Pangani FM
Pangani FM
15 May 2026, 11:57
Na Rajabu Mrope Mwalo wa Kipumbwi, ndani ya Wilaya ya Pangani ndipo kitovu cha uvuvi ambapo boti zaidi ya 400 na wavuvi zaidi ya 6000 kutoka ndani nan je ya wilaya ya Pangani wanajishghulisha na shuhguli hii. Kwa mujibu wa…
12 May 2026, 12:41
Na Rajabu Mrope Karibu maeneo mengi ambayo yana Bahari nchini Tanzania,kumeundwa kamati za BMU kirefu chake ni neo la Kiingereza,Beach Management Unit,nak ama ati hizi zikihusika na ulinzi wa Bahari na mazingira yake katika kudhibiti uharibifu wa mazingira kama vile…
11 May 2026, 12:27
“Kuanzishwa kwa wodi maalumu ya uangalizi wa watoto wachanga na watoto njiti (NIKU) katika Hospitali ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, umeongeza upatikanaji wa huduma za karibu na kwa wakati kwa watoto wanaohitaji uangalizi maalumu” Na Saa Zumo Hospitali ya…
1 May 2026, 13:06
Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…
23 April 2026, 12:11
Na Rajabu Mrope Somo la TEHAMA liliingizwa kwenye mtaala wa elimu nchini Tanzania mwaka 2008 ikiwa ni miaka mitatu tu tangu kubadilishwa kwa mtaala kutoka ule wenye kujikita kwenye nadharia na kuhamia kwenye ule wenye kujikita katika umahiri. Somo hili…
14 April 2026, 12:04
Na Rajabu Mrope Shughuli za uvuvi wa dagaa katika pwani ya Bahari ya Hindi kinahusisha wavuvi,wanaobeba,wachemshaji,wachuuzi na wafanyabiashara wakubwa ambao husafirisha bidhaa hiyo hadi mataifa ya nje ikiwemo nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) hivyo ukuaji wa…
9 April 2026, 23:42
Na Catherine Sekibaha. Goli la mama ni mpango wa motisha kwa wachezaji na viabu vya tanzania vinavyoshiriki michezo ya kimataifa kama njia ya kuongeza hamasa. Kupitia mpango huo umechangia maendeleo makubwa ya kimichezo nchini. Hayo yanaelezwa kupitia makala hii.
3 April 2026, 15:05
Na Hamisi Makungu Mpango wa Serikali unaosimamiwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), umefanikiwa kuwawezesha wavuvi wa Mkoa wa Tanga kunufaika kupitia Uchumi wa buluu. Mpango huo ambao unatekelezwa kwa…
30 March 2026, 13:48
Kupitia ushirikiano wa kamati hizo wanafunzi wanafanya vizuri darasani kwakuwa wanapatiwa chakula shuleni. Na Majabu Madiwa Ushirikiano wa kamati za Mtakuwa, kamati ya shule na Kamati ya BMU katika kijiji cha Ushongo wilayani Pangani mkoani Tanga umetajwa kuongeza ufaulu wa…
27 March 2026, 13:50
“Hapa kwetu tuna vituo 33 vya kutolea matibabu ya afya ya akili, ambavyo vinajumuisha vituo vyote vya kutolea huduma za afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi hospital“ Na Mwandishi Wetu Wananchi katika wilaya ya Tanga, mkoani Tanga wameaswa kuepuka kutumia…
Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.
Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.
To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.
“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”
Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.
Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.