Boma Hai FM

Recent posts

18 January 2026, 8:11 am

Wananchi Siha waomba usajili wa haraka shule ya sekondari Mondo Memusi

Pichani ni madarasa ya shule ya sekondari Mondo Memusi iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.(picha na Bahati Chume) Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Mondo Memusi katika kijiji cha Donyomurwak wilayani Siha umeondoa changamoto ya umbali kwa wanafunzi wa jamii…

17 January 2026, 8:11 am

Dc Bomboko ahimiza utatuzi wa kero za wananchi kwa vitendo

Malalamiko ya wananchi wilaya ya Hai yanaendelea kupungua, hali inayotajwa kuchangiwa na juhudi za uongozi wa wilaya hiyo kusikiliza na kutatua kero moja kwa moja kwa wananchi. Na Oliva Joel Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Hassan Omary Bomboko,…

3 December 2025, 12:33 pm

“Mikopo mnayopewa wekezeni kwenye shughuli za uzalishaji” Dc Bomboko Halmashauri ya wilaya ya Hai imetoa mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani yasiyo na riba yenye jumla ya shilingi millioni 247.1 kwa vikundi 29 vilivyokidhi vigezo vyakupata mikopo hiyo…

1 December 2025, 3:30 pm

DC Siha asisitiza ushirikiano

Mkuu wa Wilaya ya Siha Dkt Christopher Timbuka, amewataka watumishi wa Halmashauri kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji mpya Hellen Mwembeta, ili kufanikisha jitihada za Serikali za kuwaletea maendeleo wananchi wa wilaya hiyo.  Na Bahati Chume Siha-Kilimanjaro  Mkuu wa Wilaya ya Siha,…

1 December 2025, 2:58 pm

Rutaraka aibuka mshindi kugombea uenyekiti Hai

Edmund Rutaraka amethibitisha nguvu zake wilayani Hai baada ya kushinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani wa CCM, akipata kura 15 kati ya 23 na kurejeshwa rasmi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai. Na Elizabeth Mafie na…

1 December 2025, 1:26 pm

Gabriella Center yapambania watoto maalum kielimu

Jamii yaaswa kuachana na mitazamo hasi dhidi  ya watoto wenye mahitaji maalumu. Na Elizabeth Mafie Hai -Kilimanjaro Jamii imetakiwa kuondoa mitazamo hasi ya kuwaficha watoto wenye mahitaji maalumu, kwani watoto hao wana uwezo wa kujitegemea na kusimama wenyewe iwapo watapata…

30 November 2025, 12:11 pm

Milioni 85 zaibua furaha Rundugai

Wananchi wa Kijiji cha Rundugai wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wamefurahia na kuishukuru Serikali baada ya kupokea shilingi milioni 85 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madrasa na kituo kidogo cha polisi, miradi inayotarajiwa kuboresha elimu na usalama katika eneo…

28 November 2025, 5:15 pm

Wananchi wa Hai wakumbushwa nafasi ya lishe bora

Siku ya Lishe Kitaifa huadhimishwa kila mwaka nchini Tanzania ili kukumbusha dhana ya haki ya kupata chakula bora, kupambana na udumavu, na kuhimiza uwekezaji katika afya dhamira inayokwenda sambamba na mpango wa taifa wa kuboresha lishe ulioanzishwa miaka kadhaa iliyopita.…

26 November 2025, 3:12 pm

Wakandarasi Hai watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati

Halmashauri ya wilaya ya Hai imesaini mkataba wa ujenzi wa jengo jipya na lakisasa la ofisi za halmashauri lenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.39 unaojengwa kwa muda wa miaka miwili mpaka Novemba 25,2027 unaotekelezwa na kampuni ya Paric limited. Na…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha