Recent posts
14 January 2021, 2:31 pm
Takukuru yaokoa shilingi milioni 8.3 Kilosa.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kuokoa fedha kiasi cha shilingi milioni 8,300,000 Kati ya milioni 212,503,559.29 ambazo chama cha Ushirika wa Akiba na mikopo cha Walimu Wilayani humo (Kilosa Teachers Saccos) kinadai…
14 January 2021, 2:55 am
Kilosa yajipanga kuto poteza vipindi darasani.
Wakati shule zikifunguliwa kwa ajili ya wanafunzi kuanza rasmi masomo yao Januari 11 mwaka huu mkoa wa Morogoro upande wa elimu sekondari umejipanga kuishi katika kauli mbiu ya hakuna kipindi kupotea lengo likiwa ni kuhakikisha wanafunzi wanafaulu katika kiwango kizuri kinachoridhisha. Hayo yamebainishwa…
8 January 2021, 11:26 am
Jamii yapaswa kufahamu umuhimu wa malezi na Msakuzi ya mtoto-Kilosa.
Malezi kwa makuzi ya mtoto yana faida kwa maisha ya baadaye ya mtoto hasa katika kumuimarisha kiuchumi na kuboresha maisha yake ikiwemo kuwa na uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo, viungo kufanya kazi vizuri mfano macho na mikono, kusikia na…
8 January 2021, 10:26 am
Wakina Mama wanao Nyonyesha watakiwa kuzingatia usafi wa Mwili na Mazingira- Kil…
Wakinamama wanao nyonyesha watoto walio chini ya siku 1000 toka kuzaliwa wameshauriwa kuzingatia usafi wa mwili na Mazingira wakati wa kunyonyesha na kuandaa Chakula cha ziada kwa mtoto aliye fika umri wa miezi sita. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa katika…
8 January 2021, 8:12 am
Wakena Mama wanao Nyonyesha wametakiwa kuzingatia usafi Kilosa.
8 January 2021, 7:59 am
Wakena mama wanao Nyonyesha washauriwa kuzingatia usafi -Kilosa.
8 January 2021, 7:47 am
Wakinamama wanao nyonyesha watakiwa kuzingatia usafi- Kilosa.
7 January 2021, 1:05 pm
Rc Morogoro awachukulia hatua Wenyeviti wa vitongoji Mikumi.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amekemea vikali kitendo kilichoonyeshwa na Wenyeviti wa vitongoji 21 Katika Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa Katika shule ya Sekondari Mikumi…
7 January 2021, 2:39 am
Wananchi wametakiwa kupanda Miti,Maua na kusafisha Mifereji ya Maji ya Mvua -Kil…
Wananchi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wahamasishwa kupanda Miti na Maua pamoja na kusafisha Mifereji ya Maji ya Mvua Ili kutunza Mazingira. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa Januari 6,2021 Afisa Mazingira Kilosa Anthony Heriel Mbise kuwa ni vizuri Wananchi wakatumia Mvua…