Boma Hai FM
Boma Hai FM
20 March 2026, 4:20 am
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi katika wilaya ya Hai kutotoka site bila sababu ya msingi mpaka miradi itakapokamilika. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mbunge wa jimbo la Hai Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe amewataka wakandarasi wanaotekeleza…
19 March 2026, 11:02 pm
Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amefuturisha misikiti tisa katika jimbo la Hai akitoa ujumbe wa kudumisha umoja na mshikamano baina ya waumini wote wa dini zote. Na Annasta Urio, Hai-Kilimanjaro Wananchi na waumini wa dini ya kiislamu wilayani…
19 March 2026, 5:22 pm
Juhudi za kulinda vyanzo vya maji zimeendelea kupewa kipaumbele wilayani Hai, huku viongozi wakisisitiza ushirikishwaji wa wananchi ili kudumisha upatikanaji wa maji safi na salama,Mafanikio ya Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe yamepongezwa kwa kung’ara kitaifa, wakati hatua za kudhibiti uharibifu…
18 March 2026, 10:20 am
Miti zaidi ya 200 imepandwa katika shule ya sekondari Kwamkombozi katika kata ya Masama Kusini Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa zoezi la upandaji miti katika maeneo mbalimbali hasa shule na kampeni ya ”Soma na Mti” Na…
13 March 2026, 2:45 pm
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini wito umetolewa kwa watumiaji wa barabara pamoja na madereva kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa vyombo vyao vya moto ili kuepusha ajali. Na Oliva Joel Hai -Kilimanjaro Katika kipindi hiki…
13 March 2026, 12:45 am
Wananchi mkoani Kilimanjaro wameshiriki zoezi la Samia Ardhi Kliniki lililoendeshwa kwa wiki nzima mkoani humo, ambapo wamepatiwa elimu kuhusu matumizi bora ya ardhi, viwanja vimepimwa, kurasimishwa na wananchi kukabidhiwa hati miliki Na Henry Keto, Siha-Kilimanjaro Wananchi mkoani Kilimanjaro wamejitokeza kwa…
11 March 2026, 12:07 pm
Maandalizi ya timu ya Hai United kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Mkoa yanaendelea kushika kasi huku kikosi hicho kikikusanyika kambini kwa mazoezi maalum ya kujiimarisha kiufundi na kimwili. Na mwandishi wetu Hai-Kilimanjaro Timu ya mpira wa miguu ya Hai…
11 March 2026, 11:53 am
Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kimkoa katika mkoa wa Kilimanjaro yametumika kuhimiza usawa wa haki na fursa kwa wanawake na wasichana ili kuharakisha maendeleo ya jamii. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amesema kaulimbiu…
6 March 2026, 4:33 pm
Katika kuendelea kuboresha huduma za afya hapa nchini wadau wa maendeleo kutoka taasisi ya Tumbili Foundation kwa kushirikiana na Holcim Foundation kutoka nchini Switzerland wamejenga jengo la baba, mama na mtoto katika zahanati ya Nkweshoo na kulikabidhi kwa serikali. Na…
6 March 2026, 2:13 pm
Katika kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi na kukuza kipato cha familia,wananchi hao wameaswa kurejesha mikopo wanayopatiwa na serikali. Na Oliva Joel Hai – Kilimanjaro Imeelezwa kuwa kukosekana kwa uaminifu wa kurejesha mikopo inayotolewa na halmashauri na ile ya mtu mmoja mmoja…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha