7 April 2026, 23:20

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

Play internet radio

Recent posts

17 June 2026, 16:13

Mandoba aigusa familia iliyoathiriwa na moto kwa msaada wa mabati 50

Mwakilishi wa Viti Maalumu Mkoa wa Magharibi, Fatma Ramadhan Mandoba, ametoa mabati 50 kwa familia iliyopoteza nyumba kutokana na moto katika Jimbo la Dimani. Amesema msaada huo ni sehemu ya kuonesha mshikamano na kuwahimiza viongozi wengine kujitokeza kusaidia familia hiyo…

17 June 2026, 15:28

Mambosasa walia na vitendo vya kihalifu

Safia Mohamed. Wananchi wa Shehia ya Fuoni Mambo Sasa wameilalamikia serikali kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu vinavyoendelea kujitokeza katika eneo lao. Wakizungumza na waandishi wa habari katika mahojiano yaliyofanyika katika ofisi ya Sheha wa Shehia ya Fuoni Mambo…

16 June 2026, 21:24

Wito kwa wazazi kufuatilia maendeleo ya watoto

‎Wazazi na walezi wametakiwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao na kushiriki kikamilifu katika kuwafundisha kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuimarisha elimu yao. Wito huo umetolewa katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika, ambapo imeelezwa kuwa malezi na elimu ya…

15 June 2026, 14:05

Maji machafu yagharimu nyumba 5 Magogoni, zapigwa faini

Nyumba tano katika eneo la Magogoni, Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, zimepigwa faini ya shilingi 50,000 kila moja kwa kosa la kutiririsha maji machafu katika maeneo ya wazi na kuchafua mazingira. Hatua hiyo imechukuliwa na Manispaa ya Magharibi “B” kupitia…

14 June 2026, 15:31

Vijana watakiwa kulinda maadili na heshima ya taifa

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Sultan Said Suleiman, amewahimiza wahitimu wa kidato cha sita kutokata tamaa na kuzingatia nidhamu, bidii na kujiamini ili kufikia mafanikio. Amesema vijana wanapaswa kutumia maarifa na vipaji vyao kujiajiri, kuajiri wengine. Na Mary…

14 June 2026, 13:36

Chanjo ya HPV silaha muhimu ya kulinda afya ya wasichana Zanzibar

Walimu na wazazi wametakiwa kushirikiana kuhakikisha watoto wote wa kike wenye umri wa miaka tisa wanapata chanjo ya HPV kwa ajili ya kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inalenga kuwachanja watoto 28,498 wanaostahili huduma…

13 June 2026, 22:10

Vyombo vya ulinzi vyajengewa uwezo wa kulinda watoto

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na SOS Children’s Village imetoa mafunzo ya ulinzi na hifadhi ya mtoto kwa askari wa vyombo vya ulinzi na usalama ili kuimarisha mapambano dhidi ya ukatili kwa watoto. Mafunzo…

12 June 2026, 15:34

Majaa yasiyo rasmi yawakosesha amani wakazi wa Fuoni Mnarani

Na Mariamu Seif Mohd Wananchi wa Shehia ya Fuoni Mnarani, Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, wameeleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la utupaji holela wa taka katika maeneo mbalimbali ya shehia hiyo, wakisema hali hiyo ni tishio kwa afya na mazingira…

11 June 2026, 14:47

Serikali yaimarisha mapambano dhidi ya ajira za watoto

Waziri wa Kazi na Uwekezaji, Sharif Ali Sharif, amesema watoto milioni 138 duniani wanajihusisha na ajira za watoto, huku milioni 54 wakifanya kazi hatarishi. Amesema Zanzibar asilimia 7.5 ya watoto wenye umri wa miaka 5 hadi 17 wanahusika katika ajira…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group