
Uchumi

12 May 2023, 1:18 pm
NEEC na Bodi ya wakala wa uwezeshaji wananchi Zanzibar zasaini mkataba wa ushiri…
Tukio hilo la utiaji Saini limefanyika katika ofisi za baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi zilizopo eneo la Nzuguni jijini Dodoma. Na Fred Cheti. Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) pamoja na Bodi ya wakala wa uwezeshaji…

12 May 2023, 8:12 am
Kampeni ya TRA ya Tuwajibike Yawagusa Wananchi
KATAVI Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza namna ambavyo wanapaswa kuwajibika katika ulipaji wa Kodi ili kuendelea kushiriki katika kuchangia kukuza uchumi wa nchi. Wameyaeleza hayo kutokana na kampeni ya Tuwajibike ambayo inafanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

11 May 2023, 11:21 am
Mbunge Ritta Kabati aibana serikali kusambaza Gesi kwa Wananchi
Na Hafidh Ally Mbunge Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ameibana serikali kujua mkakati wa kusambaza gesi kwa wananchi wote hapa nchini ili waweze kunufaika na rasilimali hiyo. Kabati ametoa hoja hiyo katika kipindi cha maswali na majibu…

6 May 2023, 2:23 pm
Mradi wenye thamani ya Dola Mil 15 wa kiwanda Cha Mazao ya misitu Mafinga waweke…
Na Ansgary Kimendo Mwenge wa uhuru umeweka jiwe la msingi katika mradi wa kiwanda cha kuchakata masalia ya misitu iliyovunwa umezundua cha Lush chazo wood industries Ltd wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 15 Katika uwekaji jiwe lamsingi huo…

2 May 2023, 9:35 am
Madereva Bajaji Walalamikia Usumbufu Stendi ya Tanganyika
KATAVI Baadhi ya madereva Bajaji wanaofanya safari kutoka Mpanda mjini kuelekea wilaya ya Tanganyika wamelalamikia usumbufu wa kulazimishwa kuingia stendi ili kutoa ushuru. Wakizungumza na Mpanda Radio FM madereva wamesema awali walikuwa wakifanya safari bila kulazimika kuingia stendi hiyo huku…

22 April 2023, 9:45 am
Buswelu: Jipangeni Kukusanya Mapato Yanayopotea
TANGANYIKA Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu ametoa maelekezo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tanganyika kuangalia namna bora ya ukusanyaji wa mapato katika kipindi hiki cha mavuno. Maelekezo hayo ameyatoa wakati wa kikao cha baraza la madiwani wilaya ya…

11 April 2023, 4:40 pm
Makang’wa wahofia uzalishaji mdogo wa uwele
Uwele ni zao ambalo hustawi katika mazingiŕa magumu na kame lakini Msimu huu imekuwa tofauti uzalishaji wake unatajwa huenda ukawa hafifu. Na Mindi Joseph. Wakulima katika kijiji cha Makag’wa Mkoani Dodoma wamesema Kupungua kwa viwango vya mvua msimu huu wasiwasi…

7 April 2023, 2:37 pm
Dawa zilizo kwisha muda wa matumizi zatajwa kuisababishia Serikali hasara.
Amezitaja baadhi ya hospitali hizo huku akisema dawa hizo zilizoisha muda wake zimekuwepo kwa wastani wa miezi 2 hadi miaka 10. Na Alfred Bulahya Kuwepo kwa dawa zilizokwisha muda wa matumizi yake kwenye baadhi ya hospital, vituo vya afya na…

4 April 2023, 5:35 pm
Bodi ya nafaka yaendelea kuimarisha soko la mazao Dodoma
Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko imefanikiwa kununua mazao ya wakulima yenye thamani ya Shilingi 9.6 Bilioni na kuzalisha Tani 480 zilizotolewa msaada Nchini Malawi. Na Mindi Joseph. Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko Mkoani Dodoma inaendelea kuimarisha Soko la…

30 March 2023, 3:36 pm
Vijana na Watu wenye Ulemavu Wasumbufu Kulipa Mikopo Asilimia 10
MPANDA Vijana na watu wenye ulemavu wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi sumbufu kwa kutolipa mikopo ya 10% ambayo inatolewa na halmashauri ya wilaya ya Mpanda mkoani Katavi. Hayo yamesemwa na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii wa manispaa…