Recent posts
2 February 2021, 1:12 pm
Mbunge wa Jimbo la Mikumi aongeza nguvu ujenzi wa Madarasa.
Mbunge wa jimbo la Mikumi Mh. Dennis Londo amekabidhi mifuko 200 ya saruji katika shule ze sekondari Iwemba, Lyahira, Kidodi na Ruhembe ambapo kila shule imekabidhiwa mifuko 50 ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono agizo la Waziri Mkuu la kuhakikisha…
2 February 2021, 11:20 am
Shule ya Sekondari Mazinyungu yajipanga Kuizika Sifuri 2021.
Wanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondari Mazinyungu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wemejipanga kuzika Daraja sifuri ili isionekane shuleni hapo katika matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2021. Wakizungumza Januari 29 mwaka huu katika kikao mkakati cha kuzika sifuri…
1 February 2021, 10:28 am
Prof Kabudi aongeza nguvu ujenzi shule za sekondari Dakawa mazoezi,Magole na Dum…
Mbunge wa Jimbo la Kilosa Paramagamba Kabudi Januari 31 amekabidhi mifuko 450 ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni 7.2 ikiwa ni fedha zake binafsi katika shule za sekondari Mazoezi Dakawa, Magole na Dumila ambapo kila shule imepata mifuko 150…
1 February 2021, 2:40 am
Prof Kabudi azipa nguvu akabidhi shule ya Dakawa Mazoezi,sekondari ya Magole na…
30 January 2021, 6:55 pm
Prof. Kabudi akabidhi mifuko 200 ya saruji shule ya Sekondari Mabula Kilosa ili…
Mbunge wa Jimbo la Kilosa Prof Palamagamba Idan Kabudi amekabidhi saruji mifuko 200 sawa na Tani kumi yenye thamani ya kiasi Cha shilingi Milioni 3.2 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba Viwili nya Madarasa katika shule ya Sekondari Mabula Wilayani…
26 January 2021, 11:37 am
Tanesco kumaliza tatizo la kukatika umeme Kilosa- Meneja Tanesco
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco wilayani Kilosa limejipanga kikamilifu kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara katika baadhi ya maeneo kunakosababishwa na nguzo chakavu zilizooza ama kuanguka. Akizungumza Januari 26 2021 katika kipindi cha Mambo Mseto kinachorushwa na…
21 January 2021, 1:44 pm
Jamii imetakiwa kula Mlo kamili kuimarisha Kinga ya Mwili-Kilosa
Wito umetolewa kwa jamii kula Mlo kamili kwa kuzingatia makundi matano ya Chakula ili kuimarisha Kinga ya Mwili Isishambuliwe na magonjwa. Wito huo umetolewa januari 21, 2021 na Mratibu wa Shughili za Wahudumu kutoka Mradi wa Lishe endelevu Wilayani Kilosa…
16 January 2021, 7:38 pm
Wakuu wa shule watakiwa kumaliza Ujenzi wa Madarasa Kilosa -Mgoyi.
Katika kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuwa ifikapo tarehe 15 Januari miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa iwe imekamilika Mkuu Wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametembelea miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule…
16 January 2021, 4:49 pm
Mkandarasi lukolo constrctor atakiwa kumaliza Mradi kwa wakati Kilosa -Kusaya.
Katibu Mkuu Kilimo Gerald Kusaya ametoa muda hadi ifikapo mwisho wa mwezi huu mkandarasi Lukolo Construction Ltd awe amekamilisha ujenzi wa mradi wa skimu ya umwagiliaji ya Kilangali ili itumike na Wakala wa Mbegu wa Taifa ( ASA) kuzalisha mbegu…