Loliondo FM
107.7 MHz
Waso, Loliondo, Ngorongoro, Arusha, Tanzania
0682226660
loliondofmradio2011@gmail.com
107.7 MHz
Waso, Loliondo, Ngorongoro, Arusha, Tanzania
0682226660
loliondofmradio2011@gmail.com
Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…
26 July 2024, 9:39 am
UNESCO ni shirika la elimu, sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa kati ya shughuli muhimu za UNESCO mojawapo ni kutunza na kulinda urithi wa dunia na mahali penye umuhimu wa pekee kihistoria, kisayansi au kiutamaduni.Na mwandishi wetu. Ujumbe wa UNESCO wahitimisha…
18 July 2024, 10:17 am
Mashirika mengi yasiyo ya kiserikali wilayani Ngorongoro yamekuwa yakitekeleza miradi mingi yenye manufaa kwa jamii za kifugaji ikiwepo maswala ya uhifadhi, mabadiliko ya tabia ya nchi na mingine mingi. Na Edward Shao. Shirika lisilo la kiserikali PALISEP limezindua mradi wa…
9 July 2024, 8:46 am
Matukio ya ukatili kwa mkoa wa Arusha yameendelea kushika kasi huku wadau wa kupambana na maswala hayo ya ukatili wakijitolea kutafuta haki kwa wahanga lakini imeonekana kukosa ushirikiano baina yao pamoja na vyombo mbalimbali vya kutoa msaada wa kisheria hali…
9 July 2024, 12:15 am
Katika juhudi za kuendelea kuboresha mazingira na kujenga nyumba za kutosha katika kijiji cha Msomera ili kuwezesha wananchi watakao hama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro wanapata sehemu nzuri yakuishi pamoja na mifugo yao sasa ujenzi wa nyumba umekamilika ni…
8 July 2024, 11:10 pm
Maonesho ya biashara yanayojulikana kama sabasaba yalianza mwaka 1962 yakiwa ni maonesho ya kilimo yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Wizara ya biashara miaka ya hivi karibuni maonesho hayo yamekuwa yakishirikisha nchi takribani 20 kutoka kusini mwa Afrika (SADC) vilevile yamejulikana…
3 July 2024, 7:54 pm
Serikali imekuwa mstari wa mbele kwa kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma bora za afya kwa kununua vifaa tiba na dawa kwa fedha nyingi lakini baadhi ya watumishi wa afya wameshindwa kuzingatia maadili ya utendaji wao wa kazi kwa kiviuza kwa…
2 July 2024, 6:44 am
Elimu bado inahitajika kwa wananchi katika jamii za kifugaji kuhusu matumizi safi ya maji na utunzaji wa mazingira, kulinda vyanzo vya maji na kulinda miundombinu ya maji katika matumizi yao ya kila siku ikiwemo wakati wa unyweshaji wa mifugo maji.…
2 July 2024, 2:03 am
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Makonda amefika walayani Ngorongoro kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Zacharia James. Mkuu…
22 June 2024, 5:58 pm
Kwa mujibu wa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha lengo la mkoa ni kufikia (single digit) yaani chini ya hoja kumi ambazo zimefikia lengo ni halmashauri 5 pekee. Na Zacharia James. Katibu tawala wa mkoa wa Arusha mhe. Massaile Albano Musa…
20 June 2024, 8:12 pm
Mwanamke huyo anasema alitolewa mahari akiwa darasa la pili na mwanaume ambaye alihitaji kumuoa baada ya binti huyo kuhitImu kidato cha nne lakini binti huyo hakuwa tayari kuolewa na mwanaume huyo licha ya kuishi naye kwa muda mchache na kuambulia…