Loliondo FM

Recent posts

15 September 2024, 5:54 pm

Serikali kuwapatia madume ya ng’ombe waliohamia Msomera

Wafugaji wameendelea kupata neema ya kuboresha aina za mifugo yao na kufuga kisasa kupitia jitihada mbalimbali za serikali za kuboresha sekta ya mifugo katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Na mwandishi wetu. Wizara ya Mifugo na Uvuvi imedhamiria kununua madume…

12 September 2024, 7:41 pm

Watakiwa kufuata maelekezo ya serikali kuboresha huduma za kijamii Ngorongoro

Inatajwa kuwa askari walio wengi wa hifadhi hapa nchini wamekuwa wakiingia migogoro na wananchi wanao zizunguka hifadhi kutona na sababu mbalimbali ikiwepo mifugo yao kuingia hifadhini. Na mwandishi wetu. Askari uhifadhi wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wametakiwa kujenga…

23 August 2024, 5:24 pm

Makonda afika Ngorongoro kwenye maandamano, awatia moyo wananchi

Baaada ya maandamano ya siku kadhaa tarafa ya Ngorongoro, hatimaye kwa mara ya kwanza uongozi wa mkoa wa Arusha ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda wamefika Ngorongoro kuwasikiliza wananchi. Na mwandishi wetu. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda…

23 August 2024, 1:17 pm

Waandishi wa habari waaswa kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi

Kufuatia yanayoendelea Ngorongoro na kuelekea Uchaguzi wa serikali za mitaa maratibu wa THRDC awataka Waandishi wa habari wasikae kimya kwa sababu wananchi wanaumia. Na Saitoti Saringe Akizingumza hii leo Agosti 23, 2024 jijini Dodoma akifungua mafunzo kwa Waandishi wa Habari…

22 August 2024, 10:33 pm

Mahakama yapiga stop vijiji kufutwa Ngorongoro

Baada ya kuwepo kwa taarifa za kufutwa kwa baadhi ya vijiji wilayani Ngorongoro kumekuwepo wadau mbalimbali wa kutetea haki za wanangorongoro kuhakikisha wanapata haki na huduma zao za msingi kama ilivyo kwa wananchi wengine hapa nchini. Na mwandishi wetu. Mahakama…

22 August 2024, 3:20 pm

CHADEMA: Tatizo la Ngorongoro haliwezi kumalizwa na mitutu ya bunduki

Hakuna tamko lolote rasmi kutoka serikalini kuhusu maandamano ya wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro kuhusu kero mbalimbali zinazowakabili. Na mwandishi wetu. Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kupitia mwenyekiti wa chama hicho mh Freeman Mbowe wametoa tamko na msimamo wao…

22 August 2024, 9:33 am

367 wahamia Msomera licha ya maandamano Ngorongoro

Kumekuwa na maandamano kwa wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro wakiitaka serikali kuwasikiliza na kutatua changamoto na kero zinazowakabili bila ya mafanikio, hata hivyo wengine wameendelea kukubali kuhama kwa hiari kulekea Msomera. Na mwandishi wetu. Mwitikio wa wananchi wanaoishi katika eneo…

18 August 2024, 8:59 pm

NCAA: Shughuli za utalii zinaendelea Ngorongoro pamoja na uwepo wa maandamano

Idadi kubwa ya wananchi wanaoishi katika tarafa ya Ngorongoro wameandamana hii leo Agosti 18,2024 wakishinikiza serikali iwasikilize na kutatua kero zao mbalimbali zinazowakabili. Na mwandishi wetu. Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kuwa shughuli za utalii bado zinaendelea katika…

10 August 2024, 4:35 am

Mabeyo aagiza maboresho magofu ya Engaruka

Magofu ya Engaruka ni moja ya maeneo yenye historia kubwa sana Tanzania miaka 500 hivi iliyopita, jamii ya wakulima ilitumia mfumo wa hali ya juu wa kilimo cha umwagiliaji katika eneo hilo. Na Mwandishi wetu. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi…

Loliondo FM Profile

Loliondo FM Community Radio was born on april 2011 headquartered in Waso/Loiondo Township council, Ngorongoro DC, Arusha region, Tanzania United Republic. The organization partnered with different development partners in implementing projects to achieve its objectives. Loliondo FM gets more support from UNESCO, Airtel Tanzania, Insight share and previously Oxfam Tanzania. Other partners include Ngorongoro DC, Radio Tadio, local and international NGOs, Investors, individuals and more importantly the community in general

Lolindo FM Radio strives to raise voice of the pastoral communities, farmers and traders in Ngorongoro district and other coverage geographical areas including Longido District, Serengeti, Tarime in Tanzania and Narok and Kajiado County in Kenya. Loliondo FM target the following groups in its areas of focus; pastoralist communities, farmers, trader’, youth, women, and older children and people with disabilities

Loliondo FM Radio mission is to Building inclusive knowledge Community through information and communication. Loliondo FM works to create the conditions for discourse among policymakers, community, investors, conservators and peoples, based upon respect for commonly shared values. It is through this dialogue, information sharing that the community can achieve global visions of sustainable development surrounding observance of human rights, mutual respect and the alleviation of poverty. The organization focuses on areas such as climate change, education, health care, gender and cultural survival, sustainable livelihood, and human rights

Loliondo FM radio focuses on a set of objectives in the National priority areas

  1. Loliondo FM radio becomes reliable media community Centre  
  2. To encourage individuals and groups in target communities to participate in production of community media ie publications, video, radio, online and web broadcasting
  3. To work with community members to ensure appropriate and accessible platforms exist to express and promote the community voice
  4. To tackle negative stereotyping by mainstreaming media through production and distribution of locally created and produced community media that positively influence policymakers