Boma Hai FM

Recent posts

20 March 2026, 4:20 am

Mbunge Hai awataka wakandarasi wasitoke site

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi katika wilaya ya Hai kutotoka site bila sababu ya msingi mpaka miradi itakapokamilika. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mbunge wa jimbo la Hai Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza…

19 March 2026, 11:02 pm

Mbunge Hai afuturisha misikiti 9 kudumisha umoja

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amefuturisha misikiti tisa katika jimbo la Hai akitoa ujumbe wa kudumisha umoja na mshikamano baina ya waumini wote wa dini zote. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Wananchi na waumini wa dini ya kiislamu wilayani…

19 March 2026, 5:22 pm

RUWASSA Hai waadhimisha wiki ya maji

Juhudi za kulinda vyanzo vya maji zimeendelea kupewa kipaumbele wilayani Hai, huku viongozi wakisisitiza ushirikishwaji wa wananchi ili kudumisha upatikanaji wa maji safi na salama,Mafanikio ya Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe yamepongezwa kwa kung’ara kitaifa, wakati hatua za kudhibiti uharibifu…

18 March 2026, 10:20 am

Wanafunzi wapanda miti kutunza mazingira

Miti zaidi ya 200 imepandwa katika shule ya sekondari Kwamkombozi katika kata ya Masama Kusini Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa zoezi la upandaji miti katika maeneo mbalimbali hasa shule na kampeni ya ”Soma na Mti” Na…

13 March 2026, 2:45 pm

Madereva wakumbushwa kukagua magari kuepusha ajali

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini wito umetolewa kwa watumiaji wa barabara pamoja na madereva kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa vyombo vyao vya moto ili kuepusha ajali. Na Oliva Joel Hai -Kilimanjaro Katika kipindi hiki…

13 March 2026, 12:45 am

Kliniki ya ardhi yawanufaisha wananchi Kilimanjaro

Wananchi mkoani Kilimanjaro wameshiriki zoezi la Samia Ardhi Kliniki lililoendeshwa kwa wiki nzima mkoani humo, ambapo wamepatiwa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi, viwanja vimepimwa, kurasimishwa na wananchi kukabidhiwa hati miliki Na Henry Keto, Siha-Kilimanjaro Wananchi mkoani Kilimanjaro wamejitokeza kwa…

11 March 2026, 12:07 pm

Timu ya Hai United yaendelea kujinoa kuelekea Ligi ya mabingwa mkoa

Maandalizi ya timu ya Hai United kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Mkoa yanaendelea kushika kasi huku kikosi hicho kikikusanyika kambini kwa mazoezi maalum ya kujiimarisha kiufundi na kimwili. Na mwandishi wetu Hai-Kilimanjaro Timu ya mpira wa miguu  ya Hai…

11 March 2026, 11:53 am

RC Babu ahimiza usawa wa haki kwa wanawake na wasichana Kilimanjaro

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kimkoa katika mkoa wa Kilimanjaro yametumika kuhimiza usawa wa haki na fursa kwa wanawake na wasichana ili kuharakisha maendeleo ya jamii. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema kaulimbiu…

6 March 2026, 4:33 pm

Wakabidhi jengo la baba, mama na mtoto Hai

Katika kuendelea kuboresha huduma za afya hapa nchini wadau wa maendeleo kutoka taasisi ya Tumbili Foundation kwa kushirikiana na Holcim Foundation kutoka nchini Switzerland wamejenga jengo la baba, mama na mtoto katika zahanati ya Nkweshoo na kulikabidhi kwa serikali. Na…

6 March 2026, 2:13 pm

Wananchi watakiwa kuwa waaminifu kurejesha mikopo

Katika kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi na kukuza kipato cha familia,wananchi hao wameaswa kurejesha mikopo wanayopatiwa na serikali. Na Oliva Joel Hai – Kilimanjaro Imeelezwa kuwa kukosekana kwa uaminifu wa kurejesha mikopo inayotolewa na halmashauri na ile ya mtu mmoja mmoja…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha