma bora za afya, Mbunge wa jimbo la Hai ameiomba serikali kujenga kituo cha afya kata ya Muungano. Na Mwandishi wetu Dodoma Serikali imeonyesha utayari wa kushirikiana na viongozi wa Jimbo…

23 June 2026, 1:32 pm

Mbunge ahoji mgogoro wa Chama cha Ushirika na mwekezaji

Serikali imesema itachukua hatua za kuvunja mkataba kati ya Chama cha Ushirika cha Mrososangi na mwekezaji husika endapo ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi hautatekelezwa kwa mujibu wa makubaliano yaliyowekwa. Na Mwandishi wetu Serikali imesema itavunja mkataba kati ya Chama…

23 June 2026, 1:15 pm

Mkuu wa Wilaya amahasisha mazoezi

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Hassan Omary Bomboko amesisitiza umuhimu wa mazoezi kwa afya na maendeleo ya jamii, huku akiwahamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwasili wilayani Hai Julai 3, 2026. Na Juma…

23 June 2026, 11:27 am

Jeneza kuwekwa juu ya gari la Dc, Dc Timbuka atoa ufanunuzi

Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amesema serikali na vyombo vya ulinzi vilichukua hatua mbalimbali kudhibiti sintofahamu zilizojitokeza wakati wa mazishi ya kijana Emanueli, ikiwemo kuwaachilia waliokamatwa na kutumia nguvu kiasi kurejesha utulivu na kwamba mazishi yalikamilika salama…

20 June 2026, 10:07 am

Mbunge ahoji hatima ujenzi chuo na kituo cha afya

Serikali imewahakikishia wananchi wa Narumu na Jimbo la Hai kwa ujumla kuwa juhudi zinaendelea kuhakikisha mradi wa ujenzi wa Chuo cha Afya Narumu na Kituo cha Afya unapata fedha za kutosha ili kukamilika kwa wakati. Na James Gasindi Serikali imesema…

14 June 2026, 8:54 am

Myinga ataka vikundi kutumia mikopo kwa tija na kurejesha kwa wakati

Pichani ni wajisirimali mbalimbali waliohudhuria katika mafunzo ya mikopo ya asilimia 10 yaliyofanyika shule ya msingi Kibaoni (picha na Juma Robert) Vikundi mbalimbali vya Wilaya ya Hai vilivyoshiriki mafunzo ya ujasiriamali vimeeleza kuwa elimu waliyoipata itawasaidia kusimamia vyema fedha za…

12 June 2026, 4:00 pm

Rc Babu amaliza mgogoro wa ardhi uliodumu miaka 23 Hai

Serikali mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa wilaya ya Hai na Chama cha Ushirika FONRWA,uliodumu kwa miaka 23. Na Anasta UrioHai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha