Recent posts
17 June 2026, 08:52
Wamiliki day care Kilosa watakiwa kujisajili
Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…
5 June 2026, 17:42
Kilosa yaunga mkono Dira ya Tanzania ya kijani 2050
Wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa ya kijani na salama kwa mazingira kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu inayohamasisha uwajibikaji katika uhifadhi wa mazingira. Na Asha Madohola Wilaya ya Kilosa imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha…
4 June 2026, 16:30
COPRA yasisitiza uwazi wa biashara ya mazao
Mfumo wa stakabadhi hhalani unalenga kuondoa unyonyaji wa wakulima, kuongeza uwazi katika biashara ya mazao, kuhakikisha matumizi ya vipimo sahihi, na kuwawezesha wakulima kupata malipo yanayolingana na thamani halisi ya mazao yao. Na Beatrice Majaliwa Wakulima na viongozi wa Vyama…
4 June 2026, 15:34
Kilosa kuadhimisha siku ya mazingira
Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…
20 May 2026, 15:02
Malezi bora kwa watoto wa Day Care
Watoto wa Day Care wanahitaji malezi bora, mazingira salama na elimu ya awali ili kuwajengea msingi mzuri wa maisha yao ya baadaye. Na Aloycia Mhina Wamiliki na walezi wa vituo vya kulelea watoto wadogo (Day Care) katika Kata ya Dumila…
20 May 2026, 14:08
Upandaji miti kuokoa mto Mkondoa
Katika kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, kaulimbiu ya utunzaji wa mazingira 05 Juni 2026 inaendelea kuwa wito muhimu wa kujenga taifa lenye mazingira bora na maisha endelevu. Na Mwandishi wetu Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kulinda mazingira na kuokoa…
10 May 2026, 11:52
UNICEF na serikali yaimarisha malezi ya mtoto
Familia bora ni msingi wa taifa imara kwani hujenga watoto wenye maadili, nidhamu na upendo ambao baadaye huwa wananchi wenye mchango katika maendeleo ya jamii hivyo wazazi na walezi wanapaswa kuzingatia malezi yenye usawa na mawasiliano mazuri ili kuimarisha ustawi…
30 April 2026, 15:06
Tindiga yapokea msaada kufuatia mafuriko
Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha uharibifu wa makazi, mashamba na miundombinu, na kuwaacha wananchi wengi wa kata ya Tindiga bila makazi na chakula. Na Beatrice Majaliwa Shirika la Norwegian Church Aid kwa kushirikiana na Anglican Dayosisi ya Morogoro limetoa…
13 April 2026, 17:11
TFS Kilosa yasisitiza sheria za uvunaji mazao misitu
Uvunaji wa mazao ya misitu una umuhimu mkubwa kiuchumi, kimazingira na kijamii, hususan unapofanyika kwa kufuata taratibu za Tanzania Forest Services Agency (TFS), ni nyenzo muhimu ya maendeleo, lakini usipodhibitiwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na jamii. Na Asha…
19 March 2026, 15:33
Kilosa wahimiza lishe kwa watoto
Watoto walio chini ya miaka mitano wanahitaji chakula chenye lishe bora ili kusaidia ukuaji wa mwili na maendeleo ya akili ambayo husaidia kuzuia udumavu, magonjwa yanayotokana na upungufu wa virutubisho. Na Asha Madohola Wananchi wilayani Kilosa wametakiwa kuhakikisha watoto walio…