![](
https://radiotadio.co.tz/zenjfm/wp-content/uploads/sites/26/2023/07/zenj-fm-logo-1500x800.jpg )
![](https://radiotadio.co.tz/zenjfm/wp-content/uploads/sites/26/2023/07/zenj-fm-logo-150x150.jpg)
Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.Launched in 2005, Zenji FM integrates education…
18 July 2024, 4:31 pm
Na Mary Julius. Mradi wa kuimarisha uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi kupitia ufugaji wa nyuki na nzi maalum (black soldier flies) kwa watu wenye ulemavu, umelenga kuimarisha shughuli za utunzaji wa mazingira na kupunguza uvunaji wa…
16 July 2024, 7:47 pm
Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar kwa kushirikiana na kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya wataendelea kuwafuatilia wale wanaopita kwa wananchi na kuwahadaa ili wawauzie karafuu na wale ambao watakamatwa watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Wakulima wa…
15 July 2024, 4:17 pm
Na Mary Julius. Katika kikao hicho cha siku mbili wajumbe walijadili namna bora ya kutunga sera ya utetezi ya one advocacy one voice ambayo itasaidia jumuiya zote za watu wenye ulemavu. Kukamilika kwa sera ya utetezi kwa taasisi za watu…
5 July 2024, 3:33 pm
Na Mary Julius. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani WHO, maradhi yanayosababisha vifo vingi zaidi duniani ni ugonjwa wa moyo ambapo watu milioni 17.9 kila mwaka hufariki kutokana na ugonjwa huo, huku ukifuatiwa na saratani watu milioni 9.3 hufariki…
4 July 2024, 5:22 pm
Na Ahmed Abdulla Wajumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wanawake Tanzania UWT mkoa wa Kusini Unguja wamehimizwa kuwahamasisha wanawake na vijana kujiunga katika vikundi vya ushirika na kuchukua mikopo nafuu inayotolewa na serikali ili waweze kujiwezesha kiuchumi. Akizungumza wakati…
4 July 2024, 4:27 pm
Na Kassim Adbi. Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema kukamilika kwa miradi ya ujenzi wa barabara za Wilaya ya kati kumerahisha shughuli za kiuchumi na kijamii kwa wakaazi wa maeneo zilipopita barabara…
26 June 2024, 2:54 pm
Na Mary Julius. Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Ibrahim Mzee Ibrahim amewataka wanajamii kuvitumia vituo vya msaada wa kisheria katika maeneo yao ili kupunguza gharama na kufuata huduma hiyo masafa ya mbali. Akifungua Kongamano la Vyuo Vikuu la masuala ya…
13 June 2024, 3:58 pm
Waziri wa Afya Zaznibar amesema baadhi ya tathmini za maambukizi mapya ya VVU zinaonyesha wanawake wameonekana na maambukizo mapya kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na wanaume, asilimia 3.0 ni wanawake na asilimia 0.7 ni wanaume. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia…
12 June 2024, 5:32 pm
Na Omary Hassan Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP Ramadhan Ng’anzi amesema Jeshi la Polisi linashirikiana na Taasisi nyengine zinazosimamia usalama barabarani kuweka mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ambazo zimekuwa zikileta madhara kwa…
12 June 2024, 5:00 pm
Na Mary Julius. Siku ya uchangiaji damu duniani huadhimishwa kila Ifikapo juni 14 kila mwaka,kwa hapa Zanzibar Maadhimisho haya yatafanyika katika ofisi za Mpango wa taifa wa damu salama sebleni. Kuelekea siku ya uchangiaji damu duniani Waziri Wa Afya Zanzibar…