Radio Jamii Kilosa

Recent posts

2 February 2023, 2:12 pm

Migogoro ya ardhi wilayani Kilosa sasa basi

Kutokujua sheria kwa wananchi imeelezwa ndio chanzo cha migogoro ya ardhi ya kudumu katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ambayo huchochea migogoro ya wakulima na wafugaji hali inayochangia punguza ukuaji wa shughuli za kiuchumi. Na Asha Madohola Halmashauri Ya Wilaya…

31 January 2023, 12:16 pm

Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…

30 January 2023, 1:45 pm

Wakulima watakiwa kulima kilimo cha Ikolojia.

Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa wakulima wilaya ya Kilosa wametakiwa kulima kilimo ikolojia ambacho ni Kilimo rafiki kwa mazingira na kinasaidia kupunguza gharama za kununua madawa na mbolea kwa ajili ya kustawisha mashamba na kuua wadudu kwenye mazao.…

30 January 2023, 9:32 am

Jeshi la Polisi laongoza zoezi la usafi Kilosa

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kilosa  (OCD)  Hasani Selengu ameliongoza Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilosa Katika  Kufanya Usafi  katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa leo Januari 27 Mwaka huu 2023 .. Wakati wakendelea kufanya  usafi huo  wa kufyeka nyasi…

30 January 2023, 9:32 am

Waziri Ndaki awataka wafugaji kubadilika.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mashimba Ndaki (Mb)amewataka wafugaji kubadilika kwa kuacha mfumo wa ufugaji wa mazoea kwa kutegemea ardhi ya Jumuiya na badala yake wawe na eneo la kufugia Mifugo Yao eneo ambalo atatumia liwe linatambulika kisheria. Waziri…

30 January 2022, 1:51 pm

Epuka uchafu wa Mazingira Kilosa -M/kiti Chabu.

Wito umetolewa kwa jamii Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro kujenga tabia ya kushiriki kufanya usafi wa Mazingira na kupanda miti kwa ajili ya kuepuka magojwa ya mlipuko na kutunza Mazingira Wilayani humo . Wito huo umetolewa Januari 29 mwaka huu na…

23 June 2021, 10:58 am

DC ataka heshima kazini, Narudi kufundisha Madrasa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro Alhaji Majid Hemed Mwanga juni 22 2021 amewataka Viongozi wote Wilayani humo kuwa wabunifu pamoja na kufanya kazi kwa umoja, kushirikiana bila kubaguana wala kudharauliana kwani kwa kufanya hivyo Wilaya itasonga mbele zaidi…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu