Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…
12 August 2026, 20:59
Wasaidizi wa sheria katika wilaya 11 za Unguja na Pemba wamekabidhiwa vifaa vya TEHAMA kwa lengo la kuongeza ufanisi wa kazi na kuboresha huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi.Vifaa hivyo vinajumuisha laptop 33, desktop 33, tablet 22, mashine moja…
12 August 2026, 20:39
Sukhayla Omar Hamad alifanikiwa kuwa Diwani wa Wadi ya Mtambwe licha ya kukutana na maneno ya kukatisha tamaa, akiamini katika Mungu, uwezo wake na juhudi zake. Safari yake ni mfano kwa wanawake na vijana kwamba wanapaswa kujiamini, kutumia fursa za…
11 August 2026, 13:46
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesisitiza umuhimu wa usajili wa matukio muhimu ya maisha, huku ikisogeza huduma hizo karibu na wananchi wa Tumbatu. Wananchi wamepatiwa huduma za usajili wa vizazi na vifo, vyeti vya kuzaliwa pamoja na Vitambulisho vya Mzanzibari…
8 August 2026, 13:16
Makala maalum inayomulika changamoto za kilimo cha mwani kwa wanawake wa kisiwa cha Uzi Zanzibar. Na Mwandishi wetu Leo tunakuletea simulizi kutoka kwa wakulima wa mwani visiwani Zanzibar, ambao wameeleza kusikitishwa na athari zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi, hali ambayo…
7 August 2026, 18:34
Mbunge wa Jimbo la Amani, Abdull Yussuf Maalim, amekabidhi vifaa vya usafi kwa vikundi vya usafi vya shehia zote nne za jimbo hilo na kuzindua visima vya maji safi katika shehia za Kwa Wazee na Kilimahewa Bondeni ili kuboresha usafi…
4 August 2026, 18:24
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza maandalizi ya ujenzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Dimani kwa kushirikiana na JICA, kupitia utafiti wa upembuzi yakinifu wa mradi huo. Mradi unalenga kuimarisha upatikanaji wa umeme, hasa katika maeneo ya…
1 August 2026, 22:40
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Maftuh Foundation, Kibele, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Polisi Jamii na kuonesha dhamira ya kushirikiana na jamii. Kamanda wa…
30 July 2026, 23:13
Salhiya Salim Khatib ni Diwani wa Wadi ya Kinyasini, Wilaya ya Wete, ambaye ameonyesha kuwa vijana na wanawake wana uwezo wa kuongoza na kushiriki kikamilifu katika maamuzi ya maendeleo. Kutoka kuwa mwanachama wa kawaida wa Chama Cha Mapinduzi hadi kuchaguliwa…
30 July 2026, 23:00
Baada ya taarifa za mtoto Jamal kusambaa mitandaoni akiomba msaada wa matibabu, Mbunge wa Jimbo la Fuoni, Asha Hussein Saleh, amejitokeza kumtembelea na kumpeleka Hospitali ya Lumumba kwa uchunguzi na matibabu. Madaktari wamebaini kuwa uvimbe alionao si saratani na mtoto…
30 July 2026, 21:50
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Cassian Galos Nyimbo, amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya viongozi, wahudumu wa afya na jamii ni muhimu katika kupunguza vifo vya mama na mtoto vinavyoendelea kuathiri mkoa huo. Serikali imeendelea kuwekeza katika hospitali, vituo vya…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group