Zenj FM
Zenj FM
24 June 2026, 22:19
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Hamida Mussa Khamis, ameagiza kufanyika uchunguzi kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha za Kamati ya Misitu ya Kibuteni ili kubaini ukweli wa malalamiko yaliyotolewa na wananchi. Aidha, amesisitiza umuhimu wa viongozi wa shehia kutambua…
24 June 2026, 22:04
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Hamida Mussa Khamis, ameagiza kufungwa kwa baa tatu katika eneo la Kambodia, Kizimkazi Mkunguni, baada ya kubainika kukiuka sheria na taratibu za uendeshaji pamoja na kusababisha kero ya kelele karibu na skuli. Hatua hiyo…
24 June 2026, 14:39
Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii Wilaya ya Kaskazini A wametajwa kuwa chachu ya mafanikio ya chanjo kwa kuwafikia wananchi nyumba kwa nyumba na kuhakikisha watoto wote wanaostahili wanapata huduma kwa wakati. Hata hivyo, wananchi wametakiwa kuachana na dhana potofu…
21 June 2026, 21:00
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu madai ya ubaguzi wa ajira katika kampuni zinazofanya kazi Zanzibar, likisema taarifa hizo si za kweli. Polisi wameeleza kuwa matumizi ya vitambulisho katika kampuni ya CRJE ni hatua…
21 June 2026, 20:32
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama, Rehema Makame Msheli, amewataka wazazi kuimarisha malezi ya watoto ili kuwakinga dhidi ya matumizi ya madawa ya kulevya. Viongozi wa wilaya hiyo wameeleza kuwa matumizi ya madawa ya kulevya yanachangia ongezeko la uhalifu…
21 June 2026, 20:19
Na Hakika Mwinyi. Wananchi wametakiwa kuendelea kudumisha usafi na kutunza mazingira katika maeneo yanayowazunguka, kwa kuwa jukumu hilo ni la kila mmoja na si la Manispaa pekee. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Kati, Dkt. Mwanaisha Ali…
20 June 2026, 22:04
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za msaada wa kisheria ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa wakati, kwa usawa na kwa ufanisi. Na Berema Nassor Akizungumza katika uzinduzi wa…
20 June 2026, 15:06
Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imekabidhi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar gawio la zaidi ya shilingi bilioni 15.3, ikiwa ni ongezeko la asilimia 53 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Juma Malik Akil, amepongeza mafanikio…
17 June 2026, 16:13
Mwakilishi wa Viti Maalumu Mkoa wa Magharibi, Fatma Ramadhan Mandoba, ametoa mabati 50 kwa familia iliyopoteza nyumba kutokana na moto katika Jimbo la Dimani. Amesema msaada huo ni sehemu ya kuonesha mshikamano na kuwahimiza viongozi wengine kujitokeza kusaidia familia hiyo…
17 June 2026, 15:28
Safia Mohamed. Wananchi wa Shehia ya Fuoni Mambo Sasa wameilalamikia serikali kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu vinavyoendelea kujitokeza katika eneo lao. Wakizungumza na waandishi wa habari katika mahojiano yaliyofanyika katika ofisi ya Sheha wa Shehia ya Fuoni Mambo…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group