Recent posts
17 March 2021, 11:57 am
Zaidi ya wanafunzi 2700 kupewa elimu ya Kinywa Kilosa -Dk Kibula.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kupitia idara ya afya wanatarajia kutoa elimu ya afya ya Kinywa na meno pamoja na vifaa vya kushafishia Kinywa kwa wanafuzi 2721 kwa ajili ya kujikinga na magonjwa mbalimbali ya Kimywa na meno.…
16 March 2021, 11:44 am
Bilion 1.27 kumaliza tatizo la maji kilosa-Injinia Chum.
Zaidi ya bilion 1.27 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji safi na salama Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro ili wananchi waweze kupata huduma ya maji saa 24 kwa mwaka . Hayo yamesemwa machi 16 2021 na Meneja wakala wa maji na…
16 March 2021, 9:42 am
Ruwasa kumaliza tatizo la maji kilosa -Injinia Joshi
13 March 2021, 4:30 am
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walia na Serikali -Kilosa
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walioko Kata ya magomeni Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro amba wanafahamika kwa jina la Magomeni Children Development Machide wamomba serikali na wadau mbalimba kuwatazama katika jicho la huruma ili kuwasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili katika…
11 March 2021, 7:52 pm
Halmashauri ongezeni nguvu katika sekta ya kilimo-DC Mgoyi.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa rai kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kutambua kuwa Wilaya ya Kilosa ni wilaya ya kilimo iliyojaa mito yenye maji ya kutosha hivyo ni vema wilaya ikajikita zaidi katika uzalishaji ili kupata…
4 March 2021, 9:51 am
Jamii yasisitizwa kuendelea kuchukua tahadhari .
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ameonyesha kuridhishwa kwake na utendaji kazi wa kitengo kinachosimamia utekelezaji wa afua mbalimbali katika kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa namna ambavyo kimekuwa kikifanya majukumu yake na kutoa mrejesho chanya katika utekelezaji…
28 February 2021, 11:23 am
Zaidi ya shilingi bilioni 1.6 za Saccos ya Walimu kilosa zimepotea walio husika…
Chama cha ushirika Saccos ya Walimu Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kimepoteza fedha zaidi ya shilingi Bilioni 1.6 baada ya wanachama na wanufaika wengine kukopa na kushindwa kurejesha kwa wakati kutoka mwaka 2007 hadi 2017 ambapo Mrajisi msaidizi wa vyama…
18 February 2021, 12:14 pm
Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya Kilosa lapitisha bajeti ya shilingi bil…
Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kwa pamoja limepitisha bajeti ya kiasi cha shilingi bilioni 66,286,660.980.70 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wake wa matumizi katika sekta mbalimbali ikiwemo miradi ya maendeleo katika kipindi cha mwaka 2021/2022. Akisoma taari…
13 February 2021, 5:28 pm
Wafanyabiashara waridhia tozo ya shilingi 50,000.
Wafanyabiashara waliopanga katika vibanda vinavyomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa vilivyoko katika kata ya Kasiki maeneo ya uhindini wamekubali kulipa tozo ya shilingi 50,000 kwa mwezi kwa kibanda hadi hapo vitakapofanyika vikao vya kisheria mara baada ya mwaka wa…
10 February 2021, 2:13 pm
Wafanya biashara watakiwa kufungua maduka.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Lucas Mwambambale ametoa rai kwa wafanyabiashara waliopanga katika vibanda vya biashara vinavyomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa vilivyopo katika kata ya Kasiki waliofunga maduka kufungua maduka hayo ili wananchi waendelee…