Recent posts
11 October 2023, 4:49 pm
Mimba za utotoni zaendelea kumkwamisha mtoto wa kike
Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii “Watoto wetu wamekuwa wakibakwa, wamekuwa wakipata mimba za utotoni hili ni eneo ambalo tunataka kusimamia kwa miguu miwili kupaza sauti kwa kushirikiana na wadau wengine ili elimu iwafikie watu wengi na hivi vitendo…
11 October 2023, 4:08 pm
Jeshi la polisi latoa ahadi kuendelea kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia…
” Siku hii inalipa nguvu Jeshi la Polisi kupaza sauti ya kukabiliana ukatili kwa mtoto wa kike” Na Saa Zumo Jeshi la polisi katika Wilayani Pangani Mkoani Tanga limetoa ahadi ya kuendelea kupaza sauti kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia…
10 October 2023, 5:48 pm
Pangani kupata usafiri wa majini wa uhakika
“Fanyeni kazi mkiwa na amani, hayo mengine mlionieleza mimi ni mlezi wenu nitakwenda kuyashughulikia.“ Na Saa Zumo Halmashauri ya Pangani mkoani Tanga iko mbioni kupata uhakika wa usafiri wa majini baada ya kufanya mazungumzo na wawekezaji wa usafirishaji wa majini.…
10 October 2023, 2:50 pm
Elimu yahitajika kukomesha unyanyapaa kwa wagonjwa wa afya ya akili
“Magonjwa ya afya ya akili yanatibika iwapo utabaini mapema na kuanza matibabu“ Na Mwandishi wetu Kukosekana kwa elimu ya kutosha kwenye jamii juu ya magonjwa ya afya ya akili kumechangia unyanyapaa kwa watu wanaougua magonjwa hayo. Hayo yamesemwa na mwanasaikologia…
9 October 2023, 2:36 pm
Wadau wa sekta ya uvuvi Pangani watakiwa kushirikiana kulinda rasilimali za baha…
“Tungekuwa tumepata elimu mapema, tungejua wa kulia nae” Na Abdilhalim Shukran Wataalamu wa sekta ya Uvivi wilayani Pangani wametakiwa kushirikiana na wavuvi kuimarisha jitihada za kulinda rasilimali za bahari. Ushauri huo umetolewa na wadau wa sekta ya uvuvi katika wilaya…
8 October 2023, 2:24 pm
Halmashauri zilizopo ndani ya mkoa wa Tanga zaagizwa kusajili vikundi vya bodabo…
“Serikali haiwezi kuwanunulia pikipiki kama hamjajisajili kwenye vikundi” Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Ndugu Rajabu Abrahaman amezitaka Halmashauri zilizopo ndani ya mkoa wa Tanga kusajili vikundi vya bodaboda ili kuviwezesha kunufaikia na fursa mbalimbali. Ndugu Rajabu ameyasema…
6 October 2023, 2:25 pm
Pangani watakiwa kutibu maji ya mvua kabla ya kuyatumia
Maji ya mvua yanakuwa salama iwapo tu yatakingwa moja kwa moja wakati wa mvua. Na Mariam Ally Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuyatibu maji ya mnvua kabla ya kutumia na kuepukana na dhana kuwa maji hayo ni salama wakati…
6 October 2023, 1:34 pm
TARURA kuufungua mji wa Pangani kwa barabara za lami
Ukimulika nyoka unaanzia miguuni, kwahiyo tumeanza kujenga barabara za mjini kisha tutaenda kujenga za vijijini. Na Maajabu Ally. Uongozi wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA wilaya ya Pangani mkoani Tanga umesema unaendelea kuufungua mji huo kwa kujenga…
21 September 2023, 12:46 pm
Wakazi wa Pangani watakiwa kuchukua tahadhari kabla ya msimu wa mvua za El nino
“nawaomba wananchi wanaoishi maeneo ambayo yanapitiwa na mafuriko kuhama kabla mvua hazijaanza” Na Maajabu Ally Wananchi wanaoishi katika maeneo ya bondeni Wilayani Pangani Mkoani TANGA wametakiwa kuchukua tahadhari kufuatia taarifa za uwepo wa mvua za El nino Tahadhari hiyo imetolewa…
21 September 2023, 12:10 pm
Wajasiriamali waaswa kujitangaza kupitia maonesho ya Pangani.
Ni nafasi pekee kwa wajasiriamali kutambulika na mabenki na fursa ya kupata mikopo. Na Mwandishi wetu. Wajasiriamali wameaswa kushiriki kwenye Maonesho ya Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Bomani katika Wilayani Pangani ili kutangaza biashara zao. Meneja wa Benki ya…