Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
5 March 2026, 10:24
Kisukari ni ugonjwa unaotokea pale mwili unaposhindwa kuzalisha au kutumia vizuri homoni ya insulini, hali inayosababisha kuongezeka kwa kiwango cha sukari kwenye damu na kupima mapema huokoa maisha na husaidia kuepuka madhara makubwa kama matatizo ya figo na magonjwa ya…
3 March 2026, 13:21
Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote ni mpango wa Serikali ya Tanzania unaolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma za afya bila kuathiriwa na gharama kubwa za matibabu na mpango huu unasimamiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…
14 January 2026, 15:18
Uboreshaji wa huduma katika vituo vya afya pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kujifungua salama umeelezwa kuwa miongoni mwa mafanikio ya jitihada za serikali katika kuboresha afya ya mama na mtoto wilayani Kilosa. Na Asha Madohola…
14 January 2026, 12:55
Mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ni mpango wa serikali unaolenga kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kutumia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana na…
16 December 2025, 11:03
Mwezi wa Afya na Lishe ni kampeni ya kitaifa inayofanyika kila mwaka kuanzia Desemba 1 hadi 31, yenye lengo la kuboresha afya ya mama na mtoto kwa kutoa huduma muhimu za lishe katika vituo vya kutolea huduma za afyana huduma…
1 December 2025, 11:32
Chakula shuleni husaidia kupunguza utoro na kuimarisha mahudhurio kwa kuwa watoto wengi huhamasika kwenda shule wakijua watapata chakula na, huwasaidia watoto wa familia zisizo na uwezo mkubwa kupata mlo kamili angalau mara moja kwa siku, hivyo kupunguza athari za utapiamlo…
27 November 2025, 17:54
Changamoto kubwa zinazokumba lishe kwa watoto na akina mama ni pamoja na ukosefu wa uelewa kuhusu lishe sahihi, umasikini, upatikanaji mdogo wa vyakula vya lishe, na mila au desturi zisizozingatia mahitaji ya lishe. Hali hii husababisha utapiamlo, upungufu wa damu,…
27 November 2025, 11:24
Kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 Dunia hufanya kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia lengo likiwa ni kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake na watoto ambao wamekua wahanga wakubwa wa kufanyiwa ukatili wa kijinsia.…
24 November 2025, 13:26
Habari za uongo zimekuwa kikwazo kikubwa katika maendeleo ya biashara, hasa katika jamii zinazotegemea taarifa sahihi kufanya maamuzi ya ununuzi na uuzaji. Na Aloycia Mhina Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Kilosa, Ndugu Joshua Chaluza Mbarikiwa, ametoa wito kwa wafanyabiashara na…
18 November 2025, 18:17
Hapa nchini katika baadhi ya shule bado kuna changamoto kubwa ya idadi ndogo ya wanafunzi wanaopata huduma ya chakula cha mchana mashuleni na inaelezwa tatizo hili linachangiwa na wazazi wengi kutokuwa na utayari wa kuchangia chakula hasa kwa watoto wasio…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu