Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
9 July 2026, 15:14
Wahitimu wa vyuo vikuu wametakiwa kuwa mfano wa kuigwa kwa kuheshimu sheria za nchi, kuzingatia maadili ya Kanisa na kuishi kwa maadili mema ya jamii. Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, SACP Daniel Emanuel Shillah,…
6 July 2026, 17:09
Mlundikano wa taka katika eneo la Nyerere, Wilaya ya Mjini, umeibua hofu ya kuongezeka kwa magonjwa kutokana na harufu mbaya na nzi wengi wanaozunguka maeneo ya makazi. Wananchi wameiomba Manispaa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa taka na Serikali kutafuta suluhisho…
5 July 2026, 21:00
Kambi ya mwezi mmoja ya utoaji wa miguu bandia kupitia mradi wa 100 Limb Project imewanufaisha watu 94 wenye ulemavu Zanzibar, huku wadau wakihimizwa kuendelea kuwawezesha ili wajitegemee kiuchumi. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kushirikiana na taasisi zinazotoa…
5 July 2026, 08:02
Chama cha Wananchi (CUF) kimemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia upya uamuzi wa kuzuia mikutano ya kisiasa, kikisisitiza kuwa mazungumzo kati ya vyama ndiyo njia bora ya kuimarisha demokrasia, maridhiano na utulivu wa kisiasa nchini. Aidha, chama…
2 July 2026, 02:29
Mradi wa Zanzibar 100 Limb umefanikiwa kuwafikia watu 94 kati ya 100 waliolengwa, huku watu 88 wakipatiwa miguu bandia, na hivyo kufikia zaidi ya asilimia 90 ya malengo yake. Na Mary Julius Mratibu wa Mradi wa Zanzibar 100 Limb Project,…
1 July 2026, 17:39
Makala ya simulizi ya kijana wa kike mwenye ulemavu wa ualbino katika harakati za kutafuta nafasi za uongozi imekuwa ni kijana wa mfano wa kuigwa wa watu wenye ulemavu katika nafasi za uongozi uthubutu kujiamini na maadili ndio nguzo muhimu…
30 June 2026, 22:16
Diwani wa Kuteuliwa wa Wilaya ya Kati, Mhe. Amina Andrew Clement, ametoa wito kwa viongozi na wadau kuendelea kutembelea na kuwasaidia watoto yatima ili kuwapa faraja na kuwafanya wajisikie kuwa sehemu ya jamii. Katika ziara yake ya Kituo cha Maftuh…
30 June 2026, 19:31
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imeendelea kuwa nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi na kuwataka kuongeza uwekezaji katika huduma za kidijitali ili kuboresha huduma kwa wananchi. Akizungumza katika maadhimisho ya miaka…
28 June 2026, 03:39
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuimarisha ubora wa huduma za afya kwa kuhakikisha uwekezaji uliofanywa katika sekta hiyo unawanufaisha wananchi moja kwa moja. Wadau wa afya wameeleza kuwa ushirikiano, matumizi ya takwimu na ufuatiliaji wa viwango vya huduma ni…
26 June 2026, 16:32
Baada ya zaidi ya mwezi mmoja wa kukithiri kwa taka katika eneo la Ziwatuwe, Shehia ya Amani, Manispaa ya Mjini imefanikiwa kuondoa taka hizo na kurejesha hali ya usafi. Wananchi wameishukuru Serikali kwa kusikiliza kilio chao, huku ikiahidi kuweka madampo…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group