Loliondo FM

Recent posts

16 May 2025, 4:35 pm

Rais Samia kupongezwa kwa kuunda tume kutatua migogoro Ngorongoro

Viongozi na watendaji mbalimbali wa kiserikali hapa nchini wamekuwa wakitoa matamko ya kumpongeza rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo wanayoataja wao yameletwa nae. Na Zacharia James Baraza la madiwani halmashauri Ngorongoro limepitisha azimio…

12 May 2025, 2:36 pm

Mwanamke na uongozi katika jamii za kifugaji

Jamii za kifugaji zimekuwa haziwapi nafasi wanawake ya kuwa viongozi kutokana na mfumo dume. Wengi wa wanajamii kutoka ndani ya jamii hiyo wakiwa na imani kwamba mwanamke hawezi kuongoza wanaume. Na Saitoti Saringe

29 April 2025, 8:24 pm

Mhe Bayo akagua miradi ya maendeleo, aahidi kuimarisha huduma kwa wananchi

Katika hatua ya kuimarisha maendeleo na huduma kwa jamii, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Mheshimiwa Mohammed Bayo amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika eneo hilo. Ziara hiyo ililenga kutathmini maendeleo ya miradi inayotekelezwa na halmashauri…

22 April 2025, 11:47 pm

Dawa ya upara yagundulika Ngorongoro

Upara ni hali ya kutokuwa na nywele au ukosefu wa nywele mahali ambapo mara nyingi hukua, hasa kichwani aina ya upara ya kawaida zaidi ni upungufu wa nywele unaowatokea hatua kwa hatua binadamu wanaume. Na mwandishi wetu. Taasisi ya utafiti wa wnyamapori Tanzania (TAWIRI) imetangaza…

13 April 2025, 11:01 pm

Migogoro chanzo chama cha soka Ngorongoro kusimamishwa

Katiba ya ARFA inaeleza kwamba mtu yeyote asipofanya kazi ya mpira ndani ya mwaka mmoja na hata wale ambao hawata chezesha Ligi za U-20 watakuwa wamepoteza sifa za kuwa wanachama. Na Edward Shao. Mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu…

12 March 2025, 8:52 pm

Ngorongoro waomba mjadala mabadiliko majimbo ya uchaguzi

Ikiwa zimepita siku chache tangu tume huru ya taifa ya uchaguzi kutoa taarifa kwa umma juu ya mchakato wa kupokea mapendekezo ya kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi, wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa maoni yao. Na Saringe Saitoti Akizungumza…

6 December 2024, 3:41 pm

Mikopo yenye thamani ya milioni 261 yatolewa kwa vikundi Ngorongoro

Katika kuhakikisha utekelezaji wa mpango wa Serikali wa kutoa asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa makundi maalum halmashauri ya Ngorongoro imekabithi kwa vikundi hivyo mikopo hiyo kwa lengo ya kujikwamua kiuchumu. Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya…

Loliondo FM Profile

Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general

Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities

Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights

Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas

  1. Loliondo FM radio becomes reliable media community Centre  
  2. To encourage individuals and groups in target communities to participate in production of community media ie publications, video, radio, online and web broadcasting
  3. To work with community members to ensure appropriate and accessible platforms exist to express and promote the community voice
  4. To tackle negative stereotyping by mainstreaming media through production and distribution of locally created and produced community media that positively influence policymakers