Recent posts
13 April 2026, 17:11
TFS Kilosa yasisitiza sheria za uvunaji mazao misitu
Uvunaji wa mazao ya misitu una umuhimu mkubwa kiuchumi, kimazingira na kijamii, hususan unapofanyika kwa kufuata taratibu za Tanzania Forest Services Agency (TFS), ni nyenzo muhimu ya maendeleo, lakini usipodhibitiwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na jamii. Na Asha…
19 March 2026, 15:33
Kilosa wahimiza lishe kwa watoto
Watoto walio chini ya miaka mitano wanahitaji chakula chenye lishe bora ili kusaidia ukuaji wa mwili na maendeleo ya akili ambayo husaidia kuzuia udumavu, magonjwa yanayotokana na upungufu wa virutubisho. Na Asha Madohola Wananchi wilayani Kilosa wametakiwa kuhakikisha watoto walio…
19 March 2026, 14:19
IDRAS yarahisisha ulipaji kodi Kilosa
Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) ni mfumo wa kidijitali unaotumiwa na TRA kurahisisha huduma za kodi kwa walipakodi unaorahisisha wafanyabiashara kufanya malipo ya kodi. Na Aloycia Mhina Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Kilosa imewataka…
12 March 2026, 14:08
Kambi ya afya bure yawafikia wananchi Kilosa
Vodacom Tanzania Foundation imewadhamini madaktari bingwa kutoa huduma za matibabu kupitia kambi ya afya bure kwa wananchi ambapo inalenga kupima na kutibu magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, matatizo ya macho, meno na tezi dume. Na Asha Madohola Madaktari bingwa kutoka Hospitali…
12 March 2026, 11:03
Watoto wenye mahitaji maalum wakumbukwa Kilosa
Kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalum ni muhimu kwa sababu huwapa fursa sawa ya kupata elimu, huduma za afya na malezi bora kama watoto wengine na huchangia kupunguza unyanyapaa na kuhakikisha wanapata mazingira salama na bora ya kukua na kufikia ndoto…
8 March 2026, 11:00
DC Kilosa azindua chanjo ya mifugo
Chanjo ya mifugo ni dawa maalum inayochomwa wanyama kama ng’ombe, mbuzi, kondoo na kuku ili kuwakinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na husaidia kupunguza vifo vya mifugo, kuongeza uzalishaji wa maziwa na nyama, pamoja na kuhakikisha mifugo inakuwa na afya bora.…
5 March 2026, 10:24
Kilosa yahamasishwa kupima kisukari mapema
Kisukari ni ugonjwa unaotokea pale mwili unaposhindwa kuzalisha au kutumia vizuri homoni ya insulini, hali inayosababisha kuongezeka kwa kiwango cha sukari kwenye damu na kupima mapema huokoa maisha na husaidia kuepuka madhara makubwa kama matatizo ya figo na magonjwa ya…
3 March 2026, 13:21
DC Kilosa azindua Bima ya Afya kwa Wote
Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote ni mpango wa Serikali ya Tanzania unaolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma za afya bila kuathiriwa na gharama kubwa za matibabu na mpango huu unasimamiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…
14 January 2026, 15:18
Vifo vya mama na mtoto vyapungua Kilosa
Uboreshaji wa huduma katika vituo vya afya pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kujifungua salama umeelezwa kuwa miongoni mwa mafanikio ya jitihada za serikali katika kuboresha afya ya mama na mtoto wilayani Kilosa. Na Asha Madohola…
14 January 2026, 12:55
Vikundi 38 vyanufaika na mikopo Kilosa
Mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ni mpango wa serikali unaolenga kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kutumia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana na…