Radio Tadio

Uchumi

30 June 2023, 10:24 am

Katavi: Kusafirisha asali lazima kibali

KATAVI Wafanyabiashara wa mazao ya nyuki manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wemetakiwa kufuata taratibu na sheria za usafirishaji wa mazao ya nyuki ikiwamo kuwa na vibali vya usafirishaji. Mpanda Radio Fm imezungumza na wafanyabiashara wanaojihusisha na uuzaji wa asali ili…

12 May 2023, 8:12 am

Kampeni ya TRA ya Tuwajibike Yawagusa Wananchi

KATAVI Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza namna ambavyo wanapaswa kuwajibika katika ulipaji wa Kodi ili kuendelea kushiriki katika kuchangia kukuza uchumi wa nchi. Wameyaeleza hayo kutokana na kampeni ya Tuwajibike ambayo inafanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

2 May 2023, 9:35 am

Madereva Bajaji Walalamikia Usumbufu Stendi ya Tanganyika

KATAVI Baadhi ya madereva Bajaji wanaofanya safari kutoka Mpanda mjini kuelekea wilaya ya Tanganyika wamelalamikia usumbufu wa kulazimishwa kuingia stendi ili kutoa ushuru. Wakizungumza na Mpanda Radio FM madereva wamesema awali walikuwa wakifanya safari bila kulazimika kuingia stendi hiyo huku…

22 April 2023, 9:45 am

Buswelu: Jipangeni Kukusanya Mapato Yanayopotea

TANGANYIKA Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu ametoa maelekezo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tanganyika kuangalia namna bora ya ukusanyaji wa mapato katika kipindi hiki cha mavuno. Maelekezo hayo ameyatoa wakati wa kikao cha baraza la madiwani wilaya ya…

11 April 2023, 16:40

Makang’wa wahofia uzalishaji mdogo wa uwele

Uwele ni zao ambalo hustawi katika mazingiŕa magumu na kame lakini Msimu huu imekuwa tofauti uzalishaji wake unatajwa huenda ukawa hafifu. Na Mindi Joseph. Wakulima katika kijiji cha Makag’wa Mkoani Dodoma wamesema Kupungua kwa viwango vya mvua msimu huu wasiwasi…

4 April 2023, 17:35

Bodi ya nafaka yaendelea kuimarisha soko la mazao Dodoma

Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko imefanikiwa kununua  mazao ya wakulima yenye thamani ya Shilingi 9.6 Bilioni na kuzalisha Tani 480 zilizotolewa msaada Nchini Malawi. Na Mindi Joseph. Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko Mkoani Dodoma inaendelea kuimarisha Soko la…