7 April 2026, 23:20

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

Play internet radio

Recent posts

5 September 2026, 17:41

Stanbic na ZEEA waunganisha nguvu kukuza biashara Zanzibar 2026

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwezeshaji wa wananchi kwa kuongeza upatikanaji wa mitaji, kuimarisha Mfuko wa Uwezeshaji na kukuza miradi ya kuongeza thamani ya bidhaa. Kauli hiyo imetolewa wakati wa Tamasha la Tatu la…

1 September 2026, 18:38

Wazalishaji, wafanyabiashara kukutana fahari ya Zanzibar 2026

Zaidi ya wafanyabiashara, wajasiriamali na wazalishaji 300 kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wanatarajiwa kushiriki Maonyesho ya Fahari ya Zanzibar 2026, yanayolenga kufungua fursa za masoko, uwekezaji na kuongeza matumizi ya bidhaa zinazozalishwa nchini. Na Ivan Mapunda Akizungumza na waandishi wa…

11 August 2026, 13:46

Serikali yasogeza huduma za usajili karibu na wananchi Tumbatu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesisitiza umuhimu wa usajili wa matukio muhimu ya maisha, huku ikisogeza huduma hizo karibu na wananchi wa Tumbatu. Wananchi wamepatiwa huduma za usajili wa vizazi na vifo, vyeti vya kuzaliwa pamoja na Vitambulisho vya Mzanzibari…

8 August 2026, 13:16

Wanawake kisiwa cha Uzi, simulizi karaha zao la mwani

Makala maalum inayomulika changamoto za kilimo cha mwani kwa wanawake wa kisiwa cha Uzi Zanzibar. Na Mwandishi wetu Leo tunakuletea simulizi kutoka kwa wakulima wa mwani visiwani Zanzibar, ambao wameeleza kusikitishwa na athari zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi, hali ambayo…

7 August 2026, 18:34

Mbunge wa Amani akabidhi vifaa vya usafi na visima vya maji

Mbunge wa Jimbo la Amani, Abdull Yussuf Maalim, amekabidhi vifaa vya usafi kwa vikundi vya usafi vya shehia zote nne za jimbo hilo na kuzindua visima vya maji safi katika shehia za Kwa Wazee na Kilimahewa Bondeni ili kuboresha usafi…

4 August 2026, 18:24

Serikali, JICA waungana kuimarisha miundombinu ya umeme Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza maandalizi ya ujenzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Dimani kwa kushirikiana na JICA, kupitia utafiti wa upembuzi yakinifu wa mradi huo. Mradi unalenga kuimarisha upatikanaji wa umeme, hasa katika maeneo ya…

1 August 2026, 22:40

Polisi Kusini Unguja wapeleka tabasamu kwa watoto yatima

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Maftuh Foundation, Kibele, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Polisi Jamii na kuonesha dhamira ya kushirikiana na jamii. Kamanda wa…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group