Boma Hai FM
Boma Hai FM
28 May 2025, 10:07 pm
Mafunzo ya udhibiti ubora wa mbegu za kilimo yanayotolewa na taasisi ya (TOSCI) kwenye mradi wa Youth Enterprenuership for the future of food and agriculture (YEFA) Na Henry keto, Hai-kilimanjaro Kaimu mkurugenzi wilaya ya Hai ambaye pia ni Afisa Kilimo…
28 May 2025, 9:21 pm
Wahenga walisema hasira hasara,na ndivyo ilivyotokea kwa Edwin Kileo baada ya kushindwa kuzizuia hasira zake na kuchoma nyumba aliyojenga huko ukweni. Na Elizabeth Mafie.Siha-Kilimanjaro Mahakama Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,imemuhukumu Edwin Kileo mkazi wa Kijijii cha Naibili (32)ambaye ni mwinjilisti wa…
27 May 2025, 8:47 pm
Askofu mstaafu wa kwanza wa TAG Dkt Immanuel Lazaro aliyefariki mei 17 2025 azikwa kijijini kwao Mudio wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro. Na Elizabeth Mafie. Hai-Kilimanjaro Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson amesema kuwa…
27 May 2025, 11:11 am
“Mazao ya kibiashara katika nchi yetu hususani zao la kahawa kwa mkoa wetu wa Kilimanjaro, tumedharau zao la kahawa, tunakata mikahawa na kujenga majumba lakini tukumbuke kwamba mikahawa hiyo ndio imewasomesha watoto wetu kufika chuo kikuu” Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro…
26 May 2025, 4:18 pm
Imezoeleka kuwa nyuki hutupatia asali pekee,lakini nyuki hawa wana maziwa yanayopatikana kwa bei ya juu sana,Shirika la Floresta Tanzania wameweza kutubainishia hayo. Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro Wafugaji wa nyuki mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zitokanazo na mazao ya…
25 May 2025, 8:49 am
“Ni kweli Mradi huu tunategemea utazinduliwa na mbio za mwenge wa uhuru mwaka huu, tunaishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kuleta mradi huu kwa kushirikiana na wananchi wa Donyomurwa “ Na Elizabeth Mafie- Siha Kilimanjaro Ujenzi wa daraja la upinde…
24 May 2025, 5:22 pm
” Kama mnavyofahamu wilaya hii ipo kwenye wilaya kumi za majaribio katika utoaji mikopo,niwajibu wetu kufanya vizuri ili na wengine wa wilaya zingine waweze kuiga “ Na Elizabeth Mafie -Siha Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Dkt Christopher Timbuka amevitaka…
22 May 2025, 11:32 pm
Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko amefanya mkutano na wafanyabiashara wa wilaya ya Hai baada ya wafanyabiashara hao kukiuka mikataba ya vibanda walivyokodishiwa na Halamsahauri kwa kuongeza kenop. Na Eliya Sabai Mkuu wa Wilaya ya Hai Mh. Hassan Bomboko…
21 May 2025, 12:50 pm
Katika kuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha bora na kupata huduma zote za kijamii, Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko amefanya mkutano wa hadhara na kusikiliza kero zinazowakabili wananchi. Na Eliya Sabai –Hai Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya Hai Mh Hassan…
20 May 2025, 10:10 am
Mapokezi ya mwenyekiti wa mtaa wa Kingereka aliyechaguliwa kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kuhama chama hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Na Henry keto, Hai-Kilimanjaro Mwenyekiti wa mtaa wa Kingereka A Dastan kimaro…
DIRA
Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja
DHAMIRA
Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha