Boma Hai FM

Recent posts

5 February 2024, 12:23 pm

Ccm yawaonya wasiofata taratibu

Chama cha mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro kimewataka baadhi ya wanachama ambao wamekuwa wakikiuka taratibu za chama kwa kuomba kura kwa wananchi kabla ya uchaguzi kuacha mara moja. Na Elizabeth Mafie Chama cha Mapinduzi (CCM ) mkoa wa Kilimanjaro kimetoa onyo…

29 January 2024, 1:04 pm

Waharibifu vyanzo vya maji kukiona

Bodi ya maji Bonde la Pangani kwa kushirikiana na Jumuiya ya watumia maji mto Kware wamewataka wananchi katika kata ya Masama Magharibi wanaoharibu vyanzo vya maji kwa kukata miti kuacha mara moja na badala yake watunze vyanzo hivyo. Na Elizabeth…

23 January 2024, 12:59 pm

Wagonjwa hospitali ya Kibon’goto waridhika na huduma

Wagonjwa mbalimbali kutoka hospitali maalum ya taifa ya magonjwa ambukizi kibon’goto waridhishwa na huduma. Na Elizabeth Mafie Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali maalumu ya Taifa ya magonjwa ambukizi Kibong’oto iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimnjaro Dkt Leornad Subi  amesema hospitali hiyo itaendelea…

18 January 2024, 12:16 pm

Wananchi Hai watakiwa kutunza mazingira

Mkuu wa wilaya ya Hai Amiri Mkalipa awataka wananchi kutunza mazingira. Na Elizabeth Mafie Wananchi   wilayani  Hai mkoani  Kilimanjaro   wametakiwa kulinda na kutunza mazingira  ili kuhifadhi vyanzo vya maji dhidi ya uharibifu na kubaki salama kwaajili ya vizazi vijavyo. Kauli…

16 January 2024, 11:58 am

Mvua kubwa yaua watatu Same

Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Same Mkoani Kilimanjaro na zimesababisha madhara katika miundombinu ya barabara pamoja na kusababisha watu kupoteza maisha. Na Elizabeth Mafie Watu watatu wamefariki Dunia Wilayani same Mkoani Kilimanjaro kwa kufukiwa na nyumba na mmoja…

6 January 2024, 10:21 pm

Mbunge Saashisha Mafuwe amlilia katibu wake

Aliyekuwa katibu wa mbunge jimbo la Hai Mwl. Benson Lema azikwa kijijini kwao Nronga – Machame. Na Elizabeth Mafie Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe wameshiriki katika ibada ya maziko ya aliyekuwa katibu wake…

5 January 2024, 11:23 pm

Wanafunzi wasiokuwa na sare kuendelea na masomo

Zikiwa zimebaki siku chache shule za msingi na sekondari kufunguliwa hapa nchini mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu atoa wito kwa wakuu wa shule. Na Elizabeth Mafie Wito umetolewa kwa wakuu wa shule za msingi na sekondari katika mkoa…

2 January 2024, 7:06 pm

Wazazi chanzo cha ukatili kwa watoto

Baadhi ya wazazi na walezi wametajwa kuwa chanzo cha ukatili kutokana na kutokutoa ushirikiano pindi watoto wao wanapofanyiwa ukatili. Na Elizabeth Mafie Imeelezwa kuwa kudidimia kwa ndoto za watoto wengi hasa wa kike wilayani Same mkoani Kilimanjaro kunatokana na baadhi…

25 December 2023, 9:54 am

Siha watakiwa kusheherekea sikukuu kwa amani

Wananchi wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro watakiwa kusheherekea sikukuu za Christmass na mwaka mpya kwa amani na utulivu. Na Elizabeth Mafie Mkuu wa Wilaya ya  Siha mkoani Kilimanjaro  Dkt Christopher Timbuka amesema wamejipanga kuhakikisha usalama wa raia na mali zao katika…

24 December 2023, 7:04 pm

Dkt Biteko aongoza mamia mbio za Rombo marathon na ndafu festival

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati Dkt Dotto Biteko amesisistiza ushiriki wa matukio ya kijamii ikiwemo shughuli za kijamii,michezo na matamasha mbali mbali ikiwa ni njia moja wapo ya kuwakutanisha wananchi na taasisi lakini pia kuwajengea mahusiano mazuri baina…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha