Radio Tadio

Uchumi

1 February 2024, 10:49

Kigoma: Miradi ya kimkakati kuimarisha uchumi nchini, nchi jirani

Serikali imesema inaendelea kuhakikisha inaboresha miradi ya kimkakati kwenye sekta ya usafiri iliyopo ili kusaidia katika ukuaji wa uchumi hasa kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia ya maziwa.  Na, Tryphone Odace. Meneja Mipango kutoka kampuni ya huduma za meli nchini…

26 December 2023, 9:51 am

Uwt wainuana kiuchumi mkoa wa Mbeya

katika kuhakikisha wanawake wanajikwamua kichumi jumuiya ya wanawake ya chama cha mapinduzi mkoa wa mbeya wanatarajia kuanzisha saccos. RUNGWE-MBEYA Mwenyekiti wa chanma cha Mapinduzi mkoa wa Mbeya Patric Mwalunenge ametoa ushauri kwa Jumuiya ya  umoja Tanzania [UWT] mkoa wa Mbeya…

13 December 2023, 3:47 pm

Wafanyabiashara Pemba wahimizwa kulipa kodi kwa hiari

Na Is-haka Mohammed. Mamlaka ya Mapato Zanzibar(ZRA) Pemba imezindua mwezi wa kurejesha shukrani kwa mlipa kodi kwa kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wananchi wa Manispaa ya Chake Chake juu kulipa kodi kwa hiari na kutoa risiti za Kielekronik. Katika uzinduzi…

7 December 2023, 2:05 pm

Siha yavuka lengo ukusanyaji mapato

Halmashauri Siha imevuka lengo la makusanyo ya mapato kwa kukusanya bilioni 8.24 robo ya mwaka. Na Elizabeth Mafie Halmashauri ya wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro imefanikiwa kuvuka lengo kwa kukusanya shilingi bilioni 8.24 katika robo ya Kwanza ya mwaka…

30 November 2023, 2:00 pm

Polisi wanawake watakiwa kutafuta fursa kufikia malengo

Jeshi la polisi mkoani Dodoma linashiriki katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani zilizoanza novemba 25 na zinatarajiwa kufikia tamati Disemba 10. Na Arafa Waziri. Maofisa wa Jeshi la Polisi wanawake Mkoani Dodoma wametakiwa kufanya kazi…