7 April 2026, 11:20 pm

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

Play internet radio

Recent posts

19 April 2026, 5:19 pm

Manispaa Kati yahamasisha ulipaji kodi kwa maendeleo

Baraza la Manispaa Kati limepanga kukusanya jumla ya shilingi bilioni 2.3 kwa mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya milioni 400 kutoka mwaka uliopita. Mkurugenzi Dk. Mwanaisha Ali Said amesema ongezeko hilo linatokana na kuboresha ukusanyaji na…

17 April 2026, 3:33 pm

‘Usalama wetu kwanza’ yarejesha 452 skuli

Jeshi la Polisi Zanzibar limeripoti kupungua kwa makosa ya udhalilishaji kwa asilimia 32.1 kutoka mwaka 2024 hadi 2025. Mafanikio hayo yanachangiwa na ushirikiano kati ya Polisi, Ofisi ya Mufti Mkuu, na programu ya “Usalama Wetu Kwanza” mashuleni. Na Mary Julius.…

16 April 2026, 1:22 pm

Mil. 500 kujenga vituo vya watoto Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanzisha mpango wa miaka mitano wa kujenga vituo vya kulelea watoto ili kuwasaidia kina mama wafanyabiashara katika masoko mbalimbali. Mpango huo unalenga kuhakikisha watoto wanapata malezi bora, afya njema na usalama katika mazingira rafiki. Na…

13 April 2026, 4:33 pm

Polisi Zanzibar: Hakuna aliyepoteza sehemu za siri, mmoja auwawa

Jumla ya matukio 29 yameripotiwa katika mikoa minne ya Zanzibar yakihusishwa na madai ya watu kushikwa mabega na kupoteza sehemu zao za siri. Kamishna wa Polisi Zanzibar, Kombo Khamis Kombo, amesema uchunguzi umebaini kuwa madai hayo si ya kweli, kwani…

10 April 2026, 3:07 pm

Watu 10 wanaswa kwa kusambaza uzushi wa kupotea nyeti

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limekanusha vikali taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwepo kwa matukio ya watu kupoteza au kuibiwa sehemu zao nyeti , likizitaja kuwa ni uzushi usio na ukweli. Polisi wamesema watu 10 wanashikiliwa kwa kusambaza taarifa…

10 April 2026, 2:35 pm

PBZ yaweka rekodi mpya, yaahidi teknolojia na huduma bora 2026

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Fahad Soud Hamid, amesema mikopo na uwezeshaji imeongezeka kwa asilimia 28, huku faida kabla ya kodi ikipanda kwa asilimia 20 kutokana na kuimarika kwa mapato na udhibiti wa matumizi. Aidha, benki…

7 April 2026, 11:20 pm

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

6 April 2026, 3:16 pm

Mashindano ya bao, drafti kumuenzi Karume yazinduliwa Zanzibar

Mbunge wa Jimbo la Fuoni, Asha Hussein Saleh amesema mashindano hayo yanakusudia kuenzi mchango wa Karume katika Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano. Pia ameahidi kuendeleza michezo ya asili ili kurejesha umaarufu wake katika jamii. Na Mary Julius Mbunge wa Jimbo…

1 April 2026, 6:46 pm

Usawa wa kijinsia katika tehama na teknolojia Zanzibar

Makala imeangazia  changamoto ya pengo la kijinsia katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), hasa Zanzibar, ambapo wanawake wanakabiliwa na vikwazo vya kijamii, kiutamaduni na ukosefu wa rasilimali. Pamoja na changamoto hizo, juhudi mbalimbali zinaendelea kufanyika ikiwemo utoaji…

1 April 2026, 6:27 pm

Dkt. Khalid atoa wito waasisi wa taifa kuenziwa, kuombewa dua

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Khalid Salum Mohamed, amewataka Watanzania kuwaenzi na kuwaombea dua waasisi wa taifa kutokana na mchango wao mkubwa katika kupigania uhuru. Amesema ni muhimu kwa kizazi cha sasa kuendeleza mema waliyoacha kwa kudumisha amani na…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group