Recent posts
16 August 2026, 10:24
Zaidi ya 1,500 wamzika Kanda Bovu
Uzalendo na kutii sheria za nchi ni msingi wa kujenga jamii yenye amani, usalama na maendeleo ambapo pia husaidia kuzuia uhalifu, migogoro na vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani ya nchi. Na Asha Madohola Mkuu wa Kituo cha Polisi Kilosa, Afande Donati…
5 August 2026, 14:08
Unyonyeshaji pekee hulinda afya ya mtoto
Unyonyeshaji wa maziwa ya mama ni njia bora ya kumpatia mtoto lishe kamili, kinga dhidi ya magonjwa na msingi mzuri wa ukuaji katika miezi sita ya mwanzo wa ukuaji wake. Na Asha Madohola Wananchi Wilayani Kilosa wamehimizwa kuendelea kuzingatia unyonyeshaji…
3 August 2026, 17:04
Maafisa tabibu 62 wahitimu Kilosa
Chuo cha Maafisa Tabibu Kilosa kimefanya Mahafali ya 23 ambapo kimeendelea kudumisha ufaulu wa asilimia 100 kwa miaka mitano mfululizo licha ya kukabiliwa na changamoto za miundombinu na uhaba wa vifaa vya TEHAMA. Na Asha Madohola Wahitimu wa Chuo cha…
1 August 2026, 10:45
Kilosa yazindua wiki ya unyonyeshaji duniani
Wiki ya Unyonyeshaji Duniani huadhimishwa kila mwaka kuanzia Agosti 1 hadi 7, ikiwa na lengo la kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa unyonyeshaji wa maziwa ya mama katika kuhakikisha watoto wanapata afya bora, lishe sahihi na ukuaji unaofaa. Na Asha Madohola…
26 July 2026, 15:33
TAFIDA Kilosa yasaka vipaji vya waigizaji
Sanaa ni chanzo halali cha ajira na maendeleo kwa vijana na jamii kwa ujumla na kupitia uigizaji, muziki, uchoraji, uchekeshaji na fani nyingine za sanaa, vipaji vinaweza kugeuzwa kuwa kazi zinazozalisha kipato na kujenga maisha bora. Na Asha Madohola Vijana…
22 July 2026, 11:48
Vijana Kilosa wahimizwa kupinga rushwa
Kupambana na rushwa kunahitaji ushirikiano wa wananchi wote kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na kutoa taarifa kwa mamlaka husika pindi vitendo vya rushwa vinapobainika. Na Asha Madohola Jamii, hususan vijana wa Wilaya ya Kilosa, wamehimizwa kujiepusha na vitendo vya rushwa na…
21 July 2026, 16:11
Ukatili hauna nafasi kwa vijana Kilosa
Ukatili ni kitendo chochote kinachosababisha maumivu, madhara au mateso kwa mtu mwingine, iwe ni kimwili, kingono, kisaikolojia, kihisia au kiuchumi na unaweza kutokea nyumbani, shuleni, kazini au katika jamii hivyo ni muhimu kutoa taarifa mapema Na Asha Madohola Vijana nchini…
8 July 2026, 12:55
Kilosa: KICU chafanya maboresho ya ofisi zake
Pichani Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Kilosa co-operativu union (KICU). Picha na Epiphanus Danford Chama hicho kinakwenda kuongeza tija kwa Wakulima wake katika kuhakikisha wanapata huduma bora lakini pia kuhifadhi mazao yao katika maghala yaliyoboreshwa. Na Epiphanus Danford Chama…
25 June 2026, 14:53
Kilosa kudhibiti uvunaji holela
Uvunaji wa mazao ya misitu unalenga kuhakikisha rasilimali za misitu zinatumika kwa manufaa ya wananchi na taifa bila kuharibu mazingira na ukichangia kuongeza mapato ya serikali na kuboresha maendeleo ya kijamii. Na Asha Madohola Watendaji wa vijiji na wenyeviti wa…
17 June 2026, 08:52
Wamiliki day care Kilosa watakiwa kujisajili
Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…