Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…
20 May 2026, 16:19
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Hamza Hassan Juma amesema Serikali kupitia Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) itaendelea kuhamasisha matumizi ya vipimo sahihi ili kujenga mazingira ya biashara yenye haki na usawa. Aidha, amewataka wafanyabiashara kushirikiana…
19 May 2026, 23:50
Kamishna wa Polisi Zanzibar, Kombo Khamis Kombo amewataka askari kufanya kazi kwa weledi, nidhamu na kulinda haki za binadamu pamoja na kushiriki elimu ya Polisi jamii. Aidha amesisitiza matumizi ya mifumo ya TEHAMA na doria kwenye mitandao ya kijamii ili…
19 May 2026, 22:54
Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar Saada Mkuya Salimu amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto pamoja na huduma za afya ya msingi nchini. Serikali pia imepanga kuongeza ajira kwa wataalamu wa afya, kuboresha mifumo ya…
18 May 2026, 11:31
Mkurugenzi wa ZAPONET, Asia A. Hussein amesema taasisi hiyo inatambua changamoto zinazowakabili wasaidizi wa sheria nchini ikiwemo ukosefu wa ofisi na vifaa vya kazi. Kupitia ufadhili wa Enabel Belgian Development Agency, jumuiya za wasaidizi wa sheria zitapatiwa vifaa, ofisi na…
16 May 2026, 22:47
Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab amewataka madiwani wa Wilaya ya Kati kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato katika wadi zao ili kuongeza mapato ya Baraza la Manispaa Kati. Na Hakika Mwinyi. Madiwani…
16 May 2026, 22:15
Mkurugenzi Mtendaji wa Zanzibar Weights and Measures Agency, Mohamed Mwalimu Simai, ametoa wito kwa jamii kuelewa matumizi sahihi ya vipimo katika biashara ili kujilinda dhidi ya udanganyifu. Amesema sayansi ya vipimo ina mchango mkubwa katika kujenga uaminifu kwenye biashara, uandaaji…
14 May 2026, 16:29
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto kupitia uwekezaji katika hospitali, huduma za dharura za uzazi na mifumo ya kidijitali. Kupitia Mradi wa ZHSF Mothers/Mom Care, wajawazito 2,871 wamenufaika na huduma bora za…
13 May 2026, 23:33
Vikundi vya VICOBA vinaendelea kuwa chachu ya maendeleo kwa kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi kupitia mfumo wa kuweka na kukopa. Zaidi ya wanachama 150 wamekutana Zanzibar kujifunza usimamizi wa vikundi, elimu ya fedha na fursa za uwekezaji kupitia kongamano hilo. Na…
8 May 2026, 21:47
Mradi wa Zanzibar 100 Limb Project unatarajiwa kutoa miguu bandia bure kwa watu 150 waliokatwa miguu visiwani Zanzibar kuanzia Juni 1 hadi Julai 1, 2026 katika Hospitali ya Wilaya ya Mbuzini. Mradi huo unalenga kuwasaidia watu wenye ulemavu kurejea katika…
8 May 2026, 14:04
Taasisi ya Zanzibar International Development Organization (ZIDO) imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa watoto yatima na watu wenye ulemavu huko Dunga. Msaada huo umejumuisha vifaa vya skuli, visaidizi mwendo pamoja na mbuzi kwa familia…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group