Radio Jamii Kilosa

Recent posts

6 January 2021, 10:14 am

Wananchi wametakiwa kutunza na kuhifadhi mazingira

Akizungumza na Radio Jamii Kilosa Januari 6 ,2021 Afisa Mazingira Bwana Anthony Heriel Mbise amesema kuwa ni vyema wananchi wakatumia mvua zinazo endelea kunyesha kipindi hiki kupanda Miti na Maua. Amesema kuwa Maua yanasaidia kupendezesha mazingira yanayo zunguuka na Miti…

17 December 2020, 9:13 am

Wananchi wahimizwa kukata kadi za bima ya afya – RC Morogoro

Wananchi Wilayani Kilosa na Mkoa wa Morogoro kiujumla wamehimizwa kukata kadi za bima ya afya kwa ajili ya familia zao kwani kadi hizo ni muhimu na zinasaidia kupata matibabu kwa urahisi hata nyakati ambazo mtu anakuwa hana fedha kwa ajili…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu