Boma Hai FM

Recent posts

20 June 2025, 10:42 pm

Saashisha azindua shule mpya, atoa wito kwa wanafunzi

Pichani ni mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Elinikyo Mafuwe akizindua shule ya msingi Muungano(picha na Salma Sefu) Mbunge wa jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe, ameweka jiwe la msingi katika shule mbili mpya ,Shule ya Msingi Muungano na Shule ya…

11 June 2025, 10:37 am

NGO’s zatakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano

Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamefanya mkutano wa pamoja katika kuweka mikakati yakufanya kazi kwa pamoja na kubainisha changamoto zao kwenye uongozi wa wilaya ya Hai Na Henry Keto. Hai-Kilimanjaro Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kukaa pamoja kuweka mikakati yakufanya…

10 June 2025, 9:48 pm

Mbunge Hai aomba matengenezo barabara ya Rundugai-Simanjiro

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ameuliza swali bungeni kuhusu lini serikali itachukua hatua ya ukarabati wa barabara ya Rundugai-Simanjiro inayounganisha wilaya ya Hai na Simanjiro Na Henry Keto.Hai-Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Hai, Mheshimiwa Saashisha Mafue, ameonyesha wasiwasi…

9 June 2025, 12:51 pm

Miradi ya maendeleo inatekelezwa na ilani ya chama-CPA Makala

Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Hai kimempokea mwenezi wa chama hicho CPA Amosi Makala katika ziara yake kwenye mikoa ya Kaskazini na kuzungumza na wananchi wa wilaya ya Hai. Na Oliver Joel, Hai-Kilimanjaro Katibu mkuu mwenezi wa CCM Taifa…

6 June 2025, 12:30 am

Hai waaswa kurudisha uoto wa asili

Maadhimisho ya kilele cha wiki ya Mazingira Duniani ambayo kwa mkoa wa kilimanjaro yamefanyika wilaya ya Hai Na Henry Keto,Hai-Kilimanjaro Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ametoa wito kwa Wananchi kupanda miti na kuitunza na kuhakikisha mazingira yanakuwa…

5 June 2025, 9:36 pm

Saashisha azindua zahanati ya milioni 121

Wananchi wa kata ya Bondeni kijiji cha Lerai waipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya…

4 June 2025, 4:23 pm

Hai waaswa kuleta uhai wa mazingira

Katika kuelekea maadhimisho ya kilele cha wiki ya Mazingira Duniani Wilaya ya Hai imepanda miti zaidi ya elfu moja katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hiyo. Na Henry Keto Afisa Tawala Wilaya ya Hai Marry Mnyawi amewaasa wananchi wa wilaya…

2 June 2025, 9:16 pm

Saashisha: Hili shamba ni letu na hilo halina mjadala

Hatimaye mgogoro wa shamba uliodumu kwa miaka 26 kati ya mwekezaji   Elizabeth  Stegmaier na chama cha  msingi cha ushirika Uduru Makoa  lenye ukubwa wa hekari 358 unatarajiwa kumalizika mara baada ya hatua za kisheria kukamilika. Na Elizabeth Mafie-Hai Kilimanjaro. Mbunge…

29 May 2025, 2:18 pm

Bweni la Machame sekondari kukamilika ndani ya siku 19

Pichani ni bweni la shule wa wasichana Machame sekondari likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi(picha na Faraja Ulomi) Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wananfunzi kote na nchini,hii inaadhihirika wazi kutokana na miradi mbalimbali ya ujenzi inayoendelea huko mashuleni…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha