19 March 2026, 15:33

Kilosa wahimiza lishe kwa watoto

Watoto walio chini ya miaka mitano wanahitaji chakula chenye lishe bora ili kusaidia ukuaji wa mwili na maendeleo ya akili ambayo husaidia kuzuia udumavu, magonjwa yanayotokana na upungufu wa virutubisho. Na Asha Madohola Wananchi wilayani Kilosa wametakiwa kuhakikisha watoto walio…

Play internet radio

Recent posts

10 May 2026, 11:52

UNICEF na Serikali yaimarisha malezi ya mtoto

Familia bora ni msingi wa taifa imara kwani hujenga watoto wenye maadili, nidhamu na upendo ambao baadaye huwa wananchi wenye mchango katika maendeleo ya jamii hivyo wazazi na walezi wanapaswa kuzingatia malezi yenye usawa na mawasiliano mazuri ili kuimarisha ustawi…

30 April 2026, 15:06

Tindiga yapokea msaada kufuatia mafuriko

Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha uharibifu wa makazi, mashamba na miundombinu, na kuwaacha wananchi wengi wa kata ya Tindiga bila makazi na chakula. Na Beatrice Majaliwa Shirika la Norwegian Church Aid kwa kushirikiana na Anglican Dayosisi ya Morogoro limetoa…

13 April 2026, 17:11

TFS Kilosa yasisitiza sheria za uvunaji mazao misitu

Uvunaji wa mazao ya misitu una umuhimu mkubwa kiuchumi, kimazingira na kijamii, hususan unapofanyika kwa kufuata taratibu za Tanzania Forest Services Agency (TFS), ni nyenzo muhimu ya maendeleo, lakini usipodhibitiwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na jamii. Na Asha…

19 March 2026, 15:33

Kilosa wahimiza lishe kwa watoto

Watoto walio chini ya miaka mitano wanahitaji chakula chenye lishe bora ili kusaidia ukuaji wa mwili na maendeleo ya akili ambayo husaidia kuzuia udumavu, magonjwa yanayotokana na upungufu wa virutubisho. Na Asha Madohola Wananchi wilayani Kilosa wametakiwa kuhakikisha watoto walio…

19 March 2026, 14:19

IDRAS yarahisisha ulipaji kodi Kilosa

Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) ni mfumo wa kidijitali unaotumiwa na TRA kurahisisha huduma za kodi kwa walipakodi unaorahisisha wafanyabiashara kufanya malipo ya kodi. Na Aloycia Mhina Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Kilosa imewataka…

12 March 2026, 14:08

Kambi ya afya bure yawafikia wananchi Kilosa

Vodacom Tanzania Foundation imewadhamini madaktari bingwa kutoa huduma za matibabu kupitia kambi ya afya bure kwa wananchi ambapo inalenga kupima na kutibu magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, matatizo ya macho, meno na tezi dume. Na Asha Madohola Madaktari bingwa kutoka Hospitali…

12 March 2026, 11:03

Watoto wenye mahitaji maalum wakumbukwa Kilosa

Kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalum ni muhimu kwa sababu huwapa fursa sawa ya kupata elimu, huduma za afya na malezi bora kama watoto wengine na huchangia kupunguza unyanyapaa na kuhakikisha wanapata mazingira salama na bora ya kukua na kufikia ndoto…

8 March 2026, 11:00

DC Kilosa azindua chanjo ya mifugo

Chanjo ya mifugo ni dawa maalum inayochomwa wanyama kama ng’ombe, mbuzi, kondoo na kuku ili kuwakinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na husaidia kupunguza vifo vya mifugo, kuongeza uzalishaji wa maziwa na nyama, pamoja na kuhakikisha mifugo inakuwa na afya bora.…

5 March 2026, 10:24

Kilosa yahamasishwa kupima kisukari mapema

Kisukari ni ugonjwa unaotokea pale mwili unaposhindwa kuzalisha au kutumia vizuri homoni ya insulini, hali inayosababisha kuongezeka kwa kiwango cha sukari kwenye damu na kupima mapema huokoa maisha na husaidia kuepuka madhara makubwa kama matatizo ya figo na magonjwa ya…

3 March 2026, 13:21

DC Kilosa azindua Bima ya Afya kwa Wote

Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote ni mpango wa Serikali ya Tanzania unaolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma za afya bila kuathiriwa na gharama kubwa za matibabu na mpango huu unasimamiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu