Boma Hai FM
Boma Hai FM
18 May 2025, 10:38 am
Mkuu wa wilaya ya Moshi Mkoani kilimanjaro Godfrey Mzanva akihutubia wakati wa mahafali ya 40 ya chuo cha VETA Mkoani Kilimanjaro (Picha na Furaha Hamad) Mkuu wa wilaya ya Moshi Godfrey Mzanva ameshiriki mahafali ya 40 ya chuo cha VETA…
16 May 2025, 7:40 pm
Ikiwa imebaki miezi kadhaa kufanyika kwa uchaguzi mkuu Octoba 2025 ,zoezi la uhakiki wa taarifa pamoja na kuboresha taarifa za wapiga kura katika daftari la kudumu la mpiga kura limeanza rasmi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo wilaya ya Hai.…
16 May 2025, 12:50 pm
Crdb bank wilayani Hai mkoani Kilimanjaro yajenga darasa moja la wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Msingi Uswaa lenye thamani ya Shilingi Millioni 25 ,hafla ya makabidhiano yafanyika. Na Henry keto .Hai-Kilimanjaro Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Nurdin Babu…
12 May 2025, 11:55 am
Halmashauri ya wilaya ya Hai imetoa madawati mia moja kwa ajili ya shule ya msingi Kware yenye thamani ya shilingi milioni kumi. Na Henry Keto. Hai -Kilimanjaro Afisa mtendaji wa Kijiji cha Kware Edwin Lamtey ametoa wito kwa jamii, waalimu,…
27 April 2025, 8:51 pm
Katika kuendelea kuchochea maendeleo hapa nchini Bodi ya maji Uroki Bomang’ombe yajenga matundu nane ya choo katika shule ya msingi Kiselu. Na Gasper Mushi. Hai-Kilimajaro Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ameipongeza bodi ya maji Uroki Bomang’ombe kwa kutoa…
22 April 2025, 11:46 am
Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…
14 April 2025, 12:25 pm
Kutokana na mafanikio ya sekta ya maji kwa wilaya ya Hai, Mkuu wa wilaya hiyo pamoja na wadau wampongeza Rais Samia. Na James Gasindi Hai-Kilimanjaro. Wadau wa maji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, kwa kauli moja, wamepitisha azimio la…
9 April 2025, 9:55 am
Ikiwa ni wiki ya upandaji miti iliyoanza rasmi Aprili mosi mwaka huu,halmashauri ya wilaya ya Hai imeendelea kupanda miti sehemu mbali mbali kwa ajili ya kuendelea kutunza mazingira. Na oliver Joel Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka…
8 April 2025, 11:27 am
Mkuu wa shule ya Sekondari Keni Renatus Lyimo( picha na Salma Sephu) Katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita ya shule ya sekondari Keni iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wazazi na walezi wamekumbushwa kuwarejesha shule wanafunzi wote walioacha…
5 April 2025, 8:29 am
Katibu mpya CCM Hai apokelewa kwa matarajio makubwa ya mageuzi ya kisiasa Na James Gasindi. Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai, tarehe 4 Aprili 2025, imeshuhudia tukio muhimu la makabidhiano rasmi ya ofisi ya Katibu…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha