Radio Jamii Kilosa

Recent posts

6 July 2023, 7:04 am

Watumishi wapya watakiwa kuitumikia jamii kwa kuzingatia uadilifu

Watumishi wapya kutoka Idara za Afya ,Elimu msingi na sekondari wametakiwa kujua kuwa wana jukumu la kutumikia jamii pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutimiza majukumu yao ipasavyo ili kuleta maendeleo chanya kwa jamii ya Kilosa. Na Gladys…

21 June 2023, 4:10 pm

Wakulima washauriwa kutumia mbolea ya mboji kuzalisha mazao yenye ubora

Katika kuhakikisha thamani ya mazao yanayolimwa wilayani Kilosa inaongezeka sokoni ni wajibu kwa wakulima kutumia mbolea za mboji na kuzalisha mazao yasiyo na kemikali za mbolea ya viwandani ambayo mazao hayo yanauzwa kwa gharama kubwa katika masoko ya nje. “Acheni…

30 May 2023, 11:05 pm

UWT Kilosa yatoa msaada mashuka ya wagonjwa kituo cha afya Kidodi

Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…

30 May 2023, 2:57 pm

Nguvu kazi za wananchi kuchochea miradi ya maendeleo kukamilika kwa wakati

Miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita inadhamiria kuondoa adha za wananchi wanazokabiliana nazo ikiwemo katika sekta ya elimu, afya na masuala ya kijamii ambayo ili kukamilika inahitaji jitihada za wananchi kuunga mkono jitihada hizo hususan kujitolea nguvu…

30 May 2023, 10:14 am

Mradi wa BOOST Kilosa kujenga shule mpya Mtumbatu

Serikali imedhamiria kuondoa adha za sekta ya elimu nchini kwa kuwaletea mradi wa Boost ambao umeanzishwa kwa makusudio ya uboreshaji wa miundombinu kwa madarasa ya awali na msingi, kuimarisha mapito ya wanafunzi wa awali na msingi kwa kuweka mpango wa…

19 May 2023, 3:19 pm

Wazazi na walezi shirikianeni na walimu kuwapatia malezi bora watoto

Kushamiri kwa vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti wa watoto wa kiume na wa kike vinavyofanywa na wananchi wasiokuwa na maadili mema serikali imedhamiria kuwekeza nguvu zaidi katika kukomesha vitendo hivyo vinavyotokea hususan kuanzia ngazi ya familia, shuleni na mitaani.…

29 April 2023, 5:52 pm

Wanafunzi Kilosa waaswa kuacha kutumia mitandao ya kijamii

Kutokana na matukio ya kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja wananchi wametakiwa kuwa makini na wageni ambao wanaowakaribisha majumbani mwao na kuwalaza katika vyumba vya watoto jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watoto kwa kufanyiwa vitendo visivyofaa. “Wanafunzi hakikisheni…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu