Boma Hai FM
Boma Hai FM
18 January 2026, 8:11 am
Pichani ni madarasa ya shule ya sekondari Mondo Memusi iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.(picha na Bahati Chume) Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Mondo Memusi katika kijiji cha Donyomurwak wilayani Siha umeondoa changamoto ya umbali kwa wanafunzi wa jamii…
17 January 2026, 8:11 am
Malalamiko ya wananchi wilaya ya Hai yanaendelea kupungua, hali inayotajwa kuchangiwa na juhudi za uongozi wa wilaya hiyo kusikiliza na kutatua kero moja kwa moja kwa wananchi. Na Oliva Joel Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Hassan Omary Bomboko,…
1 December 2025, 3:30 pm
Mkuu wa Wilaya ya Siha Dkt Christopher Timbuka, amewataka watumishi wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji mpya Hellen Mwembeta, ili kufanikisha jitihada za Serikali za kuwaletea maendeleo wananchi wa wilaya hiyo. Na Bahati Chume Siha-Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya Siha,…
1 December 2025, 2:58 pm
Edmund Rutaraka amethibitisha nguvu zake wilayani Hai baada ya kushinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani wa CCM, akipata kura 15 kati ya 23 na kurejeshwa rasmi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai. Na Elizabeth Mafie na…
1 December 2025, 1:26 pm
Jamii yaaswa kuachana na mitazamo hasi dhidi ya watoto wenye mahitaji maalumu. Na Elizabeth Mafie Hai -Kilimanjaro Jamii imetakiwa kuondoa mitazamo hasi ya kuwaficha watoto wenye mahitaji maalumu, kwani watoto hao wana uwezo wa kujitegemea na kusimama wenyewe iwapo watapata…
30 November 2025, 12:11 pm
Wananchi wa Kijiji cha Rundugai wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wamefurahia na kuishukuru Serikali baada ya kupokea shilingi milioni 85 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madrasa na kituo kidogo cha polisi, miradi inayotarajiwa kuboresha elimu na usalama katika eneo…
29 November 2025, 10:01 am
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe imehitimisha ukaguzi wa kila mwaka wa vyanzo na miundombinu ya maji katika Wilaya ya Hai, lengo ikiwa ni kuhakikisha miradi ya maji inakuwa endelevu na maji yanayotolewa kwa wananchi ni salama, na huduma ya maji…
28 November 2025, 5:15 pm
Siku ya Lishe Kitaifa huadhimishwa kila mwaka nchini Tanzania ili kukumbusha dhana ya haki ya kupata chakula bora, kupambana na udumavu, na kuhimiza uwekezaji katika afya dhamira inayokwenda sambamba na mpango wa taifa wa kuboresha lishe ulioanzishwa miaka kadhaa iliyopita.…
26 November 2025, 3:12 pm
Halmashauri ya wilaya ya Hai imesaini mkataba wa ujenzi wa jengo jipya na lakisasa la ofisi za halmashauri lenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.39 unaojengwa kwa muda wa miaka miwili mpaka Novemba 25,2027 unaotekelezwa na kampuni ya Paric limited. Na…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha