Zenj FM
Zenj FM
11 June 2026, 14:44
Wananchi wa Zanzibar wamepongeza juhudi za Serikali ya Awamu ya Nane kwa kusogeza huduma za afya za kibingwa katika hospitali za wilaya, hatua iliyopunguza gharama na usumbufu wa kusafiri nje ya visiwa kwa matibabu. Na Mary Julius. Serikali ya Awamu…
8 June 2026, 19:01
Baadhi ya wanufaika wa mradi wa utoaji wa miguu bandia Zanzibar wamewataka watu wenye ulemavu wa miguu kujitokeza kwa wingi kupata huduma hiyo muhimu. Miguu hiyo inatolewa kupitia mradi wa Zanzibar 100 Limb Project unaolenga kuwasaidia wananchi 100 kurejea katika…
7 June 2026, 23:33
Shule ya Assalam International imepongezwa kwa juhudi zake za kuhifadhi mazingira na kuhamasisha uhifadhi wa bahari wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani. Viongozi na wananchi wamezitaka taasisi nyingine kuiga mfano huo ili kulinda mazingira na kukabiliana na athari…
7 June 2026, 22:08
Mahakama ya Zanzibar imezindua mfumo wa kielektroniki wa usimamizi wa mashauri unaotarajiwa kuanza kutumika kikamilifu katika mahakama zote kuanzia mwezi Julai 2026 Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema matumizi ya…
4 June 2026, 17:20
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imejipanga kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika Mashariki kutokana na mazingira bora ya biashara, sera thabiti na miundombinu ya kisasa. Akifungua Jukwaa la Uwekezaji Zanzibar 2026 lililowakutanisha zaidi ya washiriki 700, amesema…
2 June 2026, 19:20
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kuimarisha sekta ya nishati kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme ya kuaminika na nafuu. Hatua hiyo imejidhihirisha kupitia ushirikiano kati ya Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) na…
2 June 2026, 18:52
Zanzibar imekamilisha maandalizi ya Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2026 litakalofanyika kuanzia Juni 3 hadi 5, likiwakutanisha wawekezaji, wafanyabiashara na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi. Zaidi ya washiriki 600 kutoka mataifa zaidi ya 12 wamejisajili kushiriki katika…
2 June 2026, 13:25
Na Ivan Mapunda Na Marry Julias
1 June 2026, 17:10
Wafanyabiashara na wajasiriamali wa Wilaya ya Kati wametakiwa kujiunga katika vikundi ili kunufaika na mikopo yenye masharti nafuu kwa ajili ya kuimarisha biashara zao. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Manispaa Kati, Dkt. Mwanaisha Ali Said, wakati wa mkutano wa…
1 June 2026, 16:48
Wafanyabiashara wa Shehia za Jumbi na Tunguu wamehimizwa kutunza usafi wa mazingira katika maeneo yao ya biashara ili kuzuia magonjwa yanayosababishwa na uchafu. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Mazingira na Mipango Miji wa Baraza la Manispaa Kati,…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group