Zenj FM

Recent posts

8 April 2024, 5:00 pm

Maji safi na salama tatizo sugu Kiungani

Ongezeko la watu, kukatika kwa umeme mara kwa mara katika shehia ya Kiungani kumesababisha ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo. Na Rahma Hassn na Suleima Abdalla Wakazi wa Nungwi shehia ya Kiungani mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba…

7 April 2024, 6:27 pm

Mratibu vikoba Unguja awataka wanawake kuchukua mikopo kwa malengo

Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba Unguja Catherine Marco Ifanda amewataka akinamama wanaojiunga kwenye vikundi vya vikoba kuchukua mikopo kwa malengo ya kujiendeleza.   Mratibu ameyasema hayo katika sherehe ya kuvunja  kikoba cha St Joseph Mamas  hafla iliyofanyika katika ukimbi wa…

30 March 2024, 6:06 pm

Mbunge Pondeza ahimiza kusaidia wasiojiweza

Na Suleiman Mbunge wa jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza  amezitaka taasisi na wahisani kutoa sadaka katika mwezi mtukufu wa ramadhan na kuwasaidia wasiokuwa na uwezo ili kujipatia fadhila zinazopatikana katika mwezi huo. Mbunge Pondeza ameyasema hayo mara baada ya…

29 March 2024, 6:22 pm

Wafanyakazi ZAWA walipwa malimbikizo ya madeni ya mshahara

Viongozi wa chama cha wafanyakazi wa huduma za umma ZAPSWU na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha walikutana mwezi march mwaka 2024 na kukubaliana utekelezaji wa malipo ya deni hilo. Mary Julius. Zaidi ya wafanyakazi 560 wa mamlaka ya maji Zanzibar…

27 March 2024, 6:43 pm

Uzalishaji taka waongezeka Zanzibar kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Na Rahma Hassan.  Kuelekea katika kipindi cha mvua za masika wakaazii wa shehia ya mikunguni wameliomba Baraza la Manispaa Zanzibar kulitafutia ufumbuzi suala la taka  zilizozagaa katika jaa la shehia yao. Wakizungumza  na zenji FM Wananchi hao  Wamesema   karibu wiki…

19 March 2024, 4:30 pm

Taasisi za kiraia,Pemba zamwaga neema kwa wananchi

Na Is-haka Mohammed. Meya wa Manispaa ya Chake Chake Abdalla Hamad Abdalla amesema kazi za utoaji wa misaada na sadaka zinazofanywa na taasisi mbali mbali za kiraia zinaisaidia serikali kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Meya ameyasema hayo katika hafla ya …

14 March 2024, 4:03 pm

Walimu Zanzibar watakiwa kutumia mtaala mpya

Na Ishaka Mohammed Pemba “Baada ya mafunzo jukumu kubwa la mwalimu ni kutumia mtaala huo wakati wa ufundishaji” Amesema Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Leila Mohamed Mussa. Waziri wa  Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Leila Mohamed…

13 March 2024, 5:04 pm

Jamii yahimizwa kusaidia makundi maalum

Jamii nchini  imehimizwa  kuutumia mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kukithirisha kufanya ibada kwa kusaidia mahitaji  katika makundi mbalimbali ya  kijamii ikiwemo elimu ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Akizungumza mara baada ya kukabidhi mapolo ya vyakula vyenye thamani ya zaidi ya shiling…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group