Pangani FM
Pangani FM
14 November 2025, 21:46

Na Catherine Sekibaha
Makala hii ya Nitunze Nikutunze inaangazia namna mazoea yaliyojengeka kwenye jamii ya watu wengi kwamba ili chakula kiwe kizuri ni lazima kipikwe na nishati isiyo safi ilhali nishati hiyo si rafiki kwa mazingira wala kwa afya zao
Ambapo kupitia changamoto wanazokumbana nazo wanawake katika mapishi Raisi Samia Suluhu Hassan ametilia mkazo suala la watu kuhamia kwenye matumizi ya Nishati safi ya kupikia kupitia kampeni alizoanzisha mijini na vijijini ili kuwanusuru wanawake na adha za kiafya na kimazingira.
Kupitia makala hii utasikiliza namna ambavyo wananchi wanahamia taratibu kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo nimekutana pia na wakinamama ambao wanatumia nishati safi ya kupikia na pia nimezungumza na wakinamama wanaopika chakula kimazoea