Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
5 June 2026, 17:42
Wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa ya kijani na salama kwa mazingira kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu inayohamasisha uwajibikaji katika uhifadhi wa mazingira. Na Asha Madohola Wilaya ya Kilosa imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha…
4 June 2026, 16:30
Mfumo wa stakabadhi hhalani unalenga kuondoa unyonyaji wa wakulima, kuongeza uwazi katika biashara ya mazao, kuhakikisha matumizi ya vipimo sahihi, na kuwawezesha wakulima kupata malipo yanayolingana na thamani halisi ya mazao yao. Na Beatrice Majaliwa Wakulima na viongozi wa Vyama…
4 June 2026, 15:34
Kila mwananchi ana wajibu wa kushiriki katika upandaji miti, utunzaji wa vyanzo vya maji na matumizi endelevu ya rasilimali za mazingira ili kujenga Tanzania ya kijani na salama kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Asha Madohola Wananchi wa Wilaya…
20 May 2026, 15:02
Watoto wa Day Care wanahitaji malezi bora, mazingira salama na elimu ya awali ili kuwajengea msingi mzuri wa maisha yao ya baadaye. Na Aloycia Mhina Wamiliki na walezi wa vituo vya kulelea watoto wadogo (Day Care) katika Kata ya Dumila…
20 May 2026, 14:08
Katika kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, kaulimbiu ya utunzaji wa mazingira 05 Juni 2026 inaendelea kuwa wito muhimu wa kujenga taifa lenye mazingira bora na maisha endelevu. Na Mwandishi wetu Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kulinda mazingira na kuokoa…
10 May 2026, 11:52
Familia bora ni msingi wa taifa imara kwani hujenga watoto wenye maadili, nidhamu na upendo ambao baadaye huwa wananchi wenye mchango katika maendeleo ya jamii hivyo wazazi na walezi wanapaswa kuzingatia malezi yenye usawa na mawasiliano mazuri ili kuimarisha ustawi…
30 April 2026, 15:06
Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha uharibifu wa makazi, mashamba na miundombinu, na kuwaacha wananchi wengi wa kata ya Tindiga bila makazi na chakula. Na Beatrice Majaliwa Shirika la Norwegian Church Aid kwa kushirikiana na Anglican Dayosisi ya Morogoro limetoa…
13 April 2026, 17:11
Uvunaji wa mazao ya misitu una umuhimu mkubwa kiuchumi, kimazingira na kijamii, hususan unapofanyika kwa kufuata taratibu za Tanzania Forest Services Agency (TFS), ni nyenzo muhimu ya maendeleo, lakini usipodhibitiwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na jamii. Na Asha…
19 March 2026, 15:33
Watoto walio chini ya miaka mitano wanahitaji chakula chenye lishe bora ili kusaidia ukuaji wa mwili na maendeleo ya akili ambayo husaidia kuzuia udumavu, magonjwa yanayotokana na upungufu wa virutubisho. Na Asha Madohola Wananchi wilayani Kilosa wametakiwa kuhakikisha watoto walio…
19 March 2026, 14:19
Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) ni mfumo wa kidijitali unaotumiwa na TRA kurahisisha huduma za kodi kwa walipakodi unaorahisisha wafanyabiashara kufanya malipo ya kodi. Na Aloycia Mhina Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Kilosa imewataka…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu