28 January 2024, 4:59 pm

Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi

Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…

Offline
Play internet radio

Recent posts

26 July 2024, 9:39 am

UNESCO Ngorongoro watembelea wairaq, wahadzabe na wadatoga

UNESCO ni shirika la elimu, sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa kati ya shughuli muhimu za UNESCO mojawapo ni kutunza na kulinda urithi wa dunia na mahali penye umuhimu wa pekee kihistoria, kisayansi au kiutamaduni.Na mwandishi wetu. Ujumbe wa UNESCO wahitimisha…

18 July 2024, 10:17 am

PALISEP yazindua mradi, kuwafikia wananchi 15,000 Ngorongoro

Mashirika mengi yasiyo ya kiserikali wilayani Ngorongoro yamekuwa yakitekeleza miradi mingi yenye manufaa kwa jamii za kifugaji ikiwepo maswala ya uhifadhi, mabadiliko ya tabia ya nchi na mingine mingi. Na Edward Shao. Shirika lisilo la kiserikali PALISEP limezindua mradi wa…

9 July 2024, 8:46 am

Mimutie yaibua mapya kesi ya ulawiti mbele ya Makonda Ngorongoro

Matukio ya ukatili kwa mkoa wa Arusha yameendelea kushika kasi huku wadau wa kupambana na maswala hayo ya ukatili wakijitolea kutafuta haki kwa wahanga lakini imeonekana kukosa ushirikiano baina yao pamoja na vyombo mbalimbali vya kutoa msaada wa kisheria hali…

9 July 2024, 12:15 am

Ujenzi wa nyumba Msomera wafikia asilimia zaidi ya 90

Katika juhudi za kuendelea kuboresha mazingira na kujenga nyumba za kutosha katika kijiji cha Msomera ili kuwezesha wananchi watakao hama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro wanapata sehemu nzuri yakuishi pamoja na mifugo yao sasa ujenzi wa nyumba umekamilika ni…

8 July 2024, 11:10 pm

Balozi Msumbiji akoshwa na banda la Ngorongoro saba saba

Maonesho ya biashara yanayojulikana kama sabasaba yalianza mwaka 1962 yakiwa ni maonesho ya kilimo yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Wizara ya biashara miaka ya hivi karibuni maonesho hayo yamekuwa yakishirikisha nchi takribani 20 kutoka kusini mwa Afrika (SADC) vilevile yamejulikana…

2 July 2024, 6:44 am

Wananchi Ngorongoro hawatumii maji kuhofia laana

Elimu bado inahitajika kwa wananchi katika jamii za kifugaji kuhusu matumizi safi ya maji na utunzaji wa mazingira, kulinda vyanzo vya maji na kulinda miundombinu ya maji katika matumizi yao ya kila siku ikiwemo wakati wa unyweshaji wa mifugo maji.…

2 July 2024, 2:03 am

Makonda na ziara ya kwanza Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Makonda amefika walayani Ngorongoro kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Zacharia James. Mkuu…

22 June 2024, 5:58 pm

RAS Arusha aahidi kumleta Makonda Ngorongoro

Kwa mujibu wa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha lengo la mkoa ni kufikia (single digit) yaani chini ya hoja kumi ambazo zimefikia lengo ni halmashauri 5 pekee. Na Zacharia James. Katibu tawala wa mkoa wa Arusha mhe. Massaile Albano Musa…