11 January 2022, 5:27 am

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.Launched in 2005, Zenji FM integrates education…

On air
Play internet radio

Recent posts

25 April 2024, 6:41 pm

Zanzibar yaadhimisha siku ya malaria kwa kusambaza vyandarua

Na Mary Julius Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua juhudi ya kuona ugonjwa wa malaria unaondoka kwa kufanyia kazi kauli mbiu ya mwaka huu usemayo ‘Nipo tayari kushinda malaria Ziro Malaria inaanza na mimi’. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

25 April 2024, 5:48 pm

Zaidi ya wajawazito elfu mbili wafikiwa na M-MAMA Zanzibar

Mary Julius. Wananchi wametakiwa kushirikiana na wizara ya afya katika kuwahimiza wajawazito kuhudhuria kliniki mapema ili kupunguza vifo vya mama na mtoto. Waziri wa afya Nassor Ahmed Mazrui ameyasema hayo  alipokuwa akizungumza katika kikao kazi cha kujadili mpango wa kuendeleza…

24 April 2024, 4:56 pm

Sheha Mwembeshauri alia na uchafu katika eneo la jumba namba 2

Na Suleiman na Rahma. Jumba namba 2 na namba 1 yapo katika shehia ya mwembeshauri wilaya ya mjini, haya ni majumba ya ghorofa ambayo yalijengwa enzi za Rais wa kwanza wa Zanzibar. Sheha Wa  Muembe Shauri Abdalla Ali Abdalla amewataka…

17 April 2024, 4:46 pm

Uzio sababu ya utoro skuli ya Mguteni

Na Rahma Hassan. Uongozi wa Skuli ya Mguteni shahia ya Mbuyu Mtende wilaya ya Kaskazini wanaiomba serikali kulitafutia ufumbuzi suala la uzio katika skuli yao ili kuepusha kutoroka kwa wanafunzi hususani karibu na kipindi cha mitihani.  Wakizungumza na Zenji FM…

17 April 2024, 4:11 pm

Vijana Zanzibar washauriwa kuacha kuvaa mapambo

Na Mary Julius. Vijana wengi wamekuwa wakitumia urembo huo bila ya kujua unaashiria kitu gani. Vijana wa kiume wametakiwa kuacha tabia ya kuvaa mapambo (bangili, cheni na viculture )  kwani wanakiuka mila na tamaduni za mzanzibar. Ushauri huo  umetolewa na Katibu…

15 April 2024, 4:37 pm

Mrajis Zanzibar awakumbusha SHIJUWAZA kuchagua viongozi bora

Na Mary Julius. Shirikisho la Jumuiya za watu wenye ulemavu limesajiliwa rasmi mwaka 2014 mpaka sasa  linawanachama 12. Mrajisi Asasi za Kiraia Zanzibar Ahmed Khalid Abdulla amewataka  viongozi wa shirikisho la jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) watakao chaguliwa…

9 April 2024, 7:40 pm

Polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi sikukuu ya Eid el Fitr

Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja SACP Daniel Emanuel Shilla amesema jeshi la polisi limejipanga katika kuhakikisha hali ya ulinzi na usalama inaimarika kipindi chote cha sikukuu ya Eid el Fitr. Kamanda ameyasema hayo wakati akizungumza…

8 April 2024, 5:00 pm

Maji safi na salama tatizo sugu Kiungani

Ongezeko la watu, kukatika kwa umeme mara kwa mara katika shehia ya Kiungani kumesababisha ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo. Na Rahma Hassn na Suleima Abdalla Wakazi wa Nungwi shehia ya Kiungani mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba…

7 April 2024, 6:27 pm

Mratibu vikoba Unguja awataka wanawake kuchukua mikopo kwa malengo

Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba Unguja Catherine Marco Ifanda amewataka akinamama wanaojiunga kwenye vikundi vya vikoba kuchukua mikopo kwa malengo ya kujiendeleza.   Mratibu ameyasema hayo katika sherehe ya kuvunja  kikoba cha St Joseph Mamas  hafla iliyofanyika katika ukimbi wa…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group