Radio Tadio

Uchumi

29 November 2023, 1:30 pm

TRA Pemba warejesha shukrani kwa walipa kodi

Amesema wao kama wakala wa serikali wa ukusanyaji wa kodi kila mwaka wamekuwa na utaratibu wa kurejesha shukurani kwa walipa kodi ili waone kwamba kodi wanayoitoa hurudi kwao kwa njia tofauti ikiwemo hiyo ya kutoa misaada ya kijamii. Na Is-haka…

29 November 2023, 09:57

Serikali kutumia bilioni 40 kukarabati meli mbili ziwa Tanganyika

Serikali inatarajia kutumia jumla ya Shilingi Bilioni 40 kukarabati meli kongwe ya abiria na mizigo ya MV Liemba pamoja na meli ya mafuta ya MT Sangara yenye uwezo wa kubeba lita laki nne za mafuta ambayo  matengenezo yake  tayari yameanza. Akizungumza baada kutembelea na…

25 November 2023, 6:31 pm

RC Kusini Pemba: Lipeni kodi kwa maendeleo ya nchi

Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA) ni shirika la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo lina wajibu wa kusimamia na kukusanya na kuhifadhi mapato yote kama ambavyo sheria zinasema na ni kwa niaba ya Serikali. Na Mwiaba Kombo Mkuu…

9 November 2023, 12:39

Takukuru yashtukia upigaji fedha za kikundi Mbeya

Mwandishi Samweli Mpogole Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Mbeya imefanikiwa kuokoa kiasi cha shilingi milioni 50, fedha za kikundi cha Isongole Bambo, wilayani Rungwe ambazo ni mkopo uliotolewa na halmashauri kwa ajili ya kuyawezesha makundi ya…

1 November 2023, 12:08 pm

Jiji la Dodoma latakiwa kuangalia vyanzo vipya vya mapato

Katika Mwaka wa fedha 2023/24 Halmashauri ya Jiji la Dodoma imekisia kukusanya na kutumia jumla ya shillingi 132,401,769,120 ambapo robo ya kwanza ya mwaka 2023 kuanza julai- septemba mapato yaliokusanywa ni 30,879,168,799. Na Yussuph Hassan. Halmshauri ya Jiji la Dodoma…

20 October 2023, 15:41

Wafanyabiashara Kigoma watakiwa kufuata kanuni na sheria za BoT

Wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kufuata sheria za kubadilisha fedha za kigeni ili kuepuka kuingia kwenye migogoro na kuhujumu uchumi. Na, Lucas Hoha. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma ACP Filemon Makungu amewataka wafanyabiashara wanaofanya biashara ya kubadilishana fedha za…

11 October 2023, 11:43

Ujenzi bandari ya Lagosa ziwa Tanganyika wafikia 96%

Hatua ya kuanza ujenzi wa Bandari ya Lagosa iliyopo Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma inatajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wanatumia ziwa hilo kusafirisha bidhaa zao ikiwmo Nchi jirani za Congo na Burundi. Na Tryphone Odace Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa,…

30 September 2023, 8:27 am

Wakulima wa mwani Tumbatu watakiwa kuacha mazoea katika kazi zao

Zao loa mwani ni kilimo muhimu ambacho kinafaida katika maisha ya binadamu hivyo ni wajibu kukiendeleza. Na Makame Pandu. Wakulima wa mwani kisiwani Tumbatu wametakiwa kufanya juhudi zitakazowawezezesha kulima zao hilo kwa wingi zaidi ili waweze kujikwamua na umaskini. Akifungua…

13 September 2023, 16:39

Maabara ya madini Chunya

Hii hi maabara ya upimaji wa sampuli mbalimbali za madini ,minelabs iliyopo Halmashauri ya wilaya ya chunya mkoani Mbeya Mwanahabari : samweli mpogole Zaidi ya shilingi milioni 900 zimetumika kujenga miundombinu ya maabara ya upimaji wa sampuli za madini (Minelabs)…