Radio Jamii Kilosa

Recent posts

28 August 2025, 16:04

OCS Kilosa ataka kudumisha amani kati ya wakulima na wafugaji

Migogoro kati ya wakulima na wafugaji huondoa amani kwa kusababisha vurugu, uharibifu wa mali, chuki baina ya jamii, na hata vifo ambapo migogoro hii huathiri maisha, uchumi wa familia, na maendeleo ya kijamii kwa ujumla, hivyo kudumisha maelewano ni muhimu…

27 August 2025, 20:24

Vikundi 38 Kilosa vyanufaika na mkopo wa asilimia 10

Mikopo ya asilimia 10 ni fedha zinazotolewa na Halmashauri zote nchini kwa wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu ambapo kila Halmashauri hutenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani—asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana, na 2 kwa watu wenye…

21 August 2025, 17:22

Mgombea CUF: Nitapigania haki za wenye ulemavu

Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi wa wagombea ubunge na udiwani yameanza tarehe 14 Agosti, 2025 hadi tarehe 27 Agosti, 2025 ambapo wagombea wa vyama vya siasa waliopitishwa na vyama…

21 August 2025, 13:37

Mkuu wa wilaya Kilosa ataka ushirikiano wa jamii katika lishe mashuleni

Chakula shuleni ni muhimu kwa maendeleo ya afya na elimu ya mwanafunzi. Huchangia kuongeza nguvu na uwezo wa kujifunza, hupunguza utoro, na huimarisha mahudhurio ya wanafunzi darasani na lishe bora pia huongeza uwezo wa kufikiri, umakini na utendaji wa mwanafunzi.…

19 August 2025, 23:38

TASAF yaleta mafanikio Kilosa, wanufaika waomba kuendelezwa

Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF) ni mradi wa Serikali ya Tanzania unaolenga kusaidia kaya zenye hali duni za kiuchumi kwa kuwapatia ruzuku ya fedha, fursa za ajira za muda na kuwajengea uwezo wa kujitegemea na mradi huu umejikita katika…

31 July 2025, 20:21

HESLB yatoa elimu ya mikopo kwa wanafunzi wa sekondari Kilosa

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ina jukumu la kuhakikisha vijana wengi zaidi wa Kitanzania wanapata fursa ya kujiendeleza kielimu kwa kutoa mikopo yenye masharti nafuu. Vigezo vya kupata mkopo ni pamoja na ufaulu wa masomo,…

26 July 2025, 11:15

Vikundi vya mikopo Kilosa vyahimizwa kutumia fedha kwa malengo

Mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri kwa vijana wanawake na watu wenye ulemavu inafanya kazi kama mfuko unaozunguka ambapo mikopo hiyo inakusudiwa kuimarisha shughuli zinazowaingizia kipato wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wasio na ajira rasmi…

4 July 2025, 22:52

DC Kilosa ahamasisha uwekezaji wa sekta binafsi

Wananchi na wawekezaji wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo wilayani Kilosa, ikiwemo kilimo, utalii na viwanda, ili kuchochea uchumi na maendeleo ya Taifa. Na Beatrice Majaliwa Wananchi ndani na nje ya Wilaya ya Kilosa wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zilizopo…

3 July 2025, 15:51

Viongozi Kilosa wakumbushwa wajibu wao

Uvunaji wa misitu ni mchakato wa kuvuna mazao ya misitu kama magogo, kuni, na mkaa kwa kufuata taratibu rasmi na mipango ya matumizi bora ya ardhi. Uvunaji huo unapaswa kuwa endelevu ili kuepuka uharibifu wa mazingira. Na Beatrice Majaliwa Mkuu…

3 July 2025, 15:21

Vijana Kilosa waomba elimu ya afya ya akili itolewe kwa jamii

Afya ya akili ni hali ya ustawi wa kiakili, kihisia na kijamii inayomuwezesha mtu kukabiliana na changamoto za maisha, kufanya kazi kwa ufanisi, na kuchangia katika jamii matatizo ya kiafya. Afya ya akili inahitaji uangalizi sawa na afya ya mwili,…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu