Radio Jamii Kilosa

Recent posts

6 April 2023, 11:08 am

Milioni 400 zajenga shule yenye madarasa 11 Kilosa

Ujenzi wa shule ya msingi Tambukareli iliyopo jimbo la Mikumi wilayani Kilosa umetatua changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kufika shule kitendo kilichokuwa hatarishi kwa usalama wao pindi wawapo njia ambapo iliwalazimu kuvuka barabara kuu ili kuifuata shule ilipo. “Tunaishukuru…

28 March 2023, 3:23 pm

Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara Kilosa

Wafanyabiashara wilayani Kilosa kuanza kunufaika na matumizi ya mfumo wa Tausi ambao utawarahisishia upatikanaji wa leseni kwa haraka. “Mfumo huo unaweza kutumika kupitia simu janja kwa mfanyabiashara na ili kufanikisha kutumia mfumo huo mfanyabiashara atatakiwa kuwa na namba ya NIDA…

12 March 2023, 9:30 am

Serikali kuwaunga mkono wananachi watakaonzisha miradi ya maendeleo Kilosa

Katika kutambua fursa za miradi ya maendeleo wilayani Kilosa serikali imeahaidi kuunga mkono jitihada zitazofanywa na wananchi. “Serikali imejipanga kuhakikisha inaendeleza miradi ya maendeleo pamoja na kuwalinda wananchi na mali zao”. Na Asha Mado Wananchi wametakiwa kutambua jitihada mbalimbali ambazo…

11 March 2023, 6:05 pm

Watendaji kata wakabidhiwa pikipiki Kilosa

Katika kurahisisha utendaji kazi wa kuyafikia maeneo yote yaliyopo katika kata serikali imewapatia maafisa watendaji kata pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikisha maeneo ambayo walikua hawayafikii kiurahisi kutokana na umbali uliopo. Awali viongozi wa kata walikua wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwa…

1 March 2023, 9:20 am

Kuelekea Siku ya Wanawake duniani wanawake wametakiwa kuchangamkia mikopo nafuu…

Machi nane mwaka huu wanawake wameshauriwa kujitokeza kwa wingi ili kujiunga katika vikundi ambavyo itawawezesha kupata mikopo kwa urahisi kupitia asilimia 4 ya mikopo inayotolewa kwa wanawakekutoka serikalini ambayo itawawezesha kubuni ama kuendeleza miradi ambayo wanayo na kuwasaidia kuwakwamua kichumi…

21 February 2023, 2:21 pm

Abaka na kulawiti wadogo zake wawili Kilosa

Vitendo vya kikatili vinavyoendelea dhidi ya Watoto wadogo bado ni tatizo kubwa katika jamii zetu tunazoishi,hali inayopelekea watoto kukatisha ndoto zao kutokana na ukatili wanaofanyiwa. Na Beatrice Majaliwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilosa linamshikilia George Idd (19) mkazi wa…

17 February 2023, 8:46 pm

Wakulima walalamika Kilosa

Wakulima wilaya ya Kilosa  wamelalamika kuchelewa kwa kupatiwa mbolea za ruzuku ile hali msimu wa kilimo umeshaanza na imefikia kipindi cha uwekaji wa mbolea katika mimea. Na Asha Madohola Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mlimani Boma ililyopo kata…

14 February 2023, 12:48 pm

Suluhisho la utoro na kufeli kwa mitihani shule za msingi lapatikana Kilosa

Shule ya Msingi Mazinyungu inatarajia kunufaika na mradi wa kilimo waliouanzisha ambao utawasaidia wanafunzi kupata chakula cha mchana shuleni hapo na kuwapunguzia gharama za uchangiaji wa fedha za chakula suala ambalo litawawezesha wanafunzi kutumia muda mwingi wakiwa shule kwa ajili…

13 February 2023, 3:57 pm

Siku ya Redio yaadhimishwa Kilosa

Siku ya Redio duniani huadhimishwakila ifikapo Tarehe 13, Februari kila mwaka, ambapo siku hii ilianzishwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO), mnamo mwaka 2012 mara baada ya baraza kuu la Unesco kutambua umuhimu wake.…

4 February 2023, 10:42 pm

Hatimaye migogoro ya mashamba yatatuliwa Kilosa

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuwa, ihakikishe inapima eneo la Shamba ambalo Serikali ilikabidhi Halmashauri hiyo na kuwapatia Wananchi kwa kuwapatia hati ndogo inayoonyesha umiliki halali wa eneo hilo. Na Epiphanus Danford Waziri huyo…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu