Recent posts
10 December 2023, 6:20 pm
Diwani awatuliza wananchi wenye hasira kali
Wananchi wa kijiji cha mkombozi wataka kubomoa nyumba ya mwananchi mmoja anayedaiwa kuvamia eneo la kijiji. Na Elizabeth Mafie Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka wananchi wa kijiji cha Mkombozi Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kusitisha zoezi la…
9 December 2023, 11:55 am
KIA kuwekwa taa za kisasa
Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini (TAA) inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya viwanja vya ndege hapa nchini huku uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ukiwekwa taa za kisasa. Na Elizabeth Mafie Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini…
8 December 2023, 4:43 pm
Prof Mkenda ahimiza kilimo cha parachichi Rombo
Wananchi wa Rombo mkoani Kilimanjaro wamepatiwa miche ya parachichi zaidi ya elfu moja kwa ajili ya kilimo cha kisasa. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya alfu moja kwa wakulima…
8 December 2023, 11:40 am
Makala: Mkenda ahamasisha kilimo cha parachichi Rombo
Mbunge wa Jimbo la Rombo Pro Adolf Mkenda amekabidhi Miche ya maparachichi zaidi ya elfu moja kwa wakulima kutoka vijiji mbali mba doli Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Jimbo la Rombo Prof Adolf Mkenda amekabidhi Miche…
8 December 2023, 8:43 am
Tyc yaendeleza mafunzo kwa vijana Kilimanjaro
Vijana ambao ni wanufaika wa mradi wa boresha maisha kwa vijana wakiwa katika mafunzo. Vijana zaidi ya ishirini katika mkoa wa Kilimanjaro wamepatiwa mafunzo na shirika lisilo la serekali lijulikanalo kama Tanzania Youth Coalition linalotekeleza mradi wa boresha maisha kwa…
7 December 2023, 2:05 pm
Siha yavuka lengo ukusanyaji mapato
Halmashauri Siha imevuka lengo la makusanyo ya mapato kwa kukusanya bilioni 8.24 robo ya mwaka. Na Elizabeth Mafie Halmashauri ya wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro imefanikiwa kuvuka lengo kwa kukusanya shilingi bilioni 8.24 katika robo ya Kwanza ya mwaka…
3 December 2021, 4:14 pm
Ujenzi wa madarasa
Serikali wilayani Hai yatoa siku 30 kujengwa madarasa matatu shule iliyokumbwa na tetemeko Na Salma Shaban HAI Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Juma Said Irando ameagiza kujengwa madarasa matatu katika shule ya msingi Nsongoro iliyopo kata ya Masama…
20 November 2021, 9:08 am
Semina ya wajasiriamali
Madiwani wasaidieni wananchi kuzitambua fursa za kiuchumi: Diwani kata ya Bomang’ombe Na Salma Shaban HAI Diwani wa kata ya Bomang’ombe wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Evod Njau amewaomba madiwani kote nchini kuwasaidia wananchi wakimemo wajasiriamali ikiwa ni pamoja na kutekeleza ahadi…