Radio Jamii Kilosa

Recent posts

22 June 2021, 7:38 pm

Kambi za kujitambua kujithamini na kujiamini ziwe endelevu.

Rai imetolewa kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na shule za sekondari kujenga msingi endelevu wa kuwa na kambi za watoto wa kike kipindi cha likizo lengo ikiwa ni kuwaweka pamoja ili waweze kujifunza masomo mbalimbali ikiwemo lugha…

21 April 2021, 10:15 am

Kata ya malolo yapongezwa kwa ujenzi wa kituo Cha Afya .

Wananchi wa kata ya Malolo pamoja na uongozi wake wamepongezwa kwa namna ambavyo wameonyesha umoja na ushirikiano katika kujiletea maendeleo katika kata yao kwa ushirikiano mkubwa waliouonyesha katika kufanikisha ujenzi wa kituo cha afya Malol. Pongezi hizo zimetolewa Aprili 20…

20 April 2021, 10:40 am

Meneja TRA Kilosa atoa siri ukusanyaji kodi .

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 3.6 kutoka kwa wafanyabiashara waliolipa kodi kwa wakati kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambako kumechangia kuongeza mapato katika Wilaya na kuiwezesha serikali kutimiza malengo ya…

16 April 2021, 11:19 am

Kikundi cha Kiwasai chafaidika na vifaranga vya samaki 1000.

Katika kuhakikisha jamii inaepukana na changamoto ya udumavu, Shirika la Save the Children kupitia mradi wa Lishe endelevu unafadhiliwa(USAID)  April 15 umetoa vifaranga vya samaki aina ya Sato elfu moja katika kikundi cha KIWASAI kilichopo Ilonga Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro.…

7 April 2021, 10:45 am

Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan -Moropc.

Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) kinampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuitaka Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo kuvifungulia vyombo vyote vya Habari vilivyofungiwa na Serikali kwa Makosa mbalimbali.…

27 March 2021, 4:34 am

“Magufuli ameacha haya wewe na mimi tutaacha nini?”-Padri Nyanga.

Waamini wa Kanisa Romani Katoliki Parokia ya Familia takatifu Kilosa Mkoani Morogoro wamefanya ibada ya misa takatifu kwa ajili ya kumuombea hayati Dakta John Pombe Magufuli katika safari yake ya mwisho ambapo machi 26 2021 mazishi yamefanyika Nyumbani kwao Chato…

20 March 2021, 4:05 pm

Waadvendista wasabato wafanya matendo ya huruma -Kilosa.

Waumini wa Kanisa la Waadvendista wasabato Kilosa lililoko Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wameadhimisha wiki ya huduma kwa jamii kwa kufanya matendo ya huruma kama vile kuchangia damu , kutoa mahitaji kwa watu wenye mahitaji maalumu , ikiwa ni pamoja na…

17 March 2021, 11:57 am

Zaidi ya wanafunzi 2700 kupewa elimu ya Kinywa Kilosa -Dk Kibula.

Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kupitia idara ya afya wanatarajia kutoa elimu ya afya ya Kinywa na meno pamoja na vifaa vya kushafishia Kinywa kwa wanafuzi 2721 kwa ajili ya kujikinga na magonjwa mbalimbali ya Kimywa na meno.…

16 March 2021, 11:44 am

Bilion 1.27 kumaliza tatizo la maji kilosa-Injinia Chum.

Zaidi ya bilion 1.27 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji  safi na salama Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro ili wananchi waweze kupata huduma ya maji  saa 24  kwa mwaka . Hayo yamesemwa machi 16 2021 na Meneja  wakala wa maji na…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu