Pangani FM
Pangani FM
14 April 2026, 12:04

Na Rajabu Mrope
Shughuli za uvuvi wa dagaa katika pwani ya Bahari ya Hindi kinahusisha wavuvi,wanaobeba,wachemshaji,wachuuzi na wafanyabiashara wakubwa ambao husafirisha bidhaa hiyo hadi mataifa ya nje ikiwemo nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) hivyo ukuaji wa biashara huwanufaisha wananchi na serikali kujiongezea pato kupitia kodi na ushuru.
Rajabu Mrope ametuandalia makala ifuatayo