Boma Hai FM

Recent posts

26 November 2025, 9:12 am

Saashisha akutana na waendesha pikipiki na bajaji Hai

Pichani ni Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe(kulia)na kiongozi wa madereva bajaji wilaya ya Hai Baraka Ngoti(picha na Praygod Munisi) Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe amekutana na madereva pikipiki na bajaji wa wilaya ya Hai kwa lengo…

25 November 2025, 11:59 am

DC Bomboko akagua miradi Hai, asisitiza amani

Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko akiwa kwenye ziara ya kukagua miradi ya maji na barabara wilayani Hai, amewataka wananchi kuilinda amani ili miradi hiyo ikamilike na kuleta maendeleo. Na Elizabeth Mafie Hai-Kilimanjaro. Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa…

23 November 2025, 9:32 am

Hai Teachers Saccos yafanya mkutano mkuu, Hisa zapanda

Pichani ni Mwenyekiti wa Hai Teachers Saccos Baraka Owenya katika mkutano mkuu wa mwaka 2025 uliofanyika katika viwanja vya Saccos hiyo vilivyopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro( picha na Elizabeth Mafie) Hai Teachers Saccos yafanya mkutano mkuu wa mwaka 2025 ,yaweka…

13 November 2025, 9:16 am

Floresta Tanzania yahitimisha safari ya miaka 20 Moshi

Pichani ni mkuu wa wilaya ya Moshi Godfrey Mnzava(aliyevalia nguo ya dark blue )akiwa na viongozi mbalimbali wa shirika la Floresta Tanzania katika hotel ya African Flowers Himo mkoani Kilimanjaro(picha na Elizabeth Mafie) Shirika lisilo la Kiserikali Floresta Tanzania limehitimisha…

28 September 2025, 9:01 am

Hai Teacher’s Saccos yakusanya maoni kuelekea mkutano mkuu 2025

Katika kutekeleza msingi wa tano wa vyama vya ushirika wa Elimu ,mafunzo na taarifa Hai Teacher’s Saccos wafanya mkutano na kukusanya dondoo zitakazotumika katika mkutano mkuu wa mwaka 2025. Na Elizabeth Noel Hai -Kilimanjaro Chama cha Akiba na Mikopo cha…

11 September 2025, 6:05 pm

Hai waombwa kujitokeza kumpokea Dkt. Nchimbi

Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuhutubia wananchi wa Hai, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Wilaya ya Hai Muhamed Msalu ameomba wananchi kujitokeza kwa wingi. Na Elizabeth Noel & Henry keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameombwa kujitokeza kwa…

20 August 2025, 10:52 am

Ardhi tuliyopewa na Mungu isiwe chanzo cha kutuumiza-Magonera

Na Henry Keto, Hai Kilimanjaro Wawekezaji wilaya ya Hai wametakiwa kulinda rasimali zilizopo katika maeneo wanayowekeza pamoja na kutunza mazingira kwa Kupanda miti yakutosha ili kuendelea kulinda uoto wa asili na hali ya hewa .‎‎Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wilaya…

6 August 2025, 7:01 pm

Nanenane nguzo kwa wakulima na wafugaji

Na Salma Rahim-Arusha Wakulima na wafugaji kanda ya kaskazini kwenye mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wameaswa kutumia Kilimo cha kisasa chenye tija kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazo na Mifugo. Hayo…

1 August 2025, 6:25 pm

Wananchi Kware wapewa onyo matumizi dawa za kulevya

Wananchi wa Kijiji cha Kware kilichopo kata ya Masama Kusini wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wameaswa kuachana na matendo kinyume na maadili na uvunjifu wa amani unaosababisha watu kukosa usalama wao na mali zao,pamoja na kuacha matumizi ya madawa ya…

Dira na Dhamira

DIRA

Tunalenga kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha kuwa na jamii yenye uzalendo na umoja

DHAMIRA

Kuwa na jamii endelevu iliyoelimika na yenye maendeleo kwa kupata habari sahihi na vipindi bora vyenye kueleimisha