Radio Jamii Kilosa

Recent posts

14 January 2021, 2:31 pm

Takukuru yaokoa shilingi milioni 8.3 Kilosa.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kuokoa fedha kiasi cha shilingi milioni 8,300,000 Kati ya milioni 212,503,559.29 ambazo chama cha Ushirika wa Akiba na mikopo cha Walimu Wilayani humo (Kilosa Teachers Saccos) kinadai…

14 January 2021, 2:55 am

Kilosa yajipanga kuto poteza vipindi darasani.

Wakati shule zikifunguliwa kwa ajili ya wanafunzi kuanza rasmi masomo yao Januari 11 mwaka huu mkoa wa Morogoro upande wa elimu sekondari umejipanga kuishi katika kauli mbiu ya hakuna kipindi kupotea lengo likiwa ni kuhakikisha wanafunzi wanafaulu katika kiwango kizuri kinachoridhisha. Hayo yamebainishwa…

8 January 2021, 11:11 am

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaOfisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MitaaHalmashauri ya Wilaya ya Kilosa Toggle navigation JAMII YAPASWA KUFAHAMU UMUHIMU WA MALEZI NA MAKUZI YA MTOTO Posted On: December 24th, 2020 Malezi kwa makuzi ya mtoto…

7 January 2021, 1:05 pm

Rc Morogoro awachukulia hatua Wenyeviti wa vitongoji Mikumi.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amekemea vikali kitendo kilichoonyeshwa na Wenyeviti wa vitongoji 21 Katika Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa Katika shule ya Sekondari Mikumi…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu