
Recent posts

31 October 2023, 12:55 pm
UWaWa kutatua changamoto ya utoro wilayani Pangani, Tanga.
Na Cosmas Clement. Makala haya yanaelezea jinsi hali ya utoro ilivyopungua kwa shule za msingi wilaya ya Pangani kwa kipindi cha kuanzia June 2022 hadi June 2023 kutoka asilimia 15 kufikia asilimia 2. katika makala haya utasikia jinsi ushirikiano wa…

29 October 2023, 4:03 pm
Jamii Tanga yaaswa kuzingatia lishe, kujenga afya bora
“kuanzia miaka 10 hadi 19 ni umri wenye tabia za ulaji wa vyakula vyenye mafuta,sukari na chumvi na kutokula mboga mboga na matunda” Halmashauri ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga imeadhimisha siku ya lishe katika ofisi ya kata ya Pangani…

25 October 2023, 12:18 pm
Wazazi shirikianeni katika malezi ya watoto wenu wapate elimu bora
Kila mmoja akisimama katika nafasi yake itapunguza wanafunzi kuzurura mitaani na kuacha utoro. Na Saa Zumo. Wazazi na walezi wameshauriwa kuwa na ushirikiano katika malezi na makuzi ya watoto ili kuwawezesha kusoma kwa bidii na kufikia malengo yao. Hayo yamejiri…

25 October 2023, 11:39 am
BOOST, EP4R na TEA zaing’arisha shule ya msingi Pangani
Serikali kupitia viongozi wetu wametuheshimisha, madarasa yaliyojengwa yatakuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi. Na Cosmas Clement. Serikali imefanikiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 100 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2022/23 kwa ajili kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya madarasa…

15 October 2023, 1:32 pm
Pangani watakiwa kufanyia kazi taarifa za majanga ya asili
“Ni vyema wananchi wakachukua tahadhari wanapoona viashiria vya majanga na pia kuepuka kujenga nyumba kiholela.” Na Catheline Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kuchukua tahadhari wanapopewa taarifa za uwepo wa viashiria vya matukio ya majanga ya asili ili kuepusha…

13 October 2023, 5:17 pm
Wanafunzi tisa wakumbwa na kamata kamata utoro sugu katika kijiji cha Kimang’…
“Tumeanza na Wanafunzi wa Shule za Msingi kwasasa tatizo hilo limepungutunajipanga kukabiliana na tatizo la utoro kwa wanafunzi wa sekondari” Diwani kata ya Kimang’a Mheshimiwa SALIMU MWANDARO Na Saa Zumo Wanafunzi tisa wanaosoma elimu ya Sekondari katika Kijiji cha Kimang’a…

12 October 2023, 4:00 pm
Wito: Wenza jadilianeni pamoja kuimarisha mahusiano
Wenza wametakiwa kuzungumza kwa pamoja changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano ili waweze kupata msaada wa kutatua changamoto hizo. Na Mariam Ally Wakiongea na kituo hiki kupitia kipindi cha Busati la wenza wawezeshaji ngazi ya jamii kutoka katika kijiji cha Mwera…

11 October 2023, 4:49 pm
Mimba za utotoni zaendelea kumkwamisha mtoto wa kike
Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii “Watoto wetu wamekuwa wakibakwa, wamekuwa wakipata mimba za utotoni hili ni eneo ambalo tunataka kusimamia kwa miguu miwili kupaza sauti kwa kushirikiana na wadau wengine ili elimu iwafikie watu wengi na hivi vitendo…

11 October 2023, 4:08 pm
Jeshi la polisi latoa ahadi kuendelea kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia…
” Siku hii inalipa nguvu Jeshi la Polisi kupaza sauti ya kukabiliana ukatili kwa mtoto wa kike” Na Saa Zumo Jeshi la polisi katika Wilayani Pangani Mkoani Tanga limetoa ahadi ya kuendelea kupaza sauti kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia…

10 October 2023, 5:48 pm
Pangani kupata usafiri wa majini wa uhakika
“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…