Recent posts
26 July 2026, 15:33
TAFIDA Kilosa yasaka vipaji vya waigizaji
Sanaa ni chanzo halali cha ajira na maendeleo kwa vijana na jamii kwa ujumla na kupitia uigizaji, muziki, uchoraji, uchekeshaji na fani nyingine za sanaa, vipaji vinaweza kugeuzwa kuwa kazi zinazozalisha kipato na kujenga maisha bora. Na Asha Madohola Vijana…
22 July 2026, 11:48
Vijana Kilosa wahimizwa kupinga rushwa
Kupambana na rushwa kunahitaji ushirikiano wa wananchi wote kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na kutoa taarifa kwa mamlaka husika pindi vitendo vya rushwa vinapobainika. Na Asha Madohola Jamii, hususan vijana wa Wilaya ya Kilosa, wamehimizwa kujiepusha na vitendo vya rushwa na…
21 July 2026, 16:11
Ukatili hauna nafasi kwa vijana Kilosa
Ukatili ni kitendo chochote kinachosababisha maumivu, madhara au mateso kwa mtu mwingine, iwe ni kimwili, kingono, kisaikolojia, kihisia au kiuchumi na unaweza kutokea nyumbani, shuleni, kazini au katika jamii hivyo ni muhimu kutoa taarifa mapema Na Asha Madohola Vijana nchini…
8 July 2026, 12:55
Kilosa: KICU chafanya maboresho ya ofisi zake
Pichani Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Kilosa co-operativu union (KICU). Picha na Epiphanus Danford Chama hicho kinakwenda kuongeza tija kwa Wakulima wake katika kuhakikisha wanapata huduma bora lakini pia kuhifadhi mazao yao katika maghala yaliyoboreshwa. Na Epiphanus Danford Chama…
25 June 2026, 14:53
Kilosa kudhibiti uvunaji holela
Uvunaji wa mazao ya misitu unalenga kuhakikisha rasilimali za misitu zinatumika kwa manufaa ya wananchi na taifa bila kuharibu mazingira na ukichangia kuongeza mapato ya serikali na kuboresha maendeleo ya kijamii. Na Asha Madohola Watendaji wa vijiji na wenyeviti wa…
17 June 2026, 08:52
Wamiliki day care Kilosa watakiwa kujisajili
Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…
5 June 2026, 17:42
Kilosa yaunga mkono Dira ya Tanzania ya kijani 2050
Wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa ya kijani na salama kwa mazingira kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu inayohamasisha uwajibikaji katika uhifadhi wa mazingira. Na Asha Madohola Wilaya ya Kilosa imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha…
4 June 2026, 16:30
COPRA yasisitiza uwazi wa biashara ya mazao
Mfumo wa stakabadhi hhalani unalenga kuondoa unyonyaji wa wakulima, kuongeza uwazi katika biashara ya mazao, kuhakikisha matumizi ya vipimo sahihi, na kuwawezesha wakulima kupata malipo yanayolingana na thamani halisi ya mazao yao. Na Beatrice Majaliwa Wakulima na viongozi wa Vyama…
4 June 2026, 15:34
Kilosa kuadhimisha siku ya mazingira
Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…
20 May 2026, 15:02
Malezi bora kwa watoto wa Day Care
Watoto wa Day Care wanahitaji malezi bora, mazingira salama na elimu ya awali ili kuwajengea msingi mzuri wa maisha yao ya baadaye. Na Aloycia Mhina Wamiliki na walezi wa vituo vya kulelea watoto wadogo (Day Care) katika Kata ya Dumila…