9 March 2023, 8:38 pm

UZIKWASA yaadhimisha Kipekee Siku ya Wanawake Duniani 2023

Katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya wanawake 2023 yenye kauli mbiu isemayo ‘Ubunifu na mabadiliko ya teknolojia, chachu katika kuleta usawa wa kijinsia’. Shirika la UZIKWASA kwa mara ya kwanza limetoa nafasi kwa kamati za mazingira kuonyesha…

Offline
Play internet radio

Recent posts

16 December 2023, 1:58 pm

Wadau wa shirika la UZIKWASA wajivunia kubadilishana uzoefu

kukaa kwa pamoja imekuwa ni fursa ya kujifunza kutoka kwa wengine namna ambavyo waliweza kukabiliana na changamoto mbali mbali hali inayowezesha wengine kujifunza jinsi wenzao walivyofanikiwa. Na Catherine Sekibaha. Wadau wa washirika la UZIKWASA wamejivunia kubadilishana uzoefu kupitia mbinu wezeshi…

13 December 2023, 11:03 am

Wazazi waaswa kuwalinda wanafunzi kipindi cha likizo

Matukio mengi ya ukatili kwa wanafunzi hutokea kipindi cha likizo hivyo wazazi wawe makini kuwalinda watoto wao. Na Cosmas Clement. Wazazi na walezi wa wanafunzi wilayani Pangani mkoani Tanga wameaswa kuwa makini na kuimarisha usimamizi kwa watoto wao katika kipindi…

31 October 2023, 12:55 pm

UWaWa kutatua changamoto ya utoro wilayani Pangani, Tanga.

Na Cosmas Clement. Makala haya yanaelezea jinsi hali ya utoro ilivyopungua kwa shule za msingi wilaya ya Pangani kwa kipindi cha kuanzia June 2022 hadi June 2023 kutoka asilimia 15 kufikia asilimia 2. katika makala haya utasikia jinsi ushirikiano wa…

29 October 2023, 4:03 pm

Jamii Tanga yaaswa kuzingatia lishe, kujenga afya bora

“kuanzia miaka 10 hadi 19 ni umri wenye tabia za ulaji wa vyakula vyenye mafuta,sukari na chumvi na kutokula mboga mboga na matunda” Halmashauri ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga imeadhimisha siku ya lishe katika ofisi ya kata ya Pangani…

25 October 2023, 12:18 pm

Wazazi shirikianeni katika malezi ya watoto wenu wapate elimu bora

Kila mmoja akisimama katika nafasi yake itapunguza wanafunzi kuzurura mitaani na kuacha utoro. Na Saa Zumo. Wazazi na walezi wameshauriwa kuwa na ushirikiano katika malezi na makuzi ya watoto ili kuwawezesha kusoma kwa bidii na kufikia malengo yao. Hayo yamejiri…

25 October 2023, 11:39 am

BOOST, EP4R na TEA zaing’arisha shule ya msingi Pangani

Serikali kupitia viongozi wetu wametuheshimisha, madarasa yaliyojengwa yatakuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi. Na Cosmas Clement. Serikali imefanikiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 100 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2022/23 kwa ajili kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya madarasa…

15 October 2023, 1:32 pm

Pangani watakiwa kufanyia kazi taarifa za majanga ya asili

“Ni vyema wananchi wakachukua tahadhari wanapoona viashiria vya majanga na pia kuepuka kujenga nyumba kiholela.” Na Catheline Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuchukua tahadhari wanapopewa taarifa za uwepo wa viashiria vya matukio ya majanga ya asili ili kuepusha…

12 October 2023, 4:00 pm

Wito: Wenza jadilianeni pamoja kuimarisha mahusiano

Wenza wametakiwa kuzungumza kwa pamoja changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano ili waweze kupata msaada wa kutatua changamoto hizo. Na Mariam Ally Wakiongea na kituo hiki kupitia kipindi cha Busati la wenza wawezeshaji ngazi ya jamii kutoka katika kijiji cha Mwera…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.