Boma Hai FM

Recent posts

29 July 2025, 2:11 pm

Watumishi Hai waishukuru serikali ongezeko la mishahara

Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai wameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaongezea mishahara kutokana na ahadi aliyoitoa siku ya Mei mosi 2025 mkoani Singida. Na Henry Keto,…

24 July 2025, 3:46 pm

Wajawazito wapatiwa msaada na polisi jamii

Wanawake wanne wajawazito wamepatiwa msaada wa matibabu pamoja na zawadi baada ya kujifungua kutokana na ahadi iliyotolewa na mkuu wa polisi jamii wilaya ya Hai ASP Elishafra S. K wakati wa sherehe za jeshi la polisi wilaya ya Hai Na…

24 July 2025, 3:35 pm

Tanzania, Kenya kushirikiana utunzaji vyanzo vya maji

“Lengo la msingi ndugu zetu wa Kenya na Tanzania  wameweza kuangalia ni wapi maji yanakotoka, wapi yanatakiwa yasafiri na watumiaji ni wapi. Safari hii itakuwa ya siku tatu na katika siku hizo watu watakuwa na nafasi ya kujifunza, kuangalia vyanzo…

22 July 2025, 8:40 pm

HRT SACCOS yazidi kung’ara, yarudisha kwa jamii

 “Mhe mkuu wa wilaya kila mwaka chama kinatekeleza msingi wa saba wa ushirika kwa kuendelea kuijali jamii,na mwaka huu Mh mkuu wa wilaya tumetembelea shule hii ya  msingi Ngare Mji na tunatoa madawati ambayo thamani yake ni shilingi milioni 4…

21 July 2025, 6:54 pm

Shule za msingi Hai kung’ara na miradi ya BOOST

Kupitia mradi wa BOOST shule mbalimbali za msingi  katika wilaya ya Hai zinategemea kunufaika katika ujenzi. Na Elizabeth Noel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa Kata za Masama Rundugai na Machame Mashariki wametakiwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya BOOST iliyotambulishwa  na…

20 July 2025, 9:34 am

HRT Saccos yawasha moto, wafanya bonanza la aina yake

Chama cha akiba na mikopo Hai Rural Teachers Saccos (HRT) kimefanya Bonanza la aina yake katika viwanja vya Taasisi ya Charllote katika kuelekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake. Na Elizabeth Noel Siha-Kilimanjaro Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa…

19 July 2025, 9:01 am

EAGMA yapandishwa kilele cha mlima Kilimanjaro

Katika kuendelea kumtukuza Mungu kupitia muziki wa injili mkurugenzi wa tuzo za East Africa Gospel Music Awards apandisha tuzo hiyo kilele cha mlima Kilimanjaro. Na Elizabeth Noel. Moshi -Kilimanjaro Tuzo ya Afrika Mashariki ya Muziki wa injili ( East Africa…

18 July 2025, 9:09 am

Jela maisha kwa kubaka na kulawiti mtoto (6)

“Mtoto huyo alikuwa akiishi na bibi yake na kusoma darasa la kwanza mara nyingi  akirudi nyumbani anakuwa peke yake kwa kuwa bibi yake anakuwa katika shughuli za kujitafutia riziki hivyo mshitakiwa kwa kuwa walikuwa majirani, alitumia nafasi hiyo kutenda unyama…

18 July 2025, 8:10 am

Wafugaji Hai wanufaika na chanjo ya mifugo

Lengo letu ni kuhakikisha wafugaji wanapata elimu sahihi na vifaa muhimu kama chanjo ili waweze kufuga kwa tija hii itasaidia kuongeza pato la taifa na la mtu mmoja mmoja”amesema  Lekei. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Zaidi ya kuku 300 wamechanjwa katika…

1 July 2025, 8:34 pm

Vikundi 31 vyapokea 220m mikopo ya 10% Hai

Mikopo ya Shilingi milioni 220 imetolewa kwenye vikundi 31 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, zaidi ya Bilioni moja milioni mia tisa sitini na nane zimetolewa wilayani hai kwa kipindi cha miaka minne. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Mkuu wa…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha