Uchumi
20 May 2026, 14:08
Upandaji miti kuokoa mto Mkondoa
Katika kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, kaulimbiu ya utunzaji wa mazingira 05 Juni 2026 inaendelea kuwa wito muhimu wa kujenga taifa lenye mazingira bora na maisha endelevu. Na Mwandishi wetu Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kulinda mazingira na kuokoa…
13 April 2026, 17:11
TFS Kilosa yasisitiza sheria za uvunaji mazao misitu
Uvunaji wa mazao ya misitu una umuhimu mkubwa kiuchumi, kimazingira na kijamii, hususan unapofanyika kwa kufuata taratibu za Tanzania Forest Services Agency (TFS), ni nyenzo muhimu ya maendeleo, lakini usipodhibitiwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na jamii. Na Asha…
31 March 2026, 12:09 pm
Utelekezaji wa familia unavyoathiri malezi ya watoto
Makala hii inaelezea mwanamke ambae aliyetelekezwa na mumewake baada ya kupata ulemavu na kusababisha mzigo wa malezi kwa mzazi mmoja. Na Zaituni Juma akishirikiana na Nicholaus Mwaibale Bi Tausi ni mama wa watoto watatu mkazi wa Manispaa ya Tabora, ambaye…
5 February 2026, 3:00 pm
Romu, Masama Kusini kuondokana na adha ya maji ya umwagiliaji
Wananchi wa kata ya Masama Kusini na kata ya Romu wameiomba serikali ya kata kutatua changamoto za maji ya umwahiliaji iliyodumu kwa muda mrefu. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa Kata za Romu na Masama Kusini wilaya ya Hai mkoa…
22 January 2026, 6:26 pm
Uroki Bomang’ombe watumia mapato ya ndani kuondoa adha ya maji
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe wametumia fedha za mapato yao ya ndani ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Hai, mkuu wa wilaya ya Hai na Viongozi wengine wamepongeza juhudi hizo za kutatua adha ya maji kwa…
12 January 2026, 13:52 pm
DC Masasi atoa takwimu walioandikishwa kuanza safari ya elimu
Karibu kusikiliza kipindi maalumu ambapo mkuu wa wilaya ya Masasi bi. Racheal Kasanda amewaasa wazazi kuapeleka watoto shule na kuandikisha watoto darasa la awali katika umri mtahiki. Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari ametoa takwimu ya watoto wambao wameshaandikishwa…
16 December 2025, 8:15 pm
Wafanyabiashara Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati
Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…
26 November 2025, 10:51 am
Wafanyabiashara walia na miundombinu ya soko la Mpanda hotel
“Mvua zinazoendelea kunyesha zinaleta madhara makububwa “ Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wa soko la Mpanda hotel wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya mifereji ya kupitishia maji hususani kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili isije kuleta madhara ya magojwa ya mlipuko.…
30 September 2025, 1:01 pm
Walimu FC mabingwa Ngorongoro
Ligi ya mpira wa miguu wilaya ya Ngorongoro imetatamatika licha ya kukumbwa na changamoto kadha wa kadha ikiwepo kukosekana kwa bajeti ya kutosha kuendesha ligi hiyo. Na mwandishi wetu. Walimu FC wametawazwa mabingwa wa Ligi ya Wilaya ya Ngorongoro baada…
3 September 2025, 2:47 pm
Ndege nyuki kuleta mapinduzi sekta ya kilimo nchini
Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kampuni tanzu Mati Technologies imekuja na teknolojia ya kisasa ya Ndege nyuki (drone) kwa ajili ya sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii ili kuongeza ufanisi. Na Mussa Kinkaya Mkurugenzi Mtendaji wa…