7 April 2026, 23:20

Mbunge kukuza mchezo wa bao na drafti nchini

Mbunge wa Fuoni, Asha Hussein Saleh, ameahidi kushirikiana na Wizara ya Vijana na Michezo kuendeleza michezo ya bao na drafti nchini. Amesema vipaji vingi vipo na tayari baadhi ya wachezaji wanafanya vizuri kimataifa. Na Mary Julius. Mbunge huyo amesema kuwa…

Play internet radio

Recent posts

28 May 2026, 17:22

Zanzibar yasema ipo salama dhidi ya Ebola

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Zanzibar bado ipo salama dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola na inaendelea kuimarisha ulinzi wa afya mipakani ili kuzuia ugonjwa huo kuingia nchini. Na Mary Julius Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Zanzibar…

28 May 2026, 16:20

Watu asilimia 92 wafikiwa chanjo Zanzibar

Wizara ya Afya Zanzibar imesema itaendelea kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu ya chanjo kwa jamii ili kuhakikisha wananchi wote hususan watoto wanapatiwa chanjo kwa wakati. Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya, Dk. Slim Salim Slim, amesema Serikali…

25 May 2026, 16:46

Kisiwa cha Uzi chalia na athari za mabadiliko ya tabia nchi

Mabadiliko ya tabia nchi yameendelea kuwa janga kubwa duniani kote, huku visiwa vya Zanzibar vikitajwa miongoni mwa maeneo yaliyoathirika zaidi. Na Berema Suleiman Kisiwa cha Uzi ni miongoni mwa sehemu zinazokumbwa na changamoto hizi kutokana na ukataji mkubwa wa miti…

24 May 2026, 21:27

Watoto Zanzibar wadai sheria imara kulinda haki zao

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Siti Abasi Ali, amesema serikali inaendelea kuboresha Sheria ya Mtoto ili kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama na yenye ulinzi bora.Watoto kupitia mabaraza yao ya Unguja na Pemba…

20 May 2026, 16:19

ZAWEMA yaendelea kuhamasisha matumizi sahihi ya vipimo Zanzibar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Hamza Hassan Juma amesema Serikali kupitia Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) itaendelea kuhamasisha matumizi ya vipimo sahihi ili kujenga mazingira ya biashara yenye haki na usawa. Aidha, amewataka wafanyabiashara kushirikiana…

19 May 2026, 22:54

Bilioni 405 kutekeleza mageuzi makubwa ya sekta ya afya Zanzibar

Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar Saada Mkuya Salimu amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto pamoja na huduma za afya ya msingi nchini. Serikali pia imepanga kuongeza ajira kwa wataalamu wa afya, kuboresha mifumo ya…

18 May 2026, 11:31

ZAPONET kuwajengea uwezo wasaidizi wa sheria kwa ufadhili wa Enabel

Mkurugenzi wa ZAPONET, Asia A. Hussein amesema taasisi hiyo inatambua changamoto zinazowakabili wasaidizi wa sheria nchini ikiwemo ukosefu wa ofisi na vifaa vya kazi. Kupitia ufadhili wa Enabel Belgian Development Agency, jumuiya za wasaidizi wa sheria zitapatiwa vifaa, ofisi na…

16 May 2026, 22:47

DC Kati awataka madiwani kusimamia Ukusanyaji wa mapato

Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab amewataka madiwani wa Wilaya ya Kati kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato katika wadi zao ili kuongeza mapato ya Baraza la Manispaa Kati. Na Hakika Mwinyi. Madiwani…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group