7 April 2026, 23:20

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

Play internet radio

Recent posts

28 July 2026, 12:08

Jeshi la polisi Kusini Unguja lafanya usafi shirikishi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kushirikiana na wananchi kwa kushiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika Hospitali ya Wilaya ya Mwera Pongwe. Hatua hiyo imepongezwa na wananchi pamoja na uongozi wa hospitali.…

27 July 2026, 15:17

DC Wete aishauri TIA kufungua kampasi Pemba

Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeshauriwa kuanzisha kampasi Kisiwani Pemba ili kuongeza fursa za elimu ya juu na kurahisisha upatikanaji wa kozi kwa vijana wa eneo hilo bila kulazimika kwenda nje ya Pemba. Aidha, viongozi na wawakilishi wa vyuo wamewahimiza…

24 July 2026, 13:50

ADD yawainua kiuchumi wanawake wenye ulemavu Zanzibar

Kikundi cha Wanawake Wenye Ulemavu Kusini Unguja (WUKU) kimesema mradi unaofadhiliwa na ADD umewawezesha wanachama kuimarisha shughuli zao za kiuchumi kupitia mafunzo ya ujasiriamali na elimu ya fedha. WUKU imeahidi kuendeleza mafanikio hayo kwa kushirikiana na ADD na UWZ ili…

22 July 2026, 20:43

Kutoka darasani hadi barazani, mwanamke aliyeishi ndoto zake za uongozi

Kutoka darasani hadi barazani, Maryam Said Khamis ametimiza ndoto yake ya uongozi kwa kuvuka kutoka taaluma ya ualimu hadi kuwa Mwakilishi na Mbunge, akitumia nafasi yake kuwatumikia na kuwawezesha wanawake pamoja na jamii. Safari yake inaonesha kuwa elimu, bidii na…

20 July 2026, 23:02

Polisi wamkamata mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji Tunguu Ipa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma za kumuua mwanaume mwenye umri wa miaka 40 katika eneo la Tunguu Ipa, Wilaya ya Kati, kufuatia ugomvi unaodaiwa kusababishwa na kutokuelewana. Polisi wamewahimiza wananchi kutatua migogoro kwa…

20 July 2026, 22:36

Zaidi ya wananchi 420 wanufaika na kambi ya afya jimbo la Amani

Zaidi ya wananchi 420 wamejitokeza kupima afya zao katika kambi ya huduma za afya ya siku mbili iliyoandaliwa katika Jimbo la Amani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha uchunguzi wa mapema na kinga dhidi ya magonjwa. Viongozi wa jimbo…

20 July 2026, 20:15

Jitimai yajivunia huduma bora za afya, wito watolewa kufuata mfumo wa rufaa

Hospitali ya Wilaya ya Jitimai imewahimiza wananchi kuzingatia mfumo wa rufaa ili kuboresha utoaji wa huduma za afya na kupunguza msongamano wa wagonjwa. Uongozi wa hospitali umeeleza hospital hiyo inatoa huduma mbalimbali za kibingwa, dharura na kliniki maalumu, ikiwemo Kliniki…

18 July 2026, 22:53

Huduma bora kwa mama waliojifungua Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeendelea kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto kupitia uwekezaji katika miundombinu ya hospitali, vifaa tiba na huduma za uzazi salama. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Siti Abasi Ali, amesisitiza…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group