Recent posts
11 October 2024, 2:16 pm
Kilosa yajipanga kuadhimisha siku ya lishe Kitaifa
Suala la udumavu na utapiamulo nchini bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kukabiliana na kadhia hiyo serikali imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa wazazi na walezi ambao ndio wanajukumu la kuhakikisha wanawahudumia watoto…
20 September 2024, 9:29 pm
Siku ya usafi duniani Kilosa yafanya usafi sokoni
Siku ya usafishaji Duniani huadhimishwa kila ifikapo 20 Septemba ya kila mwaka huku maadhimisho ya mwaka huu yamebebwa na kaulimbiu isemayo, “Uhai hauna mbadala, tuzingatie usafi wa mazingira”. Na Asha Madohola Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kusafisha mazingira yao mara…
13 September 2024, 11:23 pm
Waganga wafawidhi Kilosa watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato
Serikali imedhamiria kupambana na changamoto zinazoikabili sekta ya afya kwa kuwatumia waganga Wafawidhi kuimarisha maadili kwa watumishi vituoni na usimamizi wa mapato ili wateja ambao ni wananchi waweze kufurahia huduma bora. Na Asha Madohola Waganga Wafawidhi Wilayani Kilosa wametakiwa kutekeleza…
10 September 2024, 1:00 am
Kilosa bila mimba za utotoni inawezekana, tuwalinde
Na Aloycia Mhina Mimba za utotoni ni suala linalohitaji umakini mkubwa kutokana na athari zake kwa afya ya mama na mtoto, ambapo Mariamu Kamala mtoa huduma ngazi za jamii na mabinti katika kituo cha afya Kimamba amesema athari zake ni…
10 September 2024, 12:34 am
Wakunga wa jadi waacheni akinamama wajawazito
Wanawake wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujifungulia katika vituo vya afya na hospitalini na kuachana na mila na desturi ya kujifungulia nyumbani kwa wakunga wa jadi .Hayo yameelezwa na Maria Chalalika wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mila…
10 September 2024, 12:00 am
Wanawake Kilosa waaswa kugombea nafasi za uongozi
Na Farida Hassan Uoga na kutojiamini zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea wanawake wengi nchini kushindwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi serikalini. Hayo yameelezwa na Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Wilaya ya Kilosa Bi Joha…
9 September 2024, 11:46 pm
Wanawake Kilosa kipigo sasa basi, toeni taarifa
Na Farida Hassan Vitisho na vipigo ni miongoni mwa sababu kubwa zinazopelekea wanawake wengi nchini kushindwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa na watu mbalimbali katika jamii hususani wenza wao. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Viti Maalum Tarafa…
9 September 2024, 8:41 pm
Wadau watoa maoni habari za uongo zinavyoleta taharuki kwenye jamii
Mitandao ya kijamii imekuwa chanzo cha ongezeko la upashaji wa habari zisizo na ukweli kwa sababu watu wamekuwa wakitafuta umaarufu ama ufuatiliwaji na watu wengi katika kurasa za mitandao ya kijamii kwa kuwachafua wengine jambo ambalo mamlaka inapaswa kuweka misingi…
9 September 2024, 7:20 pm
Waandishi wa habari wanawake waiangukia serikali
Waandishi wa habari wanawake wameziomba mamlaka husika kutambua mchango wao katika tasnia ya habari nchini yenye dhumuni la kuihabarisha jamii katika masuala mbalimbali kama vile ya kijamii, kiuchumi na kisiasa ili kuchagiza chachu ya maendeleo kupitia uhabarishaji. Na Asha Madohola…
4 September 2024, 12:54 pm
TFRA yazindua kampeni ya kilimo ni mbolea Kilosa
Ili kuikuza sekta ya kilimo pamoja na kuhakikisha wakulima wanapata tija katika kilimo kwa kujikwamua kiuchumi, serikali imekuja na mpango wa kuwasajili wakulima katika mfumo wa kidijitali utakaowawezesha kupata ruzuku ya mbolea. Na Asha Madohola Wito umetolewa kwa wakulima wa…