Radio Jamii Kilosa

Recent posts

21 July 2026, 16:11

Ukatili hauna nafasi kwa vijana Kilosa

Ukatili ni kitendo chochote kinachosababisha maumivu, madhara au mateso kwa mtu mwingine, iwe ni kimwili, kingono, kisaikolojia, kihisia au kiuchumi na unaweza kutokea nyumbani, shuleni, kazini au katika jamii hivyo ni muhimu kutoa taarifa mapema Na Asha Madohola Vijana nchini…

8 July 2026, 12:55

Kilosa: KICU chafanya maboresho ya ofisi zake

Pichani Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Kilosa co-operativu union (KICU). Picha na Epiphanus Danford Chama hicho kinakwenda kuongeza tija kwa Wakulima wake katika kuhakikisha wanapata huduma bora lakini pia kuhifadhi mazao yao katika maghala yaliyoboreshwa. Na Epiphanus Danford Chama…

25 June 2026, 14:53

Kilosa kudhibiti uvunaji holela

Uvunaji wa mazao ya misitu unalenga kuhakikisha rasilimali za misitu zinatumika kwa manufaa ya wananchi na taifa bila kuharibu mazingira na ukichangia kuongeza mapato ya serikali na kuboresha maendeleo ya kijamii. Na Asha Madohola Watendaji wa vijiji na wenyeviti wa…

17 June 2026, 08:52

Wamiliki day care Kilosa watakiwa kujisajili

Picha ni wamiliki wa day care pamoja na waratibu wa mradi wa Kinara Totocare. Wadau wa shirika la Kinara lililopo mkoani Morogoro wameendelea kuwaomba wamiliki wa shule za kulelea watoto wadogo (day care) kuendelea kusajili vituo vyao ili viweze kutambulika…

5 June 2026, 17:42

Kilosa yaunga mkono Dira ya Tanzania ya kijani 2050

Wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa ya kijani na salama kwa mazingira kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu inayohamasisha uwajibikaji katika uhifadhi wa mazingira. Na Asha Madohola Wilaya ya Kilosa imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha…

4 June 2026, 16:30

COPRA yasisitiza uwazi wa biashara ya mazao

Mfumo wa stakabadhi hhalani unalenga kuondoa unyonyaji wa wakulima, kuongeza uwazi katika biashara ya mazao, kuhakikisha matumizi ya vipimo sahihi, na kuwawezesha wakulima kupata malipo yanayolingana na thamani halisi ya mazao yao. Na Beatrice Majaliwa Wakulima na viongozi wa Vyama…

4 June 2026, 15:34

Kilosa kuadhimisha siku ya mazingira

Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…

20 May 2026, 15:02

Malezi bora kwa watoto wa Day Care

Watoto wa Day Care wanahitaji malezi bora, mazingira salama na elimu ya awali ili kuwajengea msingi mzuri wa maisha yao ya baadaye. Na Aloycia Mhina Wamiliki na walezi wa vituo vya kulelea watoto wadogo (Day Care) katika Kata ya Dumila…

20 May 2026, 14:08

Upandaji miti kuokoa mto Mkondoa

Katika kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, kaulimbiu ya utunzaji wa mazingira 05 Juni 2026 inaendelea kuwa wito muhimu wa kujenga taifa lenye mazingira bora na maisha endelevu. Na Mwandishi wetu Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kulinda mazingira na kuokoa…

10 May 2026, 11:52

UNICEF na serikali yaimarisha malezi ya mtoto

Familia bora ni msingi wa taifa imara kwani hujenga watoto wenye maadili, nidhamu na upendo ambao baadaye huwa wananchi wenye mchango katika maendeleo ya jamii hivyo wazazi na walezi wanapaswa kuzingatia malezi yenye usawa na mawasiliano mazuri ili kuimarisha ustawi…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu