Pangani FM
Pangani FM
2 March 2026, 12:15

Na Rajabu Mrope
Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, mwaka 2010, wagombea wanawake wa ubunge wa majimbo walikuwa 12.4 mwaka 2015 ilikuwa 2% na mwaka 2020 ni 27.6% na mwaka 2025 asilimia 32.17%.
Idadi wagombea inaonesha mwendelezo wa ongezeko, lakini bado inaleta changamoto ya kufikia lengo la usawa wa kijinsia lililoainishwa kwenye Mkataba wa Beijing (1995) na Ajenda ya Maendeleo Endelevu ya 2030 ya Umoja wa Mataifa,ikizingatiwa imebaki miaka 4 kufika mwaka huo,hii inaonesha jitihada za wadau zinahitajika kwa Kipindi hiki kilichobaki na kuendelea.
Sikiliza hapa makala iliyoandaliwa na Rajabu Mrope