Boma Hai FM

Recent posts

6 March 2026, 1:20 pm

Tutasikiliza kero za wananchi tarafa kwa tarafa-Dc Bomboko

Ikiwa zimepita siku kumi na mbili pekee tangu ziara ya waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba, mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Bomboko ameendelea kusikiliza kero za wananchi wa wilaya ya Hai na kuzitatua. Na…

5 March 2026, 9:10 am

Walimu wapongezwa

Mkuu wa wilaya ya Hai Hassan Omar Bomboko, amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa mpango kazi madhubuti wa kitaaluma ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, akitaja nidhamu, ubunifu na matumizi ya TEHAMA kuwa nguzo muhimu za…

5 March 2026, 7:44 am

Migogoro katika familia yatajwa chanzo ukatili wa kijinsia

Kutokana na migogoro mbalimbali katika baadhi ya familia hapa nchini ,migogoro hiyo imetajwa kuwa sababu kuu ya ukatili wa kijinsia. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Migogoro baina ya wanandoa imetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazochochea vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia…

4 March 2026, 1:39 pm

Hai wakaribishwa kushiriki Siku ya Wanawake

Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yanayotarajiwa kufanyika machi 9 2026 katika viwanja vya shule ya sekondari Mailisita. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro Mratibu wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani wilaya…

3 March 2026, 3:39 pm

Wanawake kutumia siku ya wanawake duniani kukuza uchumi

Pichani ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya siku ya wanawake duniani wilaya ya Hai Andogwitse Ndelwa(picha na Salma Mgosso) Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka machi 8 kote duniani,wilaya ya Hai imejipanga…

1 March 2026, 12:18 pm

Usajili walowezi chanzo cha upatikanaji wa haki za kijamii

Afisa uhamiaji wilaya ya Hai ametoa wito kwa walowezi wanaoishi katika wilaya ya Hai na maeneo mengine kujitokeza kusajiliwa kwa hiari ili kusaidia kupatikana kwa haki za kijamii Na James Gasindi, Hai-Kiliamnjaro Walowezi wanaoishi katika Wilaya ya Hai mkoa wa…

12 February 2026, 5:19 pm

Wazazi kushirikiana na waalimu kukuza taaluma shule ya sekondari Lemira

Katika kuwapa motisha wanafunzi wa shule ya sekondari Lemira iliyopo wilayani Hai ,Mkoani Kilimanjaro wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kidato cha nne mwaka 2025 wapewa zawadi. Na Oliva Joel Hai- Kilimanjaro Wazazi na walezi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…

12 February 2026, 4:06 pm

Jamii yatakiwa kuwathamini wenye mahitaji maalum

Kutokana na baadhi ya jamii kutowajali, kuwathamini watu wenye mahitaji maalumu taasisi ya New Life Foundation kwa kushirikiana na Tim Tebow Foundation imekusudia kurejesha tabasamu kwa kuwakutanisha kupitia sherehe maalumu. Na Elizabeth Mafie Jamii imetakiwa kuendelea kuwapa kipaumbele watu wenye…

5 February 2026, 3:22 pm

Diwani Romu aongoza upandaji miti shule ya msingi Tolu

Viongozi katika ngazi mbalimbali wameendelea kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa mazingira kwa kushiriana na wananchi kwa kupanda miti sehemu mbalimbali. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa  kata ya Romu wilaya ya Hai  mkoa wa Kilimanjaro wamehimizwa kupanda miti katika maeneo…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha