
Uchumi

4 April 2025, 8:21 pm
I.P.I yajizatiti kulinda amani kwenye uchaguzi
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…

30 March 2025, 8:46 pm
Afariki kwa kupigwa kichwani Hanyengwa mchana
Na Mary Julius. Jeshi la Mkoa wa kusini unguja limesema mtu mmoja, amefariki dunia kwa kupigwa na kitu butu kichwani huko Hanyengwa, wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.Akizungumza na zenji fm Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Unguja…

27 March 2025, 1:58 pm
Mtoto wa miaka 14 ambaka mtoto wa mwaka mmoja na nusu
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kubaka watoto katika matukio mawili tofauti.Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu, Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamanda wa Polisi Mkoa…

20 March 2025, 1:23 pm
DC Gidarya: Wananchi wa Ipililo tunzeni huu mradi wa maji
Baada ya Serikali kujenga Mradi na kuukadhi kwenu, Jukumu la kuulinda na Kuutunza ni lakwenu wananchi wenyewe , hivyo niwaomba wananchi wa Ipililo lindeni miundombinu ya Maji katika Mradi huu, asitokee mwananchi mmoja akaja kukata mabomba halafu nyie mnamuangalia tu.…

17 January 2025, 9:23 am
Miundombinu mibovu Mpanda stendi kero kwa madereva
“Changamoto wanayoipata madereva ni uwepo wa mashimo ndani ya stend hiyo hali inayopelekea uharibifu wa magari yao“ Na Samwel Mbugi-Katavi Madereva wanaofanya shughuli zao katika stand ya zamani manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya stend…

16 January 2025, 1:09 pm
DC Magembe atangaza vita dhidi ya ‘chagulaga’
Wananchi wamesisitizwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya usalama ili kutokomeza utamaduni huo. Na Zaituni Juma Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Cornel Magembe amekemea vikali utamaduni wa baadhi ya wanaume kuwalazimisha wasichana wadogo kuingia nao kwenye mahusiano ya kimapenzi maarufu kama…

16 August 2024, 8:46 pm
DC Bunda azindua maktaba Esperanto sekondari
Dkt Vicent Naano Mkuu wa wilaya ya Bunda amewataka wanafunzi kutumia vitabu hivyo kuongeza ujuzi na maarifa yatakayowasaidia kufanya vizuri kwenye masomo yao. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amezindua maktaba shule ya sekondari…

12 July 2024, 13:18
Waumini wa kikristo kugombea nafasi za uongozi Kigoma
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika mhasham Emmanuel Charles Bwatta amewashauri waumini wa dini ya Kikristo mkoani Kigoma kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika chaguzi za serikali za mitaa mwaka huu. Askofu Bwatta amesema hayo wakati akizungumza katika…

28 June 2024, 5:15 pm
BoT yazitaka taasisi za kifedha Manyara kujisajili
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutokuchukua mikopo kwa wakopeshaji binafsi ili kuondokana na riba kandamizi pamoja na kujua sheria itakayo mlinda pindi anapochukua mkopo katika Taasisi za kifedha Na Emmy Peter Tasisi za huduma ndogo za fedha zinazokopesha fedha wilayani Babati mkoa wa…

26 June 2024, 9:38 am
RUWASA wilayani Maswa kutumia billion 3.7 kumtua mama ndoo kichwani
“Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika maeneo ya vijijini utaongeza uchumi wa familia kutokana na kutumia muda mrefu kutafuta maji hivyo watajikita katika shughuli za kimaendeleo.” Na, Daniel Manyanga Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira…