Recent posts
15 March 2024, 12:36 pm
Wananchi Samunge, Digodigo kero zao mikononi mwa Dc Sakulo
Ni muendelezo wa zira za mkuu wa wilaya Kanali Sakulo katika kutembelea vijiji na kata mbalimbali kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na mwandishi wetu Wananchi Kata ya Samunge na Kata ya Digodigo Machi 14, 2024 wamemshukuru Mhe. Mkuu wa…
14 March 2024, 3:19 pm
Nguzo zaanguka Longido, Ngorongoro yakosa umeme
Umeme umeendelea kuwa kero kwa wananchi kutokana na kukosekana kwa huduma hii muhimu kwa shughuli za kila siku kwa kukatika mara kwa mara kwenye maeneo mengi hapa nchini. Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh Kanali Wilson Sakulo tarehe 13 Machi…
8 March 2024, 11:03 am
Kamati ya siasa Arusha yaridhishwa miradi ya maendeleo Ngorongoro
Ni ziara ya mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiambatana na viongozi wengine wa mkoa ikiwemo mkuu wa mkoa wa Arusha Mh John Mongella wamefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani hapa huku wakitoa pongezi kwa mkurugenzi mtendaji kwa…
25 February 2024, 8:46 am
DC Ngorongoro na ziara ya kwanza
Miradi mingi ya maendeleo wilayani Ngorongoro inayotekelezwa kupitia ufadhili wa benki ya maendeleo ya Ujerumani (KFW) imegusa karibu kila sekta muhimu ikiwepo Afya,barabara pamoja na sekta ya elimu. Na mwandishi wetu. Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanal. Wilson Sakulo leo…
15 February 2024, 12:22 am
Amuua mke wake, atokomea kusikojulikana
Matukio ya ukatili kwa wanawake hususani ya mauaji yameshamiri kwa mwezi Februari wilayani Ngorongoro ya wanaume kuwaua wake zao hili likiwa ni tukio la pili kwa mwanaume kumua mkewe ndani ya wiki moja tu. Na Edward Shao. Kijana mmoja anayejulikana…
10 February 2024, 1:36 pm
Auawa kwa kuchapwa na mume wake akilazimishwa kuishi nae Ngorongoro
Matukio ya ukatili kwa wanawake yameendela kuripotiwa ambapo mwanamke mwenye umri wa miaka 22 auawa kwa kuchapwa na mume wake akilazimishwa kuishi nae Ngorongoro. Na Edward Shao. Mwanamke mmoja Nanyori Mohe (22) mkaazi wa kijiji cha Malambo kata ya Malambo…
10 February 2024, 12:27 am
Ngorongoro wahimizwa kuzingatia lishe bora
Serikali ya awamu ya sita imeipa kipaumbele sekta ya afya na upande wa lishe ili kuboresha, kuimarisha afya za watoto na kuondoa hali ya udumavu kwa watoto kwa lengo la kuwa na kizazi bora na chenye afya timamu. Na Edward…
6 February 2024, 3:41 pm
Hakimu atumia pombe kumlawiti dereva bodaboda Loliondo
l Matukio ya ulawiti yamekuwa ayatendeki kwa kiasi kikubwa na viongozi wa utoaji haki kwani imekuwa ni mara chache kusikia yakiripotiwa na hukumu zikitolewa huku kwa wilaya ya Ngorongoro likiwa ni tukio la kwanza kuripotiwa la hakimu kutuhumiwa kutenda kosa…
28 January 2024, 4:59 pm
Atakayehama kwa hiari Ngorongoro kupewa haki zote za msingi
Katika mwendelezo wa wananchi wanaoishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kuhama kwa hiari kupisha zoezi la uhifadhi, hatimaye kaya zingine 118 zenye watu 818 na mifugo 3,129 wamehama kuelekea Msomera. Na Edward Shao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. John…
22 January 2024, 1:29 pm
Matukio ya mvua Ngorongoro mmoja afariki
Katika Matukio makubwa ya wiki wilayani hapa yametawaliwa kwa kiasi kikubwa ni athari mbalimbali ambazo zimesababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi ikiwemo mtu mmoja kupoteza Maisha baada ya kusombwa na maji. Na Edward Shao, Mvua zinazoendelea kunyesha hapa wilayani…